Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Nakumbuka nikiwa advance wananchi walikuja shule wamesara ubaya Ni kwamba sisi wengine tuko mabwenini kidogo tungechinjwa na wale raia wenye hasira.

Sababu, Kuna wanafunz walikuwa Wana drop kwenda kwa mtaa na kuiba Mali za wananchi na kula mbususu za wake wanakijiji

Nusura muandika post hii akatwe panga miguu haikuwai nisaliti😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zero pro-max,,,,zero plus

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unajikuuuta mot spika,,,mm nmesema watoto wa kiume not wanaume,if ww n mwanaume hio coment haikuhusu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
 
Watt wasumbufu km wewe mnatakiwa kupigwa risasi za kichwa kmninaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Duuh we umetisha

Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
 
Mtu akiua watu wawe wanatafuta na sababu, sio kumlaumu tu muuaji
 
Nlichojifunza kwako. Binadamu hakomi
 
Unajikuuuta mot spika,,,mm nmesema watoto wa kiume not wanaume,if ww n mwanaume hio coment haikuhusu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Good.

Sasa mtoto wa kiume jifunze kutoka kwa mwanaume.
Chukua huo ushauri na funzo kutoka kwa mwanaume mwenye busara na hekima kabla wanaume wasio na busara hawajakufundisha kuheshimu cha mtu kwa nguvu then ukaja kujuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…