Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Naomba unisaidie kumwambia baba yako anielekeze na mm nipeleke Cheti mahala na Mimi nipate kazi.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Pole sana Mkuu, nishawahi kufanya hiyo kitu o level na advance na pia kwa mdogo angu nishawahi fanya kuanzia kidato cha tatu na cha nne, Sizani kama kuna mashine ya kufyatua hizo receipts labda alikudanganya ili uone ni shughuli pevu, ni uhuni mdogo tu unaofanyika na matokeo yake baada uchunguzi huo yanakuwa kama yalivyokuwa kwako

Makaratasi ya ofisi yanakuwa na pesa nyingi lakini bank pesa inakua ndogo

OVER!
 
Mimi ada nlikua napewa mwenyewe na mzee nikalipe bank nilikua nikipewa laki tano , hapo ada nalipa elfu 20 nyingine yote ni Bata , walikua walikua wanazani natokea family ya kitajiri kumbe dooh! Wazazi wanahangaika , sometime wanauza mpaka viwanja nipate ada

Ila walinishukur sana nilipo jipa jukumu la kumlipia ada mdogo wangu ilihali wanajua sijaajiliwa naunga unga tu mtaani na kazi za kusafisha taa za magari ya watu na kuondoa scratches
 
Sena mlikua wazembe sana , mshajua kimenuka mkawekwa uwanjani na mkashindwa kukimbia.
 
Nimecheka sana ilikua Njos nini
 
Haha, sio poa kabsa yan nkipita pale pasiansi hua naumia sna, kuna time mamb yanagoa nashndwa hat kupata msaada kutok kwa wazaz, yan nmetengwa na familia nzma

[emoji23][emoji23][emoji23] ulijifanya unaweza sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…