Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

kila nikiandika nafuta maana yanatisha hadi hapa nilipofika πŸ™ŒπŸ»
 
Naitwa Analyse
 
Huna kosa,ukupenda kuona dada yako anaharibika...
Mzee ndio kazingua.
 
Aiseeeee wewe bhn weweee... Hii case ni nzito, ila poleni sana....
Mmmmhhh no comment kwa kweli
 
Umeacha kipande muhimu sana
 
Niliwahi pita na nguruwe kwenye pikipiki mbele ya Msikiti dah tulichapana sana na madogo wa msikitini pale. Wakanizidia bahati raia wakajaa. Ila nilizongwa sana. Nilichapika sana
Kwamba hili ni kosa??
 
Walipopekua wallet kuona ID hawakuziona noti bandia nyingine?
 
Mi najutia kurud bongo tuu.. tho niko mbion kusepa tena
Yaani weye sepa tu tena kimya kimya bana. haijalishi una umri gani, nenda kuree roho napenda! ukitaka nauri tutakupa!.....usiogope kuna kitu hukooo! ila hujajua!
 
Mzee hii kali..Nimempa vyeo zaidi JK wa ukweli
 
Wewe ndo hujui nn kinaendelea. ..kiufupi sina ac mbili ila nilibadili jina
Ooh! Ndio maana, kuna kipindi nilikuwa namtag to yeye lakini kwa bahati mbaya akawa hatagiki[emoji1787] Kumbe ndo wewe, haya bhana! Si ulisema utakuja Dar nikuchakate mbususu, au umehairisha[emoji41][emoji41]?
 
Dah imeniumiza Mimi ambae smjui je wewe ambae unamjua,,duh.pole,
 
Kuna watu unaweza kujuta kuwafahamu au kukutana nao..

Anakudhulumu na jela anakufunga Kisha anakutoa kwa masharti .. ..
 
Niliwahi pita na nguruwe kwenye pikipiki mbele ya Msikiti dah tulichapana sana na madogo wa msikitini pale. Wakanizidia bahati raia wakajaa. Ila nilizongwa sana. Nilichapika sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka hii siku

Sitasema ni mwalimu au askari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…