Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Thanks for concerningNiamini mimi hutojutia!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks for concerningNiamini mimi hutojutia!!
Nilikua kijana mdogo. Sikua na uelewa wa namna mambo yanavyoenda huku ulimwenguni. Sikua najua karma na sheria zingine zinazotawala Dunia.Inaonekana unapenda sana magendo na utapeli.
Ndio huyu ulokua unamjazia mafuta ya gari kwa mshahara wako wa ualimu??😂😂😂😂Mengi mengi mengi ....mengi mnooo....ila kubwa kuliko ni kumwamini mwanaume....na sitokoma kujuta coz bado ni mwepesi sana kumwamini mtu mapema
Zinaa mbaya haijawahi muacha mtu salama ila polee ndo maishaaaNajutia sana kuwazalisha wadada. Sasa hivi maisha yananiendea kombo yaani niko na familia yangu lakini utasikia unapigiwa simu mara mwanao anaumwa mara ada. Yaani hata mke wangu hayuko comfortable na masimu simu.
Kuna siku aliniambia yani ungeniambia una watoto nje hata nisingekukubali. Daah naumia sana.
Na mimba juu mkuu.🙄Ndio huyu ulokua unamjazia mafuta ya gari kwa mshahara wako wa ualimu??😂😂😂😂
MmmhNiliingia choo Cha kiume..yaliyonikuta [emoji23][emoji23]
Hiyo mimba so mligawana utamu mkuu? Wote mlifaid😂Na mimba juu mkuu.🙄
SawasawaHiyo mimba so mligawana utamu mkuu? Wote mlifaid😂
Wewe Lea tu mtoto akikua baba yake atakuja speed at hapo sasa ndio kibao kinamgeukiaSawasawa
Kilishamgeuka kitamboWewe Lea tu mtoto akikua baba yake atakuja speed at hapo sasa ndio kibao kinamgeukia
KUMBE!!madams wengi HUWA wanajitosa KWA hofu ya muda na kukosa mwenzi wa Maisha!!Ndio mnajikuta mnaangukia kwenye MAUMIVU!!!na pia jamaal wanaogopa wake wasomi!!Na mimba juu mkuu.🙄
Ndo ivo mkuuKUMBE!!
Sasa fanya kuniamin Mimi..Kwamnza mimba sikupi halaf hata 100 hutakaa utumie..😜Kilishamgeuka kitambo
Wengi watakupinga ila ndo ukweli betting hazifai hata kidogoHakuna kitu najutia kama kujua kubeti, ni jambo lililopelekea kuniingiza katika uraibu mkubwa sana. Thnx God now nimeacha
And nilikuwa 24 tu....kwa kweli sitomsamehe aliharibu future yanguKUMBE!!madams wengi HUWA wanajitosa KWA hofu ya muda na kukosa mwenzi wa Maisha!!Ndio mnajikuta mnaangukia kwenye MAUMIVU!!!na pia jamaal wanaogopa wake wasomi!!wanahisi kukosa Hali ya kujiamini!na sheria mbovu zinawaogopesha hasa zinazojali wanawake na watoto!!
Ndo ivo mkuHiy
Yaan mia yako au? Saivi siwez kabisa mkuu coz now nimekuwa mmama wa watoto wawili.Imetosha sasaSasa fanya kuniamin Mimi..Kwamnza mimba sikupi halaf hata 100 hutakaa utumie..😜