Sio team ya mpira ni team ya mpira na subs kabisa na uongozi wote wa wamiliki wa timu
ID 34 si mchezo zinazunguka tu humu ndani kwenye kila FORUM zipo na nime subcribe kwa malengo maalum
Kule siasa, biashara, na teknolojia ndo usiseme
Sema chache zipo mmu na chitachat kuchangamsha genge tu
Ila jf imenisaidia sana hata hii simu nayotumia niliiipata humu 🤣🤣🤣🤣🤣,
Na watu wana madini ila nikiboeka lazima nikianzishe humu tena kama leo
Kabinti ka ludilo kaamua akae kimya tu sipendagi ujinga kabisa 😆😆😆😆😆😉😉😉