Dah,jamaa hilo limbwata alopewa si la nchi hii,kaenda chukua congo au zambia,jtahid asee utashangaa hyo mwanamke ana mme wake mwingine na ana asserts zake.Nitajitahidi kwa upande wa Mungu, maana hata kwake hatakiwi mgeni yoyote mpaka kibali cha mwanamke
Ah ah ah ngende lazima azinduke au akiona mbali aende pande kilwa akaelee juu ya bahari uku amekaa juu ya mkeka.Mpeleke ngende akazinduliwe
Nakumbuka kuna siku nilikuwa kwenye daladala nimesimama pemben yangu kulikuwa na mwanamke wa makamo tuu alikuwa anatype msg nikakuta macho yangu yanaangalia ghafla tu alichokuwa anatype ni balaaa.
Ile msg ilikuwa anamuomba mwenzie jnsi gani atamweka mkononi huyo kibopa aliekuwa nae ndo nikaamin kumbe haya mambo yapo kweli
Huyo ni kumpeleka kinguvu maana akili yake imeshafungwa kama unafahamiana na familia yake fanya uwashirikishe.Ni wapi huko? Na hakuna madhara yoyote atapata, ila nimepanga kumpeleka kwenye maombi ingawa ukimwingizia habari za kuombewa hapendi anasema anaimani sasa na kanisani kwake.
Naona amekukubali mpaka amekuambia matatizo aliyonayo. Usimwache.Nitajitahidi kwa upande wa Mungu, maana hata kwake hatakiwi mgeni yoyote mpaka kibali cha mwanamke
Liwale ni hatari ukoNi wapi huko? Na hakuna madhara yoyote atapata, ila nimepanga kumpeleka kwenye maombi ingawa ukimwingizia habari za kuombewa hapendi anasema anaimani sasa na kanisani kwake.
Hapana sijajua kabila lake ila walikutana Iringa, ko sijui kabila la huyo mwanamke ila najua kabila la rafiki yangu.Jamaa kaingia mkenge tu, hiyo si ndoa....je mkewe ni Mchagga ama Mpare maana hizi ndo tabia zao.
Ushauri wangu Ni huu
1. Oa rafiki yako
2. Oa kutoka the same background
3. Oa mtu wa kwenu
4. Mkeo asikuzidi kipato
5. Epuka kuoa makabila usiyojua Mila na desturi zao. Wachaga wananielewa kwa hili
Mwanamke Ni mshirikina Huyo sio bure aiseeHuyo mwanamke atakuwa mchawi tu
Hiyo ni shida kutoka kupendwa mpaka kuwa mzigo πββοΈπββοΈKama huamini unajidanganya
Haya mambo yapoo tena sana
Huyo kalishwa limbwata
Kuna mama mtaani kwetu mpika chapati maarufu siku asubuhi wakati tunasubiri atoe chapati mumewe alikuwa amekaa pembeni
Huyo baba siku zote huwa namuona amekaa kibalazani kwake anasalimia watu tu
Huyu mama akamfokea aingie ndani au akatafute shughuli ya kufanya
Akatuambia wanangu msije mkampa mwanaume limbwata utamuathiri akili pia ona huyu wangu nilimpa anipende awahi kurudi nyumbani matokeo amezubaa mpaka amekua mzigo,kazi hana wala hajiangaishi
Nikajifunza kumbe limbwata ni mzigo badae [emoji848]
Kama huamini unajidanganya
Haya mambo yapoo tena sana
Huyo kalishwa limbwata
Kuna mama mtaani kwetu mpika chapati maarufu siku asubuhi wakati tunasubiri atoe chapati mumewe alikuwa amekaa pembeni
Huyo baba siku zote huwa namuona amekaa kibalazani kwake anasalimia watu tu
Huyu mama akamfokea aingie ndani au akatafute shughuli ya kufanya
Akatuambia wanangu msije mkampa mwanaume limbwata utamuathiri akili pia ona huyu wangu nilimpa anipende awahi kurudi nyumbani matokeo amezubaa mpaka amekua mzigo,kazi hana wala hajiangaishi
Nikajifunza kumbe limbwata ni mzigo badae [emoji848]
Aliniambia huwa anafanya mapinduzi kichwani ila akifika tu home, hana tena nduvu bali ni kuwa muoga sanaAtakua mkewe kamloga si bure, Anasubiri nini kufanya mapinduzi[emoji23][emoji23][emoji23]
What if it's not "tea"?Tastes like Tea.
It's probably Tea.....
Oh My! It is Tea!!