mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
tembezeni dislikes wakuu shida ikowapi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wamwache afurahie utoto wake[emoji3][emoji2] asije akaruka stageHebu acheni kumnenea mtoto wa mwenzenu mabaya bana,[emoji23].
Ni hizo dislike.tu au kuna jengine.
Huyu ndo madenge wetu wa JF inabid tu tumpende.
Ukute nyie mlivyokuwa wadogo mlikua watundu kuliko yeye[emoji23].
Mi namnenea na kumtabiria kuwa atafika mbali kimafanikio.Akikua ataacha let the kid be[emoji120]
A can't imagine hivyo vifinyo [emoji848][emoji3]Nina mengi yakunisumbua dogo nikiruhusu na vitu kama likes vinisumbue nitakufa an early death.
Wewe ukichoka dislike tafuta hata button ya I HATE YOU AUNTIE unitwange nayo and you will still remain my fav kiddie in here.
ILA siku nikikukamata nitakupa vifinyo vya idadi ya dislikes zote ulizonipa[emoji23]
Jamii forum ukiingia ukiwa na akili zako timamu huwezi kuinjoy, hicho ndio nilichonoteAsee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee[emoji23]
Wanao complain ndio wale wanaoomba like kwenye youtube comments section, inasikitisha, watu wanatafuta validation online, hatari sanaBinafsi hata sijali kabisa.Yaani ukidislike kwa mfano unanipunguzia nini sasa?
Na kaliwa kichwa juuu"Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,"
Mpaka GENTAMYCIME ameingia kwenye mtego wa huyu mtoto[emoji2][emoji2][emoji2]
Too sad,umenikumbusha yule mkenya Canada aliekuwa anaogelea huku akiwa live Facebook ,sasa ili kuwaonyeshea viwers wake kuwa anajua kuogelea,si akaenda kwenye kina kirefu.Too sad alihangaika hadi anazama ,simu ipo live,ilikaa almost masaa matatu ikirecord yeye kishajifia.Wale viwers hakuna aliemuokoa. Haya mambo haya too sad.Wanao complain ndio wale wanaoomba like kwenye youtube comments section, inasikitisha, watu wanatafuta validation online, hatari sana
Asante, ☹️☹️Too sad,umenikumbusha yule mkenya Canada aliekuwa anaogelea huku akiwa live Facebook ,sasa ili kuwaonyeshea viwers wake kuwa anajua kuogelea,si akaenda kwenye kina kirefu.Too sad alihangaika hadi anazama ,simu ipo live,ilikaa almost masaa matatu ikirecord yeye kishajifia.Wale viwers hakuna aliemuokoa. Haya mambo haya too sad.
Sad generation with happy pictures.Too sad,umenikumbusha yule mkenya Canada aliekuwa anaogelea huku akiwa live Facebook ,sasa ili kuwaonyeshea viwers wake kuwa anajua kuogelea,si akaenda kwenye kina kirefu.Too sad alihangaika hadi anazama ,simu ipo live,ilikaa almost masaa matatu ikirecord yeye kishajifia.Wale viwers hakuna aliemuokoa. Haya mambo haya too sad.
Sawa mpuuzi mwenzangu.Maswali mengine ya kipuuzi wakati unaweza ukaGOOGLE ukapata uelewa.
![]()
What is the Difference Between a Smartphone and a Tablet? - WorldofTablet
Devices such as smartphones and tablets have become ubiquitous in our daily lives. This guide aims to make readers understand the difference between smartphones and tablets.www.worldoftablet.com
View attachment 2626971