Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

ahh… jmn coment km hizi mi huwa zinanipa wasiwasi

kwani tunashida gani sisi wake wa ndoa??? si mtuambie basi pengine tutajirekebisha

why wanaojuta kuoa ni wengi sana
Muda mwingine kuoa ninkama kuchukua mkopo benki na kusema ngoja nitunze hela ntapata cha kufanyia..
Utafurahia mwanzoni ila kama hukujipanga na makato na mipango mizuri utaishia kulia.
 
Powaa tuu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Malizia tujifunze...please
 
Aise nikimkumbuka yule mwanamke naishia kujuta kwa nini nilimgegeda siku ile....ndio safari yangu ya arv ilipoanza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]
 
Nima visa vyangu vilivyowahi kunitokea maishani nikiviweka hapa mnaweza kudhani mimi ni fiction/animation character
Wacha nile kaya kwanza nije kushusha stanzas
karibu stejini hata Yesu kuna watu walimkataa
kikubwa ni kuachana nao tu
tunasubiri story yako
 
Wenzio sisi tumekuwa ma MAJOR wewe umetolewa utoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…