Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

We need to smart...Bi Mkubwa mara nyingi atapambana hadi akikishe kuna kula kusoma na maisha mengine mema yaje.Alafu hana kinyongo mdingi akirudi choka mbaya atampokea na kumshukuru Mungu...
Muendelezo ndio ule ule ususani sisi vijana tuache kujisahau na kuwatupa watoto wetu..Somo kubwa sana...
 
Ulitakiwa kutiwa risasi ya kichwa.
 
Aisee umemkill Faki
 
At my early 20's, siku moja nilikuwa na ugwadu sana so nikaenda pale Manzese kwa malaya.

Kwa mbali nikamuona mmoja amenona sanaaa, kutokana na zile taa zao sikuweza muona vizuri.

So nikaingia moja kwa moja ndani, hapo ndipo nilipoduwaa.


Aisee ni mama mtu mzima sana rika hata la mama yangu mzazi. Kwa kweli nilifanya ile sex hata utamu sikuusikia, mawazo yalikuwa mbali sana.


Nikajua njaa mbaya sana. Niliumia mno kwa bibi yule kufanya biashara ya namna ile.

Huwa naumia sana mpaka leo hii nikikumbuka ga hili suala.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu we noma sana

Endelea kushusha kama bado zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oya sasa kwanini hukutimua mlivyoitwa na maafande?

Ulihofia nini tena kama mitihani ulishamaliza?

Sisi tulikuwa tunaogopa kufukuzwa shule tu lakini baada ya mitihani walimu ndio walikuwa wanatembea watatu watatu kuepuka kichapo cha revenge katika miaka minne yote waliyotutesa
 
Shukuru hukumkuta na upele
 
Pole sana mwamba
 

Hahahahaha nmecheka eti ana bakwa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…