Kama huamini unajidanganya
Haya mambo yapoo tena sana
Huyo kalishwa limbwata
Kuna mama mtaani kwetu mpika chapati maarufu siku asubuhi wakati tunasubiri atoe chapati mumewe alikuwa amekaa pembeni
Huyo baba siku zote huwa namuona amekaa kibalazani kwake anasalimia watu tu
Huyu mama akamfokea aingie ndani au akatafute shughuli ya kufanya
Akatuambia wanangu msije mkampa mwanaume limbwata utamuathiri akili pia ona huyu wangu nilimpa anipende awahi kurudi nyumbani matokeo amezubaa mpaka amekua mzigo,kazi hana wala hajiangaishi
Nikajifunza kumbe limbwata ni mzigo badae [emoji848]