Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

Kisa hiki kimemkuta rafiki yangu. Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa kwa kawaida huwezi kuamini

Kiufupi kwenye haya maisha ukijifunza kuridhika na kupuuza baadhi ya vitu utaishi vizuri na kwa amani tele, Ni ujinga ushetani na upumbavu kumdhibiti mwanaume kwa kutumia ushirikina
Kinachotesa watu Hadi kudhuru wengine ni ubinafsi tu lazima tukubali huwezi kumu miliki mtu mzima mwenzako, pia ni vizuri kuishi kwa kuamini kila mtu ana mapungufu yake na kukosea ni ubinadamu, pia Bora kujikita kuto ku expect much from people Ili usiumie na kubwa zaidi ni kupuuza vitu vinavofanywa na wengine hapo utakuwa na amani na furaha.
 
Ushauri wangu Ni huu
1. Oa rafiki yako
2. Oa kutoka the same background
3. Oa mtu wa kwenu
4. Mkeo asikuzidi kipato
5. Epuka kuoa makabila usiyojua Mila na desturi zao. Wachaga wananielewa kwa hili
Kuoa ni bahati unaweza ukafata kanuni zote at the end akawa shetani
 
Wanaume umalaya hawaachi, na kama hatulii siumuache ale Raha kwanini umpangie na kitendea kazi chake atumie chako tu Ili iweje, na wewe ukikitembeze tu umenyimwa,ndio maana wanaume hawadumu kisa maujinga haya ya madawa na kumfanya zezeta, imagine michepuko Ina mlisha matakataka Ili kumu win mume aache mke, na mke naye ana mlisha malibwata kumtuliza kwanini hayo mapepo yasimuue huyo mwanaume.
Huwa wanakua vichaa na mazobaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Limbwata mchezoooh? Lol
 
Huwa wanakua vichaa na mazobaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Limbwata mchezoooh? Lol
Ujinga mtupu mtu una mroga mumeo Mambo yanaharibika unakuwa maskini sasa hyo ni akili matope?
 
Kuna watu hapa duniani wanapitia maisha magumu kwenye ndoa.

(Samahani mimi sio mwandishi mzuri wa story)

Kuna mwenzangu tulisoma naye O level, mimi niliendelea A level na yeye akaenda DIT kipindi hicho ikiitwa Dar Tech, hatukuonana miaka mingi sana na sikujua yupo wapi. Kwa bahati tu nikawa nimepata uhamisho kwenda ofisi nyingine, nikamkuta jamaa pale ofisi na ana madaraka makubwa kuliko mimi.

Na wafanyakazi wa pale anawanyanyasa sana ila wakaona kwangu ni tofauti kabisa akiniona au akiwa anatoa majukumu kwangu huwa anakuja kuniomba labda kwakuwa najua kila kitu chake na najua uwezo wake kwenye fani ile maana tuna fani moja.

Nikaambiwa huyo bosi hana ushirikiano na wenzake hata michago ya kijamii hatoi, kwahiyo watu wanamwangalia tu ngoja apatwe na tatizo tutamkomesha haswa. Kusikia hivyo nilishtuka sana ila nikasema labda ni maneno ya watu kwakuwa ni mgeni.

Pia niliambiwa kuwa hawajawahi kumuona anakula chochote mpaka anatoka kazini.

Kuhusu chakula nikanza kwenda ofisi kwake kumwita kuwa twende tukanywe chai na chakula kwa muda wa wiki hivi akagomesha kuwa hanywi chai wa chakula kwenye restaurants za hapa kazini kuwa sio safi kumbe alikuwa anaogopa kununua.

Ikapita kama mwezi nikamwambia twende tutoke nje kuna sehemu nimeona chakula kizuri nitakununulia jamaa akakubali kwa shingo upande tukaenda tukala, kesho yake ikawa hivyo hivyo na kuendelea, mpaka ikafika muda akawa anakuja ofisini kwangu kuniambia twende kula ila yeye ni kuagiza tu kulipa ananiangalia mimi ndo nilipe ikaenda kama kwa muda wa miezi miwili na nusu kama sikosei kwa hali hiyo mpaka nikasema kumbe nilifanya kosa kumwambia siku ya kwanza nitakununulia chakula.

Ila nikajipa moyo kuwa mbona nyumbani nina watu wengi na sio watoto wangu ila wanakula na kushiba na wala sijafirisika, ngoja tuende hivyo hivyo pia muda wangu wa kukaa pale kazi ikuwa unaisha narudi kofisi za mwanzo ko isinipe tabu.

Kuna siku tukiwa tunafanya kazi moja nikaamua kumueleza jinsi wafanyakazi wenzake wanavyomsema kuhusu kuwanyanyasa na kutokuwa na ushirikiano katika mambo ya kijamii, alishtuka kiasi akasema kwa mshangao, "kumbe!''

Akawa kama mtu aliye changanyikiwa akaongeza sauti ya juu kuwa achana na wale hawana elimu niwajinga tu na hawanisaidii chochote.

Nikamwambia hapana kuna umuhimu wa kukaa vizuri na jamii maana unaweza ukapatwa na tatizo ikashindikana kusaidiwa, nikampa mfano itokee mtoto wako au mke wako amepungukiwa damu na wafanya kazi wenzako wakagoma kujitolea utajisikiaje?

Hapo akatulia kwa muda bila kuongea na mimi nikajifanya nipo busy na simu yangu.
Baada ya dakika kama tano hivi akanimbia wewe kweli ni rafiki mzuri umeongea jambo jema huku akionekana ubongo wake kama ame RESTORE TO FACTORY SETTINGS.

Akaniamia ngoja nikuambie rafiki, sio kuwa sipendi kushirikiana na wenzangu ila saivi sina pesa angalia hata uvaaji wangu sio ule ulionizoea.

Hapo nikashtuka tena huyu mtu anaongelea nini wakati mshahara wake umenizidi kama 500k kutokana na madaraka aliyonayo pia ana allowance nyingi kuzidi mimi? Ikabidi nicheke na kusema acha utani ndugu.

Akanza kujifikicha macho kama mtu anayejifuta machozi na sauti ikabadilika kuwa ya upole na kuanza kuniambia kuwa yeye hana madaraka na mshahara wake wala posho zake bali mke wake ambaye ni mama wa nyumbani yeye ndo ENGINEER wa mambo yote.

Akaendelea kusema kuwa yeye ana pewa elfu 45 tu kama nauli ya usafiri, na anaambiwa kuwa chakula akale home tu, akifika huwa ananushwa kama amekula huko nje na ikigundulika hapewi chakula siku hiyo nzima.

Pia akaniambia ndo maana kila akila nje lazima apige mswaki ili mke wake asijue maana hata akila muhindi tu ni shida. Na wakati mwingine huwa anatembea kwa mguu umbali wa lisaa na nusu akikosa nauli.

Nikampa mpole huku nikishangaa maisha anayopitia mtu anaye pata mshara wa 3M.

Nikamuliza una nyumba ngapi maana gari nilijua hana, kwa Ubahili huo na muda alio fanya kazi ni mrefu maana aliajiriwa akiwa na diploma ila alijiendeleza akiwa kazini.

Akanijibu bado amepanga ila gari alimnunulia mke wake na hairuhusiwi yeye kulitumia kwa shughuli yoyote ile labda mke wake ndo ampeleke na gari.

Akaniambia kuwa akifika nyumbani huwa hana amani pia anamuogopa mke wake kama yupo na simba nyumba moja, ndo maana huwa anachelewa kutoka kazini.

Nikamuliza unaishi vipi na mtu unaye muogopa? Akasema akiwa huku nje huwa hogopi na unakuta anapanga akilini mwake kuwa nikifika home nitaenda kufanya mapinduzi na kumfukuza mwanamke ila akifika tu home anakuwa mnyonge ila anakuwa na uelewa wa kwake kabisa ila anamuona mke wake kama simba.

Pia yeye akaniuliza sijui nifanyaje, ingawa siku hizi uwoga umeanza kupungua kiasi chake na anaweza kubishana naye ila kwa uwoga sio kama mwanzo ambapo kila kitu ni kuitikia kwa kichwa maana alikuwa anaogopa kutoa sauti asije pigwa na mke wake.

Tuliongea mengi na mwishowe nikabaki kuumpa pole tu nilishindwa kumpa ushauri wowote, na muda wangu wa kukaa hapa umekaribia kumalizika.

Sikuamini niliyo ambiwa ila kweli kuna watu wanapitia magumu katika ndoa. Muombe Mungu yasije kukukuta ya kupewa 45k out of 3m kwa mwezi.
Kashalishwa nyama ya chini huyo
 
Ushauri wangu Ni huu
1. Oa rafiki yako
2. Oa kutoka the same background
3. Oa mtu wa kwenu
4. Mkeo asikuzidi kipato
5. Epuka kuoa makabila usiyojua Mila na desturi zao. Wachaga wananielewa kwa hili

Mm mchaga mke Mfipa wa kijijini mmb safi
 
Kashalishwa nyama ya chini huyo
Nyama ya chini au utundu mwingine wanaofanya, wakati anapika chapati, akishapika Ile ya kwanza anaiweka kwenye stuli halafu anavua chupi na kuikalia Ile chapati LIVE bila chenga mpaka amalize kupika zile nyingine. Sasa Ile iliyokaliwa uchi ndio ya mzee. Yaani tiGO , papuchi vyote vimeipumulia Ile chapati halafu mwanaume ndio unaila na supu yenye kipande kimoja Cha nyama kilichookwa papuchini.
Ndio maana hata bungeni unaonaga wanaume wanaongea Kama misukule maana yamelishwa mavi.
 
this happened kwa Mzee wangu... alipojaribu kumnasua tu rafiki yake waligombana hawakuzungumza miaka miwili na walikua wanafanya kazi sehem moja. Mkewe alikua analeta viben10 ndani analala nao mumewe akiwa kazini hadi watoto tunashuhudia nikawa najiuliza uyu FAZA chizi nini... jamaa akiambiwa anasema wanamuonea wivu tu mkewake akioneshwa live anakataa tu yaani it was too much.. mshahara wife ndo alikua anapangia matumizi. Ila baadae dawa iliisha nguvu naona ndoa ikavunjika mali zikauzwa urafiki na mzee wangu ukarudi sadly it was too late mke alishampa "ngwengwe" jamaa. R.I.P
 
Back
Top Bottom