Kisa kipi kilikufanya ujute sana?


sio kila kitu cha kusimulia Mkuu, kuna siri nenda nazo kaburini.

Natumai hautoelezea ilikuwaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Ok
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
sio kila kitu cha kusimulia Mkuu, kuna siri nenda nazo kaburini.

Natumai hautoelezea ilikuwaje
siwez kuielezea lakin hata nikiamua kuielezea haina madhara kabisa maana nilifanya bila kujua kama ninafanya uovu na matokeo yake hayakuonekana mda huo huo,

Ilichukua mda sana hadi baadae ambapo matokeo yalionekana kwa hiyo nilijua ukweli kwa kuunganisha matukio ila ndi ikawa tayari yalishamwagika hayawezi kuzoleka na hata kama ningejua sikuwa na namna ya kumnasua maana tayar alikuwa anakufa ndani kwa ndani hapa kinachoniuma ni kujua kuwa nimetumiwa kuuwa pasipokujua
 
Mim mpaka leo najuta kuwahadithia washkaj zangu namna nilivyomla jimama la miaka 45+.

Yaan mpaka leo wakimuona lazima wanizingue halaf jimama lenyewe halivungi likiniona na washkaj lazima lije[emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah.
 
Vipi aliyekutumia alijua kuwa umegundua mchezo wake?
 
Nipe tano mkuu
 
Nimecheka kama mazuri ila jamaa yangu unaonekana ni mtundumtundu sana
 
Nitaleta yangu jinsi mbuzuza ilivyotaka kuniua sitasahau aisee duh nimeshikiwa bastola kiss mbuzuza
 
Kitu pekee najuta ni kupenda kula mishangazi, hii hali ilianza wakati na balehe yaani nikiwa na umri wa miaka 17 tu nishamla mmama mwenye miaka 45+.

Kama ambavyo mnajua mazoea ni tabia, niliendelea kutoka na mishangazi kiasi kwamba ikaniharibu kisaikolojia nikawa sipendi tena mabinti wenye umri kama wangu.

Ingawa sijaacha bado lakini namshukuru Mungu kwasasa ninapita na mbususu ya umri wowote. Huo uraibu ni mbaya nyie kuliko hata madawa ya kulevya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…