Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata siioni mie, au kwa kuwa natumia App??
Kumbe unajua kutoa makopa.😂😂Asante auntiee akee ❤️🌹🤩😍😍
Hapana Mkuu.Hebu acheni kumnenea mtoto wa mwenzenu mabaya bana,😂.
Ni hizo dislike.tu au kuna jengine.
Huyu ndo madenge wetu wa JF inabid tu tumpende.
Ukute nyie mlivyokuwa wadogo mlikua watundu kuliko yeye😂.
Mi namnenea na kumtabiria kuwa atafika mbali kimafanikio.Akikua ataacha let the kid be🙏
Huyo mai wako si nanilii wa Depal kama sijakosea 🤣🤣🤣🤣🤣Siogopi mkoko... hata kama wewe ni kitoto chao wakini bun ntaenda kurest na my wangu mtwa mkulu
Nakumbuka mkuuu 🤝🤝Mimi sijali dislikes wala kuchukia na haiwi member wa Jf timamu achukie kisa dislikes kitu ambacho hakimpunguzii wala kumuongezea kitu.
Watu mpaka kukusema na kukushambulia ni kukuonya utoto wako ni sio kwamba wamechukulia kiundani.Maana ya kukuonya ni kwamba isije kuwa hautambui tatizo lako na upo ilimradi tu.
Mimi iliwahi kutokea member humu Notorious thug kutembeza like kila post yangu sikumaindi niliwahi kumfuata mpk PM na tukawa tunataniana mule ,ila mwisho wa siku akaacha huonmchezo ikawa full amani.
Kwenye Tablet ndio inaonekana hivi.Hata siioni mie, au kwa kuwa natumia App??
Nina mengi yakunisumbua dogo nikiruhusu na vitu kama likes vinisumbue nitakufa an early death.Asante auntiee ww unaelewa hii mitandao sikua hata serious watu wamepata ghadhabu kaa nn, Duuh
Ndo maana wengi wao maisha hawayawezi ila acha niishie hapo 🤣🤣🤣
Wewe ndo unachekesha,inaonyesha how una low IQ.Watu wanachekesha sana mkuu
Unakwenda pale kwenye thanks unadisplay then kutakuja viemoji cha kucheka,kusikitika,na kudslike. Unaclick kile cha dislike 😡Hv kudislike nafanyaje?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sawa auntie akeeNina mengi yakunisumbua dogo nikiruhusu na vitu kama likes vinisumbue nitakufa an early death.
Wewe ukichoka dislike tafuta hata button ya I HATE YOU AUNTIE unitwange nayo and you will still remain my fav kiddie in here.
ILA siku nikikukamata nitakupa vifinyo vya idadi ya dislikes zote ulizonipa😂
[emoji23] nimeshindwa kuvumilia cocs ila sisi wa app usikute tunapewa dislikes hata hatujuiHata sitakii, hizo heka heka za dislikes sio shida zangu.
Watu wana stress sana za maisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We si Bora ame dislike[emoji23][emoji23][emoji23]..Mimi mmoja alinifata inbox na stress zake ananiattack kabisa. Hiyo Siku ndo nilijua humu watu stress Ni nyingi Sana. Hanijui simjui Ila alivyopanic na thread yangu. Acha tu[emoji23]
Mtoto angu kwa hyo itakuaje?Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas 🤓😎😎😎😎😎
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas [emoji851][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kutoadislike kuna athari zipi uzeeni?Huyu mtoto
Kakiwa kakubwa katajuta, katajihisi kakosefu sana kwa upuuzi anaofanya Sasa hivi, technology haifutiki.
Utauona huu upuuzi wako humu ukiwa mkubwa na hap ndip utaona madhara yake kiakili.
Huna huo uwezo kuelewa utaupata baadae. Wenzako wanahangaika Facebook huk kufut maujinga yao miaka hiyo
Kuna mashindano ya likes JFBinafsi hata sijali kabisa.Yaani ukidislike kwa mfano unanipunguzia nini sasa?