Aisee wewe kujisamehe hili suala ni ngumu sanaa pole sana mkuu... daah ulimi huu hatari sanaMimi nakumbuka kipindi nasoma darasa la tano na Dada yangu alikuwa kidato cha kwanza .siku moja Dada alitutoroka ndani akaenda kulala kwa mwanaume asubui saa 12 akarudi huku mzee hajui basi pale mimi so nikamsemelea kwa mzee aisee mzee alimtandika sister hadi akazimia Baadae akafufuka , kumbe Dada alikuwa na mimba kidogo Sasa kutoka na kipigo ile mimba ikaharibika Akapelekwa hospital daah aisee Dada akafariki hilo naumia hadi leo bora nisinge sema na Baba nae akafungwa Jela miak 9 bahati zuri alotolewa kwa msamaha wa Rais.
Aisee hatari sana sema ulifanya jambo jema outcomes ndio ilikuwa changamotoMimi nakumbuka kipindi nasoma darasa la tano na Dada yangu alikuwa kidato cha kwanza .siku moja Dada alitutoroka ndani akaenda kulala kwa mwanaume asubui saa 12 akarudi huku mzee hajui basi pale mimi so nikamsemelea kwa mzee aisee mzee alimtandika sister hadi akazimia Baadae akafufuka , kumbe Dada alikuwa na mimba kidogo Sasa kutoka na kipigo ile mimba ikaharibika Akapelekwa hospital daah aisee Dada akafariki hilo naumia hadi leo bora nisinge sema na Baba nae akafungwa Jela miak 9 bahati zuri alotolewa kwa msamaha wa Rais.
[emoji24][emoji24][emoji24]Mimi nakumbuka kipindi nasoma darasa la tano na Dada yangu alikuwa kidato cha kwanza .siku moja Dada alitutoroka ndani akaenda kulala kwa mwanaume asubui saa 12 akarudi huku mzee hajui basi pale mimi so nikamsemelea kwa mzee aisee mzee alimtandika sister hadi akazimia Baadae akafufuka , kumbe Dada alikuwa na mimba kidogo Sasa kutoka na kipigo ile mimba ikaharibika Akapelekwa hospital daah aisee Dada akafariki hilo naumia hadi leo bora nisinge sema na Baba nae akafungwa Jela miak 9 bahati zuri alotolewa kwa msamaha wa Rais.
Duh! hebu fanya kuomba toba mkuu japo lengo lako halikua baya,lakini naamini Kuna majuto unaishi nayo moyoni,tembelea walau kaburi la dada mara chache kwa mwaka umuombee tu angalau uchungu utapunguaMimi nakumbuka kipindi nasoma darasa la tano na Dada yangu alikuwa kidato cha kwanza .siku moja Dada alitutoroka ndani akaenda kulala kwa mwanaume asubui saa 12 akarudi huku mzee hajui basi pale mimi so nikamsemelea kwa mzee aisee mzee alimtandika sister hadi akazimia Baadae akafufuka , kumbe Dada alikuwa na mimba kidogo Sasa kutoka na kipigo ile mimba ikaharibika Akapelekwa hospital daah aisee Dada akafariki hilo naumia hadi leo bora nisinge sema na Baba nae akafungwa Jela miak 9 bahati zuri alotolewa kwa msamaha wa Rais.
Duh! hebu fanya kuomba toba mkuu japo lengo lako halikua baya,lakini naamini Kuna majuto unaishi nayo moyoni,tembelea walau kaburi la dada mara chache kwa mwaka umuombee tu angalau uchungu utapungua
Pole sana, tembelea Kaburi la Dada hata kwa mwezi mara moja kama halipo mbali alafu katika maombi yako usisahau kumuombea na yeye huko alipoMimi nakumbuka kipindi nasoma darasa la tano na Dada yangu alikuwa kidato cha kwanza .siku moja Dada alitutoroka ndani akaenda kulala kwa mwanaume asubui saa 12 akarudi huku mzee hajui basi pale mimi so nikamsemelea kwa mzee aisee mzee alimtandika sister hadi akazimia Baadae akafufuka , kumbe Dada alikuwa na mimba kidogo Sasa kutoka na kipigo ile mimba ikaharibika Akapelekwa hospital daah aisee Dada akafariki hilo naumia hadi leo bora nisinge sema na Baba nae akafungwa Jela miak 9 bahati zuri alotolewa kwa msamaha wa Rais.
Mkuu umejsahau una akaunti 2 hii unayojbia watu n ya beesmom bt uliyoletea kisa ni ya to yeye naona umejsahau na raia hawajastuka.Na mimba juu mkuu.🙄
Wewe ndo hujui nn kinaendelea. ..kiufupi sina ac mbili ila nilibadili jinaMkuu umejsahau una akaunti 2 hii unayojbia watu n ya beesmom bt uliyoletea kisa ni ya to yeye naona umejsahau na raia hawajastuka.
Mkuu ulishaacha kujichua kisimii?Wewe ndo hujui nn kinaendelea. ..kiufupi sina ac mbili ila nilibadili jina
Na sijawahi,afu kwann nifanye ivo mkuuMkuu ulishaacha kujichua kisimii?
Mkuu kuna thread yako humu, yenye jina la to yeye unalosema umebadili. Hiyo thread ulikuwa unasema ulifanya huo mchezo baada ya kuwa lonely sn after kuachana na mwanaume fulan ulikaa muda mrefu hujapata dushe so ukahamia huko kwa maelezo yako ukadai sasa umeolewa na mambo yako ok. Why nikusngzie mkuu? Unaonekana we ni mtamu sn mkuu sjui why naona ivo.Na sijawahi,afu kwann nifanye ivo mkuu
Mkuu kuna thread yako humu, yenye jina la to yeye unalosema umebadili. Hiyo thread ulikuwa unasema ulifanya huo mchezo baada ya kuwa lonely sn after kuachana na mwanaume fulan ulikaa muda mrefu hujapata dushe so ukahamia huko kwa maelezo yako ukadai sasa umeolewa na mambo yako ok. Why nikusngzie mkuu? Unaonekana we ni mtamu sn mkuu sjui why naona ivo.Na sijawahi,afu kwann nifanye ivo mkuu
Huwa sigeuki nyuma nikawa nguzo ya chumvi.AsanteMkuu kuna thread yako humu, yenye jina la to yeye unalosema umebadili. Hiyo thread ulikuwa unasema ulifanya huo mchezo baada ya kuwa lonely sn after kuachana na mwanaume fulan ulikaa muda mrefu hujapata dushe so ukahamia huko kwa maelezo yako ukadai sasa umeolewa na mambo yako ok. Why nikusngzie mkuu? Unaonekana we ni mtamu sn mkuu sjui why naona ivo.