Hivi tablet ni tablet na smartphone ni smartphone?Ngoja nikusaidie kama unatumia Smartphone ama Tablet.
1. Fungua Chrome alafu weka link ya jf ingia.
View attachment 2626303
2. Click kwenye vidoti 3 vipo juu kulia itafungua
View attachment 2626304
3. Click kwenye Install App
View attachment 2626306
4. Alafu utacklick install,
View attachment 2626307
utapata App ya JF ambayo ni nzuri kwa wale wanaotumia smartphone.
Unaweza pia kuinstall kwenye laptop
Hii hapa mimi ndio ninayoitumia kwenye smartphone, tablet na laptop.
Ona hapo huyu kenge mwenzangu kesha nipa dislike!
View attachment 2626309
🤣🤣🤣Utakosa mishangazi humu ya kukuweka mjini shauri ako.Hahaha auntiee sielewi kwann watu wana makasiriko hivyo, sijui dislike inampunguzia nn ila ngoja niendelee, acha nimalizie utoto wangu humu, 😅😅😆😆😆😆😆
Ujinga tu,likes zinasaidia nini sasa kwenye real life?Au mtu anapata matangazo kama instagram. Walau instagram unapata matangazo book ten ten za fegi hazikupigi chenga.Kuna mashindano ya likes JF
Mwanaume ni kupambana auntiiee akee,🤣🤣🤣Utakosa mishangazi humu ya kukuweka mjini shauri ako.
😂😂😂😂Gono hapa ndani lipo haswa na lipo tena.Mwanaume ni kupambana auntiiee akee,
Huku kuna mishangazi ina njaa tupu ohoo, Aseee
Sasa kama mtu hawezi kujipeleka serengeti kwa hela yake MPAKA AGONGWE atawezaje kumiliki ki benten
BAADHI YA Mishangazi ya humu ni njaa tupu bora ya mtaani mara 100,
Isitoshe kuna SUPER GONORRHEA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, SIPO TAYARI NIUNGWE GRIDI YA TAIFA
Sio team ya mpira ni team ya mpira na subs kabisa na uongozi wote wa wamiliki wa timu😂😂😂😂Gono hapa ndani lipo haswa na lipo tena.
Alfu ww mtoto uache uongo ww khaaaa🤣🤣🤣
Em nitukane kwa hzolo id ako nyingine mana niliambiwa dogo ako na id kama team ya mpira.
Siumesema huyo ni Genta😂😂😂Sio team ya mpira ni team ya mpira na subs kabisa na uongozi wote wa wamiliki wa timu
ID 34 si mchezo zinazunguka tu humu ndani kwenye kila FORUM zipo na nime subcribe kwa malengo maalum
Kule siasa, biashara, na teknolojia ndo usiseme
Sema chache zipo mmu na chitachat kuchangamsha genge tu
Ila jf imenisaidia sana hata hii simu nayotumia niliiipata humu 🤣🤣🤣🤣🤣,
Na watu wana madini ila nikiboeka lazima nikianzishe humu tena kama leo
Kabinti ka ludilo kaamua akae kimya tu sipendagi ujinga kabisa 😆😆😆😆😆😉😉😉
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ile id inanichekeshaga na ukiwa na id kuna nyuzi ni mwiko kugusa ili watu wasikujue mfano mtu kama kalamu hawezi kuenda vituko mtandaoni 😅😁😁😁😁😁😁😁😁Siumesema huyo ni Genta😂😂😂
We dogo itakua hata ile id chizi maarifa ni yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikusaidie kama unatumia Smartphone ama Tablet.
1. Fungua Chrome alafu weka link ya jf ingia.
View attachment 2626303
2. Click kwenye vidoti 3 vipo juu kulia itafungua
View attachment 2626304
3. Click kwenye Install App
View attachment 2626306
4. Alafu utacklick install,
View attachment 2626307
utapata App ya JF ambayo ni nzuri kwa wale wanaotumia smartphone.
Unaweza pia kuinstall kwenye laptop
Hii hapa mimi ndio ninayoitumia kwenye smartphone, tablet na laptop.
Ona hapo huyu kenge mwenzangu kesha nipa dislike!
View attachment 2626309
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear na tusijue tyuuh, mie ndo nashangaa watu wanalalama hapa akati wengine hata hatuzioni hizo kero.[emoji23] nimeshindwa kuvumilia cocs ila sisi wa app usikute tunapewa dislikes hata hatujui
Maswali mengine ya kipuuzi wakati unaweza ukaGOOGLE ukapata uelewa.Hivi tablet ni tablet na smartphone ni smartphone?
hahahaa watu waka panikiWakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas [emoji851][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]