Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Polee sana mkuu,kama hukudhamiria kufanya hilo tukio huna haja ya kujutia sana,kikubwa fanya sana ibada .....pia nakushauri hii story usiipandishe jukwaani watu wanaweza kufungua code kufuatana na mtiririko wa tukio.
 
Duuuuuh hii story sio Tabora boys kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Itakuwa alikuwa mwanaume sema unaficha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Drogba? Vipi mwanangu? Unaendeleaje [emoji23]
 
Kufa kupo pale pale ndio maisha ya mwanadamu....ila kwanza lazima niondoke na wengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usifanye hivyo mkuu. Si jambo jema. Hata kama alikuambukiza alifanya akiwa anajua wewe usifanye hivyo kwa wengine.

Life is a precious gift, usibebeshe wengine huo mzigo kwa kudhamiria.
 
yaani wewe ni mi mi kabisa mkuu-mimi jana tu nimetoka kuwakiana na mmoja hapo Bungoni....kila kitu nalipa kuanzia ada,nguo,sikukuu,chakula etc,..halafu anawapigia simu rafiki zangu eti sihudumii mtoto.

mbaya sana
Jitahidi uwe unatunza risiti zote za Ada, na hata ukituma muamala kwa simu; tunza copy yake somewhere. Hata kesho akija kudanganya kwa mtoto kwamba ulikuwa huwajibiki; unamtolea tu hizo copies.

Hizi drama nyingine; zinasababishaga hata mzazi asiwe na muda mzuri na mtoto; zaidi ya kutuma hela tu. Maana unaweza sema ngoja nipige simu nimsalimie mtoto; ila ukiwaza tu drama utakazokutana nazo; unapiga kimya.

Hizi drama zinaumiza sana watoto, sijui kwa nini baadhi ya wazazi hawataki kulea watoto kwa amani. Mtu mmeshaachana, hata ununaje hakurudii; si uendelee na maisha yako tu?
 
Usifanye hivyo mkuu. Si jambo jema. Hata kama alikuambukiza alifanya akiwa anajua wewe usifanye hivyo kwa wengine. Life is a precious gift, usibebeshe wengine huo mzigo kwa kudhamiria.
Sawa mzeya nimekusikia wacha niendelee kula mbususu liwalo na liwe
 
Ila mwamba kwenye michezo ya pesa umebakisha mambo mawili. Utusue au zikutoe uhai
 

Ankol ilibidi mkeo ajue hili mapema hata kabla hujamuoa. Ili ajue tu kutakuwa na simu za baby mommas, kuna muda utakuwa na watoto wako wengine possibly wakiwa na mama zao n.k. Imagine mtu kukutamkia kuwa angejua kuwa una watoto asingekukubali.

It hurts mnoooo, maana ni dhahiri kuna muda anajuta kuolewa na wewe kwa sababu ya anayoyapitia kwa ajili yako

Weka tu mazingira mazuri ya kuwasiliana na hao wazazi wenzio. Zidi kuongea na mkeo kuwa akusamehe na mshikamane pamoja katika kuwalea watoto wako na wenu; mpeane suggestions bora za kulea watoto. Usijefanya siri kwenye kitu chochote kinachohusu hao watoto wako; itakuwa vita nyingine

Watoto ni baraka, bila kujali wamepatikana kwa wakati au mazingira gani. Sema ndiyo vile wakija nje ya utaratibu; kuna changamoto zitajitokeza tu
 
Aisee nyinyi ndo watu mlifukuzwaga chuoni kwetu, hilo dili mulikuwa mkifanya kupitia mgongo wa crdb , aisee umenikumbusha mbali, walifukuzwa wanachuo kama 10 na zaidi chuoni kwetu. Pole
Hii ni MU. Hawa watu walisabanisha turudishwe benki kulipia mia mbili halafu tusubiri siku nzima kupewa risiti yani
 
Hii sio singida,ilongero?
 
Nakumbuka angali nipo kidato cha tatu mim na rafiki angu tuliwapiga Stiki madogo wa Form 1 sasa kamoja kaka zimia Pale pale
na bahati mbaya mwalim nae anatokea kule Chimbo basi tuka kimbia Tukasepa zetu kijj jirani

Tukakaa pale kijjn siku tatu uko shule tunatafutwa kesi ilibidi iende polisi lakin mkuu wa shule tumekutana kabila moja akaliziwia pale tukaenda shule kujisalimisha wenyewe Tumekuta walimu wanatusubiri kwa bashasha Basi pale kengere ikagongwa wanafunzi wote wakafika paredi.

Tukapewa suspendi mpaka bod ikutane ikae balaza iamue basi tukaaa kitaani na mwanangu yule kurudi home jau inabidi tukapige vibarua kulima songea aridhi ngumuAisee nilijuta sana tulitegemea mkuu atuite lakini wapi mwaka mzima uku wazee hawana taarifa mwezi wa kwanza inabidi turudie darasa Mwenzangu akakataa akawa anafanya mishe zake mimi nikaamia shule nyingine jiarani ilikuw
a 2011 iyo Yule mwanangu sana saizi ametangulia mbele ya haki Rest easy Rasta.

Baaada ya kuamia ile shule jirani sasa angali nipo kidato cha nne nikapata mwanangu mwingine ten mbishi na muhuni alikuwa anagombea dem na Ticha akataka wapigane sasa mimi nliingilia ule ugomvi na kutaka kuchoma nyumba ya yule mwalimu alikuw makamu mkuu wa shule ,

Yule jamaa alipigana na mwalimu mim kosa langu kuingilia ule ugomvi ilikuwa usiku wanafunzi wengine wapo prepo sisi tunapigan bombani na yule mwalimu kesi ile ilienda adi kw mkuu wa shule nikapewa tena pendi nije siku ya mtihani wa taifa ilikuwa mwezi wa 5 iyo nilkaa ad mwezi wa kumi lakin sikwenda home nilibak hapo hapo kijjn ad mwez wa kumi nimepiga sana boda boda hadi nikapata zero pro max mtihani wa mwisho.. utoto ulitusumbua sana.
 
Japo nimewahi isoma kule ila nimecheka kinoma aisee. Maombi tu ni like ombi la baba yako kwamba Na wewe utazaa lisikurudie aisee maana kuiba nguruwe Na kelele zote zile. Wewe ni kiboko
 
....hakika.

anasema ni lazima nisiwe na amani-atakuwa ananichafua
 
Daah ulizingua sana Mkuu,vipi ulirudi tena kwa mara nyingine kufanya kweli ili kufuta hiyo dosari?
 
Daaah!pole kwa watoto wao!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…