Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

Status
Not open for further replies.

YE67NBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
15,155
Reaction score
36,337
Wakuu, za sahizi tena

Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread

Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,

Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko

Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana


Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee

Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎
 
Wakuu, za sahizi tena

Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread

Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,

Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko

Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana


Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee

Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎View attachment 2626231
Nime-disirayiki riuzi rako!
 
Kuna baadhi tunachukulia JF kama sehemu ya ku waste time lakini kuna wengine hii mitandao ya kijamii ndio maisha yao halisi.

Kuna mtu mwingine anakuwa hana thamani yeyote katika maisha yake kiasi kwamba akikaa bila kuingia mitandaoni hana interaction nyingine yeyote yenye tija katika maisha halisi.

Sasa basi watu wa hivi ili kujipa thamani, ndio utakuta wale wanaotukana watu bila sababu, kuna wale akiwashwa na mguu tu anaandika thread, kuna wale wa kulike kila comment, wa kucheka kila comment hata kama havichekeshi na kuna kama huyo jamaa kaja na mpya ya kudislike kila jambo. Nina yakini pasi na shaka jamaa hata hasomi comment, ana dislike tu kama vile awali alikuwa aki like tu; hii yote ili aongelewe tu.

Hakupata reception aliyodhamiria kwenye ku like sasa toka jana kaja kivingine kwa kudislike. Na kwa njia ya ajabu imepata muamko aliodhamiria maana limeongelewa (japo sitostaajabu ikiwa hizi thread za kulalamika hizo dislike zikawa zimetoka kwa huyo huyo anae dislike ili kuweka muamsho kwa kila anachokifanya kwa kutumia ID nyingine za kwake). Kuna waliokiri kabisa kuwa wanaanzisha thread na kuanza kujisifia wenyewe, kujitukana na kusuluhisha wenyewe kwa kutumia ID zao kadhaa.

Kuna mambo mawili, kwa yeyote anaeathirika na dislike kwenye comment yake basi hakika hana tofauti yeyote na huyo alie dislike, ni kwamba wote wanahitaji kutafakari mustakabali wa maisha yao, maana yanahuzunisha. Na kwa huyo anae dislike kila comment halkadhalika nae atafute japo hobby ya kupiga nyeto, inaweza ikampa faraja fulani kuliko kupoteza muda kwa dislike comment za kila mtu.
 
Wakuu, za sahizi tena

Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread

Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,

Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko

Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana


Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee

Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎View attachment 2626231
Kwani wewe unajua aliyelalamika ana umri gani?
 
Bwana Mtia Ma Dislike I agree to dislike with you juu Umesema Watu wazima 28+, huo Umri ni Wa Vijana machalii kabisa, Ma Kinda, Ma Youngsters ...

Kundi Hilo la watu huwezi kuwaita wa Makamo wala watu Wazima.

Wakivuka walau 45 huko utaanza kuwaleta katika Hio Kategori.

Kwa sasa Acha walilie likes and Dislikes kama masomo ya watoto shule.

My Name is Public Enemy, I like Mangoes [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jana umenitandika dislike 24, ila poa tu. Sioni tatizo kama ni wewe. Ila kwa mtu mwingine ningerudi. Kuna wenzako pia alikuwa na tabia hiyo hiyo. Ila haipunguzi chochote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom