Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Demu wako nae fala anapokea tu vitu asivyovijua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Duuuh, Nini kilimkuta Angel mkuu?
 
Duhh [emoji848][emoji16][emoji16][emoji16] huyo Manzi alikuonaje !?

Sad [emoji30][emoji20]
 
Nilibebeshwa mavi mkononi kwa sababu ya upole


Mimi ni mpole ila nilivyokuwa mdogo nilikua mpole kupitiliza ndo maana nilibebeshwa mavi ambayo sikunya mimi.


Kipindi nipo darasa la kwanza nilipelekwa boarding sasa hiyo siku tuko zetu tunacheza mida ya jioni akaja matron akatuita boys wote tulikua kama 30 hivi ambao tunakaa bweni na tulivyokusanyika akatuambia nifuateni tukaona anaelekea chooni basi tukamfwata tulivofika chooni ile sehemu ambayo ipo special kwa ajili ya haja ndogo tukakuta mavi yapo makimba matatu yamejipanga matron akauliza nani kanya hapa ina maana vyoo hamvioni mpaka mtumie sehemu ya haja ndogo nitajieni aliyekunya hapa.


Wote tulikua kimya mara ghafla kuna dogo mmoja mmasai anaitwa Lomnyaki akayasogelea yale mavi akayaangalia afu akanitaja akasema matron huyu Mafian cartel haya mavi yake kabisa yeye ndo kanya hapa mavi yake nayajua dah nilishangaa sana kumsikia Lomnyaki akinisingizia kosa ambalo sikufanya sijui alikua ana malengo gani kunichoma kwa matron


Basi Matron hakutaka maelezo akawaruhusu wenzangu waondoke akabaki na Mimi na kunihoji kwa nini nimekunya sehem ambayo siyo sahihi basi na Mimi na upole wangu ambao ulikua uboya nikawa nalia tu kwa kuonewa matron akasema wewe lia ila haya mavi uyazoe ukatumbukize Kwenye tundu la choo nikirudi nisikute mavi hapa afu akaondoka


Dah sasa nikabaki pale nahuzunika moyoni namlaumu Lomnyaki kwa kunichoma,basi nikachukua toilet paper nikaanza kuokota kimba moja napeleka kudumbukiza Kwenye tundu la choo nikachukua tena lingine hadi nikamaliza kuzoa makimba yote matatu kisha nikanawa na kumwambia matron nishamaliza kuzoa makimba yale.akasema sawa nenda ila usirudie tena.


watu walinicheka sana na kunitania pale shule mpaka Leo natafakari kwanini Lomnyaki alinichoma wakati mimi sihusiki labda yeye ndo aliyekunya n kuamua kuniuzia kesi

Mataccor yako Lomnyaki
 
Ulikuwa na mazoea na shobo za kifala, thats why wakakufanya mbuzi wa kafara
 
Good.

Sasa mtoto wa kiume jifunze kutoka kwa mwanaume.
Chukua huo ushauri na funzo kutoka kwa mwanaume mwenye busara na hekima kabla wanaume wasio na busara hawajakufundisha kuheshimu cha mtu kwa nguvu then ukaja kujuta.
Mm point yangu ilikua mtoto kua mdokozi kipindi cha utoto sio utu uzima

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dah umenikumbusha mbali sana......sitasahau aiseh[emoji22]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 

Ina huzunisha kwa kweli
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu iligharimu watu pia chuo cha Iringa!
Hatu chuo nilichosoma mimi.. mimi mwenyewe ilibaki kidogo tu niingie maana washkaji tulikuwa tunapigika wote ghafla nashangaa wenzangu wote lunch za maana peke yangu ndio nmebaki kwenye dona la buku dah.. sema baada ya msala tulimaliza wachache sana chuo, wengine hawakurudi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…