7 rounds ? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Nime-disirayiki riuzi rako!Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎View attachment 2626231
Kuna baadhi tunachukulia JF kama sehemu ya ku waste time lakini kuna wengine hii mitandao ya kijamii ndio maisha yao halisi.
Kuna mtu mwingine anakuwa hana thamani yeyote katika maisha yake kiasi kwamba akikaa bila kuingia mitandaoni hana interaction nyingine yeyote yenye tija katika maisha halisi.
Sasa basi watu wa hivi ili kujipa thamani, ndio utakuta wale wanaotukana watu bila sababu, kuna wale akiwashwa na mguu tu anaandika thread, kuna wale wa kulike kila comment, wa kucheka kila comment hata kama havichekeshi na kuna kama huyo jamaa kaja na mpya ya kudislike kila jambo. Nina yakini pasi na shaka jamaa hata hasomi comment, ana dislike tu kama vile awali alikuwa aki like tu; hii yote ili aongelewe tu.
Hakupata reception aliyodhamiria kwenye ku like sasa toka jana kaja kivingine kwa kudislike. Na kwa njia ya ajabu imepata muamko aliodhamiria maana limeongelewa (japo sitostaajabu ikiwa hizi thread za kulalamika hizo dislike zikawa zimetoka kwa huyo huyo anae dislike ili kuweka muamsho kwa kila anachokifanya kwa kutumia ID nyingine za kwake). Kuna waliokiri kabisa kuwa wanaanzisha thread na kuanza kujisifia wenyewe, kujitukana na kusuluhisha wenyewe kwa kutumia ID zao kadhaa.
Kuna mambo mawili, kwa yeyote anaeathirika na dislike kwenye comment yake basi hakika hana tofauti yeyote na huyo alie dislike, ni kwamba wote wanahitaji kutafakari mustakabali wa maisha yao, maana yanahuzunisha. Na kwa huyo anae dislike kila comment halkadhalika nae atafute japo hobby ya kupiga nyeto, inaweza ikampa faraja fulani kuliko kupoteza muda kwa dislike comment za kila mtu.
Kwani wewe unajua aliyelalamika ana umri gani?Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎View attachment 2626231
Za nini zote hizo? Kama ya kwanza na ya pili hazijatosha bora waachane na hilo swala. Kama imefanyika vizuri once is enough 😂😂7 rounds ? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wengine hizi dislikes hata hatuzioni yaan.Binafsi hata sijali kabisa.Yaani ukidislike kwa mfano unanipunguzia nini sasa?
labda dau lilikua refuZa nini zote hizo? Kama ya kwanza na ya pili hazijatosha bora waachane na hilo swala. Kama imefanyika vizuri once is enough 😂😂
Kumbe mtoto?Unadhani hatujui kuwa upo below 20?
Hata kuosha kende tu bado hujajua 😂
Kaoge urudi darasani totoo