Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

Status
Not open for further replies.
Ngoja nikusaidie kama unatumia Smartphone ama Tablet.

1. Fungua Chrome alafu weka link ya jf ingia.
View attachment 2626303


2. Click kwenye vidoti 3 vipo juu kulia itafungua
View attachment 2626304


3. Click kwenye Install App
View attachment 2626306

4. Alafu utacklick install,
View attachment 2626307
utapata App ya JF ambayo ni nzuri kwa wale wanaotumia smartphone.

Unaweza pia kuinstall kwenye laptop


Hii hapa mimi ndio ninayoitumia kwenye smartphone, tablet na laptop.

Ona hapo huyu kenge mwenzangu kesha nipa dislike!
View attachment 2626309
Hivi tablet ni tablet na smartphone ni smartphone?
 
Hahaha auntiee sielewi kwann watu wana makasiriko hivyo, sijui dislike inampunguzia nn ila ngoja niendelee, acha nimalizie utoto wangu humu, 😅😅😆😆😆😆😆
🤣🤣🤣Utakosa mishangazi humu ya kukuweka mjini shauri ako.
 
🤣🤣🤣Utakosa mishangazi humu ya kukuweka mjini shauri ako.
Mwanaume ni kupambana auntiiee akee,

Huku kuna mishangazi ina njaa tupu ohoo, Aseee

Sasa kama mtu hawezi kujipeleka serengeti kwa hela yake MPAKA AGONGWE atawezaje kumiliki ki benten

BAADHI YA Mishangazi ya humu ni njaa tupu bora ya mtaani mara 100,

Isitoshe kuna SUPER GONORRHEA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, SIPO TAYARI NIUNGWE GRIDI YA TAIFA
 
Mwanaume ni kupambana auntiiee akee,

Huku kuna mishangazi ina njaa tupu ohoo, Aseee

Sasa kama mtu hawezi kujipeleka serengeti kwa hela yake MPAKA AGONGWE atawezaje kumiliki ki benten

BAADHI YA Mishangazi ya humu ni njaa tupu bora ya mtaani mara 100,

Isitoshe kuna SUPER GONORRHEA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, SIPO TAYARI NIUNGWE GRIDI YA TAIFA
😂😂😂😂Gono hapa ndani lipo haswa na lipo tena.
Alfu ww mtoto uache uongo ww khaaaa🤣🤣🤣

Em nitukane kwa hzolo id ako nyingine mana niliambiwa dogo ako na id kama team ya mpira.
 
😂😂😂😂Gono hapa ndani lipo haswa na lipo tena.
Alfu ww mtoto uache uongo ww khaaaa🤣🤣🤣

Em nitukane kwa hzolo id ako nyingine mana niliambiwa dogo ako na id kama team ya mpira.
Sio team ya mpira ni team ya mpira na subs kabisa na uongozi wote wa wamiliki wa timu


ID 34 si mchezo zinazunguka tu humu ndani kwenye kila FORUM zipo na nime subcribe kwa malengo maalum

Kule siasa, biashara, na teknolojia ndo usiseme

Sema chache zipo mmu na chitachat kuchangamsha genge tu


Ila jf imenisaidia sana hata hii simu nayotumia niliiipata humu 🤣🤣🤣🤣🤣,


Na watu wana madini ila nikiboeka lazima nikianzishe humu tena kama leo

Kabinti ka ludilo kaamua akae kimya tu sipendagi ujinga kabisa 😆😆😆😆😆😉😉😉
 
Sio team ya mpira ni team ya mpira na subs kabisa na uongozi wote wa wamiliki wa timu


ID 34 si mchezo zinazunguka tu humu ndani kwenye kila FORUM zipo na nime subcribe kwa malengo maalum

Kule siasa, biashara, na teknolojia ndo usiseme

Sema chache zipo mmu na chitachat kuchangamsha genge tu


Ila jf imenisaidia sana hata hii simu nayotumia niliiipata humu 🤣🤣🤣🤣🤣,


Na watu wana madini ila nikiboeka lazima nikianzishe humu tena kama leo

Kabinti ka ludilo kaamua akae kimya tu sipendagi ujinga kabisa 😆😆😆😆😆😉😉😉
Siumesema huyo ni Genta😂😂😂
We dogo itakua hata ile id chizi maarifa ni yako.
 
Siumesema huyo ni Genta😂😂😂
We dogo itakua hata ile id chizi maarifa ni yako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ile id inanichekeshaga na ukiwa na id kuna nyuzi ni mwiko kugusa ili watu wasikujue mfano mtu kama kalamu hawezi kuenda vituko mtandaoni 😅😁😁😁😁😁😁😁😁

Sema siasani yuko fresh sana
 
Ngoja nikusaidie kama unatumia Smartphone ama Tablet.

1. Fungua Chrome alafu weka link ya jf ingia.
View attachment 2626303


2. Click kwenye vidoti 3 vipo juu kulia itafungua
View attachment 2626304


3. Click kwenye Install App
View attachment 2626306

4. Alafu utacklick install,
View attachment 2626307
utapata App ya JF ambayo ni nzuri kwa wale wanaotumia smartphone.

Unaweza pia kuinstall kwenye laptop


Hii hapa mimi ndio ninayoitumia kwenye smartphone, tablet na laptop.

Ona hapo huyu kenge mwenzangu kesha nipa dislike!
View attachment 2626309
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] nimeshindwa kuvumilia cocs ila sisi wa app usikute tunapewa dislikes hata hatujui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear na tusijue tyuuh, mie ndo nashangaa watu wanalalama hapa akati wengine hata hatuzioni hizo kero.
 
Utoto unaendana na michezo, ukute umeandaa kamchezo kako ka dislike, ukajifungulia na mada ya kulalamila halafu ukaja na hii ya kujichekesha chekesha.
 
Hivi tablet ni tablet na smartphone ni smartphone?
Maswali mengine ya kipuuzi wakati unaweza ukaGOOGLE ukapata uelewa.


Screenshot_20230518-220308_Chrome.jpg
 
Wakuu, za sahizi tena

Nipo hapa nacheka kaa fala, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread

Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,

Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko

Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana


Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee

Till next time fellas [emoji851][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
hahahaa watu waka paniki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom