YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎
Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎