Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Nakumbuka nikiwa advance wananchi walikuja shule wamesara ubaya Ni kwamba sisi wengine tuko mabwenini kidogo tungechinjwa na wale raia wenye hasira.

Sababu, Kuna wanafunz walikuwa Wana drop kwenda kwa mtaa na kuiba Mali za wananchi na kula mbususu za wake wanakijiji

Nusura muandika post hii akatwe panga miguu haikuwai nisaliti😂
 
Nakumbuka angali nipo kidato cha tatu mim na rafiki angu tuliwapiga Stiki madogo wa Form 1 sasa kamoja kaka zimia Pale pale
na bahati mbaya mwalim nae anatokea kule Chimbo basi tuka kimbia Tukasepa zetu kijj jirani

Tukakaa pale kijjn siku tatu uko shule tunatafutwa kesi ilibidi iende polisi lakin mkuu wa shule tumekutana kabila moja akaliziwia pale tukaenda shule kujisalimisha wenyewe Tumekuta walimu wanatusubiri kwa bashasha Basi pale kengere ikagongwa wanafunzi wote wakafika paredi.

Tukapewa suspendi mpaka bod ikutane ikae balaza iamue basi tukaaa kitaani na mwanangu yule kurudi home jau inabidi tukapige vibarua kulima songea aridhi ngumuAisee nilijuta sana tulitegemea mkuu atuite lakini wapi mwaka mzima uku wazee hawana taarifa mwezi wa kwanza inabidi turudie darasa Mwenzangu akakataa akawa anafanya mishe zake mimi nikaamia shule nyingine jiarani ilikuw
a 2011 iyo Yule mwanangu sana saizi ametangulia mbele ya haki Rest easy Rasta.

Baaada ya kuamia ile shule jirani sasa angali nipo kidato cha nne nikapata mwanangu mwingine ten mbishi na muhuni alikuwa anagombea dem na Ticha akataka wapigane sasa mimi nliingilia ule ugomvi na kutaka kuchoma nyumba ya yule mwalimu alikuw makamu mkuu wa shule ,

Yule jamaa alipigana na mwalimu mim kosa langu kuingilia ule ugomvi ilikuwa usiku wanafunzi wengine wapo prepo sisi tunapigan bombani na yule mwalimu kesi ile ilienda adi kw mkuu wa shule nikapewa tena pendi nije siku ya mtihani wa taifa ilikuwa mwezi wa 5 iyo nilkaa ad mwezi wa kumi lakin sikwenda home nilibak hapo hapo kijjn ad mwez wa kumi nimepiga sana boda boda hadi nikapata zero pro max mtihani wa mwisho.. utoto ulitusumbua sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zero pro-max,,,,zero plus

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hamna uko peke yako mkuu.
Tofautisha watoto wa kiume na wanaume.
Mwanaume haibi bali anatafuta kwa nguvu zake na kula jasho lake.

Kuiba sio uanaume ni utoto au subiri dunia ya wanaume ikufunze madhara ya kuchukua kitu cha mwanaume kilichotafutwa kwa nguvu, damu, jasho na akili ndio utajua maana ya uanaume.
Unajikuuuta mot spika,,,mm nmesema watoto wa kiume not wanaume,if ww n mwanaume hio coment haikuhusu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
Watt wasumbufu km wewe mnatakiwa kupigwa risasi za kichwa kmninaa
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23]Duuh we umetisha

Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
Mtu akiua watu wawe wanatafuta na sababu, sio kumlaumu tu muuaji
 
Another One!

Kipindi fulani nimepata mchongo Nairobi, Kenya.

Kwenye kampuni moja hivi inajihusisha na mauzo ya mfumo fulani wa Computer [Sitasema ni System gani].

Mfumo ulikua umekamilika kisawasawa kulingana na namna ulivyokua unafanya kazi katika kutimiza mahitaji ya wateja. Kwaiyo bei yake ilikua imechangamka kidogo lakini makampuni yalilipia bila shida kwa sababu ya namna ambavyo mfumo uliwarahisishia kazi.

Sasa huo mfumo ulikua una ada zake za kila mwaka (annual subscriptions fees) ambazo nazo ni kubwa kidgo kwa wale wateja ambao bado wanaendelea kutumia huo mfumo. Ila kwa wale ambao wameshindwa kulipia, mfumo unafungwa (license ina expire) hadi watakapolipia tena.

Mimi na Jamaa yangu mmoja tukaona fursa kwa wale ambao wanashindwa kuendelea kutumia mfumo kwa sababu ya gharama zake kuwa kubwa. Tukaingia mzigoni kucheza na lile file la license (lilikua limesukwa na lugha ya Delphi) mpaka tukafanikiwa kujua namna ya kulichezesha ili mfumo uendelee kufanya kazi. NB: Hiki sio kitu kizuri, Usijaribu utafungwa!

Kampuni ilikua ina milikiwa na wazungu, kwaiyo sisi tunatumwa kufanya marketing, installations na trainings kwa wateja. Pia tulikua tunafanya support kwa wale wanaokutana na changamoto za mfumo hata baada ya kuanza kuutumia. Kwaiyo tulikua tunajua A2Z ya wateja wote ambao tulikua tunafanya nao kazi vizuri.

Sasa basi, baaada ya kufanikiwa kucheza (crack) na license file, tukaanza kuwa approach wateja waliokua wanatumia mfumo halafu wakashindwa kuendelea nao kimya kimya na kuwapa offer ya punguzo la bei na namna wanavyotakiwa kufanya malipo (tukabadilisha hadi zile payments methods, mpunga uwe unaingia kwetu). Duh, ujanja ujanja sio kitu kizuri ila anyway I have learnt my lessons!

Sio siri jamaa walikua wanatulipa vizuri sana plus allowance za kukidhi mahitaji ila ndoivo tamaa haina aibu. Tukaanza kupiga hela, chezea discount wewe! Wateja wote waliokua wamekufa wakafufuka na mtonyo tukawa tunapokea sisi. Si tukajisahau...asalaaaaleee. Siku moja mteja mmoja akawa amekwama kufanya kitu kwenye mfumo sasa ile kututafuta mimi sikua online, jamaa yangu naye alikua anakula bata kama kawaida yake maana illikua ni siku ya jumapili kama leo. Heheee

Saa ngapi yule mteja asitafute contacts za mzungu aanze kuwasiliana naye na wakati sisi tulisha update taarifa zake kwenye mfumo wa CRM kuwa ni Dead Customer. Si akafunguka kuwa alikua anatumia mfumo toka kitambo tu na alikua anawasiliana na sisi...duuuh

Wazungu wakatusubiri Juma3 Ofisini. Hatuna hili wala lile. Tuko na hangover zetu. Kwa namna salamu zilivyokua zinapokelewa ofisini na namna tulivyokua tunapewa zile weird looks nikajua kuna kitu hakiko sawa hapa. Machale yakanicheza kidgo lakini haikusaidia.

Nikashangaa mimi na jamaa tu ndio tunaitwa kwenye kikao cha dharura. Duuuh tukavuliwa nguo vibaya sana. Heshima yote tuliyokua tumejijengea ofisini pale ikayeyuka yooote! Kumbe hadi emails zimeshatumwa kwa wateja wote kuwa sisi sio wafanyakazi wa pale tena, sisi hata hatujui. Kumbe tumeshatolewa kila mahali wafanyakazi wote wanajua hata hatuelewi.


Tukanyang'anywa kila kitu cha ofisi. Kazi hakuna. Nikapewa siku mbili tu za kubaki kwa kenyatta zaidi ya hapo nikionekana nadhurura ni ndani. Na hiyo pia ni kama favor tu nilipewa maana wangeamua kwenda mahakamani ilikua ni ndani moja kwa moja.


Dah niliteseka sana baada ya hapo. Kwa sababu connections zote nilizokua nazo zilikua zinatokana na kazi za hao jamaa na wameshachafua hali ya hewa kila mahali. Nilisota sana kupata kazi nyingine.

Kuna kipindi nikaanza kukumbuka maisha niliyokua naishi pale Ruaka Dah.. Nikawa najuta sana. Nikaweka nadhiri rasmi sitakaa nijihusishe na illegals tena!


Na hilo likawa funzo langu!
Nlichojifunza kwako. Binadamu hakomi
 
Unajikuuuta mot spika,,,mm nmesema watoto wa kiume not wanaume,if ww n mwanaume hio coment haikuhusu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Good.

Sasa mtoto wa kiume jifunze kutoka kwa mwanaume.
Chukua huo ushauri na funzo kutoka kwa mwanaume mwenye busara na hekima kabla wanaume wasio na busara hawajakufundisha kuheshimu cha mtu kwa nguvu then ukaja kujuta.
 
Back
Top Bottom