Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Pole sana Mkuu, nishawahi kufanya hiyo kitu o level na advance na pia kwa mdogo angu nishawahi fanya kuanzia kidato cha tatu na cha nne, Sizani kama kuna mashine ya kufyatua hizo receipts labda alikudanganya ili uone ni shughuli pevu, ni uhuni mdogo tu unaofanyika na matokeo yake baada uchunguzi huo yanakuwa kama yalivyokuwa kwako

Makaratasi ya ofisi yanakuwa na pesa nyingi lakini bank pesa inakua ndogo

OVER!

CBE hii bila shaka [emoji28]
 
KAMWE SIWEZI SAHAU TUKIO HILI

2018 kipindi nimemaliza kidato cha nne, sa day moj nlikua na washkaj zang nliomaliza nao shule tupo home seblen tunachek porn kweny Tv
, hapo tumewek CD kweny dek,
Tumechek mzigoo weeeee, hapo stim zimepanda kila mtu katoa mashne yake anaipooza,
Kipnd hcho wazaz wapo job na madogo wengne wap shule..
Tukiwa bdo tunaendelea kuchek porno wenyew tunaita Tution[emoji1787]
Gafla umeme ukakatika na CD ipo ndan ya dek,,, wale jamaa zangu wakaondoka nkabaki mwenyew nasubir umeme urud ntoe CD,
ikafka saa kumi bado umme haujarudi, na ndo time ya mzee kuja, pia akifika hua atak mtu achezee TV
kipnd natafakali nkaskia honi getini, nkajua n mzee hyu,, nkachomoa dek chap nkaend ficha chooni kuna kile kimlango cha juu kweny gypsum kwa ajili ya fundi kwend kweny dali, nlivyomalz nkaend kufungua geti,
Mzee akaenda chumbani kwake baadae akaja seblen akaon deck haipo, akaniuliza nkasem imeharbka nmepeleka kwa fundi ntaifata umeme ukirud
bas nkaend nje na mamb yang, baadae umeme ukarud nashangaa naitwa ndani kufika sebkeni nakuta porn ipo LIVE aloooooh nusu nizimie, nkaulizwa hiki n nn?nkawa sina majibu aisee
Nlipgwa
Ruka kichurachura
Tembelea tumbo
Pushup,
yan nlipgwa kama gaidi bahat nzur mam alitokea ndo naachwa ,, nakumbuk nlichanika usoni kidgo.
Kumbe mzee alvyotk job aliingia choon akaon gypsum kam imebomok kidogo, ule unga wake umemwagika chini, akahis kun kitu juu, alvyopanda akakuta deki,, NYIEEEEEE Mpaka leo hii nkionana na mzee ananiuliza kam bad anaangalia ila kiukweli nmeacha.
Kuanzia 2018 had leo sjawai kuangalia XNXX[emoji23][emoji23]
Huo msala ushawahi kunikuta kitambo hicho. Ila nili-solve kwa kuifungua deck na kuitoa CD [emoji331].
 
Aisee! ila sometimes hawa wanawake wanaya takaga wenyewe, ona sasa boda boda alkua anakula mzigo bure tu kaachika na msela hajamuoa matokeo yake ndo hayo, uzinzi hauna faida tu hata ivo...
Uzinzi ni mtamu wakati mnanyanduana ila matokeo yake Hasi huleta majanga makubwa mno.
 
KAMWE SIWEZI SAHAU TUKIO HILI

2018 kipindi nimemaliza kidato cha nne, sa day moj nlikua na washkaj zang nliomaliza nao shule tupo home seblen tunachek porn kweny Tv
, hapo tumewek CD kweny dek,
Tumechek mzigoo weeeee, hapo stim zimepanda kila mtu katoa mashne yake anaipooza,
Kipnd hcho wazaz wapo job na madogo wengne wap shule..
Tukiwa bdo tunaendelea kuchek porno wenyew tunaita Tution[emoji1787]
Gafla umeme ukakatika na CD ipo ndan ya dek,,, wale jamaa zangu wakaondoka nkabaki mwenyew nasubir umeme urud ntoe CD,
ikafka saa kumi bado umme haujarudi, na ndo time ya mzee kuja, pia akifika hua atak mtu achezee TV
kipnd natafakali nkaskia honi getini, nkajua n mzee hyu,, nkachomoa dek chap nkaend ficha chooni kuna kile kimlango cha juu kweny gypsum kwa ajili ya fundi kwend kweny dali, nlivyomalz nkaend kufungua geti,
Mzee akaenda chumbani kwake baadae akaja seblen akaon deck haipo, akaniuliza nkasem imeharbka nmepeleka kwa fundi ntaifata umeme ukirud
bas nkaend nje na mamb yang, baadae umeme ukarud nashangaa naitwa ndani kufika sebkeni nakuta porn ipo LIVE aloooooh nusu nizimie, nkaulizwa hiki n nn?nkawa sina majibu aisee
Nlipgwa
Ruka kichurachura
Tembelea tumbo
Pushup,
yan nlipgwa kama gaidi bahat nzur mam alitokea ndo naachwa ,, nakumbuk nlichanika usoni kidgo.
Kumbe mzee alvyotk job aliingia choon akaon gypsum kam imebomok kidogo, ule unga wake umemwagika chini, akahis kun kitu juu, alvyopanda akakuta deki,, NYIEEEEEE Mpaka leo hii nkionana na mzee ananiuliza kam bad anaangalia ila kiukweli nmeacha.
Kuanzia 2018 had leo sjawai kuangalia XNXX[emoji23][emoji23]

hahaaa yaani sisi wa zee wa VHS tulikuwa na utaalamu mpaka wa kuifungua deki yote na kuuchomoa mkanda[emoji16][emoji16][emoji16]team ilikuwa imekamilika kama ila ya preason break.

fikiria ile casset tape moja ya x ilikatwa,ikatafutwa nyingine ambayo nayo ni ya X ikaungwa,mzigo ukawa mkubwa sana kiasi unajaa upande mmoja kabla haujaisha upande mmoja[emoji2][emoji2]
 
Pole sana Mkuu, nishawahi kufanya hiyo kitu o level na advance na pia kwa mdogo angu nishawahi fanya kuanzia kidato cha tatu na cha nne, Sizani kama kuna mashine ya kufyatua hizo receipts labda alikudanganya ili uone ni shughuli pevu, ni uhuni mdogo tu unaofanyika na matokeo yake baada uchunguzi huo yanakuwa kama yalivyokuwa kwako

Makaratasi ya ofisi yanakuwa na pesa nyingi lakini bank pesa inakua ndogo

OVER!
Inanikumbusha mbali ktk ishu yangu kazini dah ngoja tu nikae kimya. Hya mambo hya yasikie tu Kwa mwenzako
 
Mimi nikiwa sekondari hali ya ada ilikuwa haiji kwa wakati, sasa rafiki yangu yeye ndio ilikuwa kazi yake kutengeneza risiti feki, sasa kila akiniambia mwanangu acha kulipa ada simuuelewi, ikafika maali somo lake nikalielewa na ikawa kazi yetu ni kutengeneza risiti feki za ada kwenye msako wa wasiolipa mimi na huyo jamaa tukawa tunapona, sasa mbali na hayoo maarifa nikajiongeza mpaka nikawa naweka saini ya mkuu wa shule, ukiangalia saini yangu na mkuu wa shule haina tofauti. Hii saini ilitengenezea pesa sana wakati huo, maana mtu yeyote anayetaka kuondoka shule kwanza lazima awe na kibalu cha mkuu wa shule. Na kwavile ndio ilikuwa kazi yangu so kabla hujapata kibali lazima utoe hela kidogo ndio nikuandikie kibali, ukifika getini mlizi akiona wala mara 2 haulizi, geti unaona limefunguliwa kazi kwako

Sasa ilifika mahali mlinzi akaripoti kwa mkuu mbona now ruhusu zimekuwa nyingi, ndio mkuu akamuuliza nini unamaanisha mlnzi hapo anampa mkanda mzima, sasa wakati wanaongea hayo, mimi niko ofisini kwa mkuu wa shule nmeletwa hapo kwa kesi ya kumuita mwalimu kwa kumpigia mluzi alafu akataka kunipa adhabu ya fimbo nikagoma akanichukua mpaka ofisini kwa mkuu wa shule ikawe collabo ya fimbo kwa waalimu wote

Kama mungu vile nmepekwa ofisini kukawa na darasa linasumbua yule mwalimu aliyenileta ofisini, mkuu akamuomba akachape darasa zima na wala hakumueleza mkuu tatizo langu nini, so nikabaki na mkuu wa chuo hapo na ndio mkanda mzima wa kuhusu vibali vilivyokuwa natoa nikaupatia hapo, baada ya maongeze mkuu na mlinzi, mkuu akaniuliza wewe nini tatizo nikamdanganya msumbufu nikapigwa fimbo 4, then nikarudi class huku darasa likitegemea nmetoka kunyeshewa mvua ya fimbo ya staf wote wanaona jamaa anarudu anatabasamu, darasa likaangua kicheko na kila mtu ananiuliza vipi huko ulipotoka sasa nikawa nawadanganya ukipelekwa huko the hague huwa huchomoki lazima kifungo kikuhusu.

Basi mtego ukawa umewekwa siku ile atakayekuja na kibali akamatwe na apelekwe mpaka kwa aliyempa na mim kwavile nilikuwa nmeshapata mkanda mzima ukawa ndio mwisho wangu, sema kama siio hiyo kwesi kunipeleka ofisini nilikuwa niingine kwenye 18 za kifukuzwa shule
Chuo gani hiko mnachapwa fimbo?
 
KAMWE SIWEZI SAHAU TUKIO HILI

2018 kipindi nimemaliza kidato cha nne, sa day moj nlikua na washkaj zang nliomaliza nao shule tupo home seblen tunachek porn kweny Tv
, hapo tumewek CD kweny dek,
Tumechek mzigoo weeeee, hapo stim zimepanda kila mtu katoa mashne yake anaipooza,
Kipnd hcho wazaz wapo job na madogo wengne wap shule..
Tukiwa bdo tunaendelea kuchek porno wenyew tunaita Tution[emoji1787]
Gafla umeme ukakatika na CD ipo ndan ya dek,,, wale jamaa zangu wakaondoka nkabaki mwenyew nasubir umeme urud ntoe CD,
ikafka saa kumi bado umme haujarudi, na ndo time ya mzee kuja, pia akifika hua atak mtu achezee TV
kipnd natafakali nkaskia honi getini, nkajua n mzee hyu,, nkachomoa dek chap nkaend ficha chooni kuna kile kimlango cha juu kweny gypsum kwa ajili ya fundi kwend kweny dali, nlivyomalz nkaend kufungua geti,
Mzee akaenda chumbani kwake baadae akaja seblen akaon deck haipo, akaniuliza nkasem imeharbka nmepeleka kwa fundi ntaifata umeme ukirud
bas nkaend nje na mamb yang, baadae umeme ukarud nashangaa naitwa ndani kufika sebkeni nakuta porn ipo LIVE aloooooh nusu nizimie, nkaulizwa hiki n nn?nkawa sina majibu aisee
Nlipgwa
Ruka kichurachura
Tembelea tumbo
Pushup,
yan nlipgwa kama gaidi bahat nzur mam alitokea ndo naachwa ,, nakumbuk nlichanika usoni kidgo.
Kumbe mzee alvyotk job aliingia choon akaon gypsum kam imebomok kidogo, ule unga wake umemwagika chini, akahis kun kitu juu, alvyopanda akakuta deki,, NYIEEEEEE Mpaka leo hii nkionana na mzee ananiuliza kam bad anaangalia ila kiukweli nmeacha.
Kuanzia 2018 had leo sjawai kuangalia XNXX[emoji23][emoji23]
Ahahhaa nshai dakwa naangalia CD ya 3rd stage of labor [emoji1][emoji1] kama kuna mtu anaijuaa
 
hahaaa yaani sisi wa zee wa VHS tulikuwa na utaalamu mpaka wa kuifungua deki yote na kuuchomoa mkanda[emoji16][emoji16][emoji16]team ilikuwa imekamilika kama ila ya preason break.

fikiria ile casset tape moja ya x ilikatwa,ikatafutwa nyingine ambayo nayo ni ya X ikaungwa,mzigo ukawa mkubwa sana kiasi unajaa upande mmoja kabla haujaisha upande mmoja[emoji2][emoji2]
Ahahaah mlishindikana[emoji1][emoji1]
 
Usijali yale mahanga ya vioo nyuma ya hapo Mess si ya mda mrefu meanz kwamba ni op za hivi karibu ,pole bulombora palikua pa kibabe sana nigga sitopasahau hua nikikumbuka msoto ule hela yangu huitendes haki kimya kimya
JKT

Katika harakati za kutafuta Ugali nilijikuta nimeomba kujiunga na jeshi la JKT. Nikatupiwa Kigoma, kule Bulombora 821KJ.

Nikapigishwa jaramba na kulishwa vumbi huku nikitazama ziwa Tanganyika kwa ukaribu kabisa lililozungukwa na mawese ya kutosha. Ruka Juu, Kanyaga Chini kwa nguvu mpaka mguu utoke nje ya kiatu.


Mikesha ilivyozidi nikaona hapa nitakufa. Nikaanza harakati za kutafuta nafasi ya kulala vizuri maana zile Dakika 5 unazopewa za kulala hazitoshi kabisa. Nikaanza kutafuta machimbo. Wenzangu wakienda mkesha, mimi najipeleka porini. Siku nyingine nakutana na ma afande na wao wamedoji kwenda lindo wananitimua najikuta nimerudi kulala uvunguni.

Tabia yangu ya kujizoesha kulala ikaanza kunigharimu. Ikafika mahali nikawa siwezi kabisa kwenda kukesha hata siku moja. Nikaanza kuona hadi uvivu wa kwenda kulala mbali na anga letu. Nakumbuka nilikua Eagle Coy.

Siku hiyo nimelala uvunguni nakoroma kabisa, saa ngapi afande asiingie ndani kutafuta watoro. Si akaniskia navyokoroma kule chini ya kitanda. Dah sitasahau hiyo kipigo niliyopewa. Nakumbuka al manusura nipoteze jicho. Maana vile vitanda vimechomelewa kwaiyo kuna kama vichuma flani hivi kama nondo vimejitokeza kwa juu, alinibamiza kichwa kwenye kile kitanda ile nondo ikachubua kidogo pembeni ya jicho.

Sijui nilipata wapi ujasiri nikamsukuma pembeni nikasogeza kioo cha dirisha nikarukia nje nikaanza kukimbia huku nachechemea machozi yananitoka ya kutosha. Jamaa nadhani aliniangalia navyokimbia kwa tabu akanionea huruma akaamua kuachana na mimi huku akisema "Nitakuua Mbwa Wewe".

Nilivyofika walipo wenzangu kwenye mkesha nikapokelewa tena na adhabu za kubiringita na kukwepa ndege za kivita. Dah.. nilihisi mwisho wangu umefika, nikasema kwa sauti "Nakufa" huku machozi yanatoka ili hata jamaa anionee huruma lakini wapi. Yeye kakazana kunioshea na kunifanya mfano kwa wengine. Saiyo pumzi imekata, maumivu kila mahali, machozi yameshatoka mpaka yamekauka, siwezi kuongea tena. Ni kwa Neema za Allah pekee nilifanikiwa kuona tena Jua siku iliyofuata maana nilikua nahisi kabisa nakufa. Hali yangu ilikua mbaya sana!

Sikuwahi kujuta kwenye maisha yangu kama hiyo siku. Nililaani uamuzi wangu wa kwenda huko. Kile kitu kilinikaa sana moyoni kwa muda mrefu. Niliona kabisa huku sio kwangu. Course ilivyoisha, wakati wengine wanasikilizia kwenda JWTZ na Polisi, mimi nikaandaa nauli yangu, nikavizia ule muda tunaotumwa kwenda town...nikatorokea huko mazima na nikaapa sitarudi tena. Ikawa imeisha hiyo!

Kwa kweli mambo ya Jeshi yana watu wake. I was not one of them!
 
Aisee haya mambo yasikie tu.. Wakati tukiwa watoto tulikuwa tunacheza ule mchezo wa kushikana mikono huku na huku watu wawili alafu mtu wa tatu anakaa katikati ya mikono mliyoshikana mnafanya kama kumbinuaa hiviii.. daah acha tuu tulimbinua mdogo wetu kwa nguvu kwa sifaaa aisee akafikia shingoo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Kiufupu tulijua tumemuua dogoo alikata moto kwa nusu saa hivi pepea sanaa ikabdi tukawaite tu nyumbani maana mambo yalikuwa magumu. Alizinduka ila shingo haina hali maumivu makali sana sema nashukuru hakuparalyze. Kichapo chake sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee haya mambo yasikie tu.. Wakati tukiwa watoto tulikuwa tunacheza ule mchezo wa kushikana mikono huku na huku watu wawili alafu mtu wa tatu anakaa katikati ya mikono mliyoshikana mnafanya kama kumbinuaa hiviii.. daah acha tuu tulimbinua mdogo wetu kwa nguvu kwa sifaaa aisee akafikia shingoo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Kiufupu tulijua tumemuua dogoo alikata moto kwa nusu saa hivi pepea sanaa ikabdi tukawaite tu nyumbani maana mambo yalikuwa magumu. Alizinduka ila shingo haina hali maumivu makali sana sema nashukuru hakuparalyze. Kichapo chake sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo kwenye kichapo[emoji1787]
 
Kiukweli mimi sijawahi kusota kuhusu mambo ya kazi, nakumbuka nilipoanza maisha ya kujitegemea nilipewa mchongo na mjomba wangu nikawa napiga sana hela .

Nachojuta kipindi kile nilikua natumia pesa hovyo hovyo sana badala ya kufanya mambo ya msingi.., Kama vile nilikua nimerogwa yan nilikua nabadili tu wanawake kila siku nawahonga .. Kiufupi nilikua sitongozi.

Nikikumbuka inaniuma sana , hata hivo ulikua utoto nilikua na miaka 19 mpka 2
 
Wasaaalam wana jamvi

Miaka ya nyuma wakati nachukua masomo ya elimu ya juu nilipata msala mmoja ambao hadi kesho siji usahau.

Ulikuwa ni msimu wa test au CAT wengine wanaita. Hiyo week tulikuwa tunatest moja somo la afya kutoka college hiyo,hilo somo kwetu lilikuwa ni non core kutokana na field yangu nliosoma.

Hio test ilipangwa ifanyike siku ya jumatano, huku naendelea na maandaiizi ya hio test nikaamua nitoke nikapunge hewa nje.

Wakati niko huko nje mishe mishe ikaingia sms .... Test kesho probability kufanyika saa 8 mchana.. wakati huo hio test ya somo la afya ilikuwa ni saa 4 asububi.

La haulaaaa mie nlikosea tafsiri hio sms nliitafsiri kama ..... Test ya kesho uwezekano kufanyika saa 8 mchana.....

Sikuuliza mtu jion nikaendelea na kukaza kisomo, imefika saa 4 jamaa wakaenda , na next door nlikuwa nakaa na jamaa zangu wawili wote tuko programme moja na tuko kundi moja la kufanya kazi za darasa ,lakini siku ya kufa nyaní miti yote hukatikaaa , jamaa wakaenda kufanya paper bila kunicheki.

Kumbe ile sms kuna wadau walikuwa hawajafanya test ya Probability ndio walikuwa wanatakiwa wafanye huo muda.

Nimekaa nasoma mishale ya saa sita naona wadau wanatoka wanafatana na karatasi mkononi, ikabid niulize mnatoka wapi wakasema kwenye test,nikajibu anhaaa then nikavungaa kama hakuna issue wakaniuliza we vp hujafanya nikawajibu ndiyo sijisikii vyemaaa nimeomba ruhusa ilhali sikuwanayo.

Badae nikamcheki Cr nikampa full story nikasema nitazingizia ugonjwa, jamaa akasema powa atampanga madam, jamaa kumcheki madam ,madam anakaza anataka taarifa toka hospital na barua ya HOD kwann sijafanya test....

Nikaenda kwa HOD nikamwambia madam naumwa sijaweza fanya test, hivyo nimemcheki madam wa somo kasema nije kwako uniandikie barua ya kuomba fanya test yangu pekee yangu, HoD akagoma ye hausiki na angeweza nisaidia kama ningekuwa na uthibitisho toka kwa daktari siku hiyo husika....

NAKUMBUKA MADAM HOD alinambia nenda kamuombe msamaha mwalimu wako la sivyo UTADISCO, Daaah nlivosikiaa hivoo nlitamani kulia ,nikatoka nikamuaga pale madamu nikaenda zangu nawaza.

Badae nikakaa room nikawaambia wana mkasaa mzima, wako walionifariji wakisema huwa wanakaza hivohivo mwishowe wanakuwekea hata zero, wengine nao wakasema yaoo.

Nikamcheki madam wa somo hewan akapokea simu navomueleza feedbacks za hOd akakata simu, nikamtext sms WhatsApp ndefu sana nikiomba anisaidie na jinsi nilivyo mgonjwa plus kuweka mafomu ya hospital mbalimbali palee ma madawa nayo kunywaa[emoji1787][emoji1787], nlimsihi sana aniwekee hata zero asiache blank ambayo itasababisha system inikataee,

Madam hakujibu akaniblock WhatsApp, nikamtumia normal text akawa hanijibu,. Kuna siku nikamtext madam nakuja ofsini kwako nikuombe msamaha ,nikajiandaa fresh kesho nikazama kwake ofisin sikumkuta ,nikaulizia pale wakasema nimsurbi aje lakini hadi saa lapita hakutokeaa. Nikamtext madam nimekuja ofsin kwako sijakukuta ,hakunijibu.

Nikamcheki madama mwingine ambaye nae alifundisha hilo somo, i mean hilo somo lilifundishwa na walimu wa 2 ,alianza huyo nliomiss test yake akaja huyu nliemtafuta mwishoni, nikamueleza mkasa mzima ,ye akasema ingekuwa nimemiss test yake angenisaidia lkn hiyo ni test ya mwalimu mwingine, nikamshukuru pale ,ikaishaa hiyóo.

Ukafika wakati wa UE nikafanya mtihani kwa mawazo sana hadi namaliza, nimeenda nyumbani nlikuwa ni mtu wa maombi sana huku nikiendelea mtext yule madam pasi na kunijibu, hadi nikawa naulizwa mbona namawazo sana nikawa navunga no issue.

Nimeenda field sina raha nawaza tu kuhusu hilo somo, ukawadia wakati wa ku upload CW kwa portal, masomo yote yakawekwa likabakia somo la huyu madam ni wote hatukuwekewa CW za hilo somo.

Siku matokeo yametoka Naogopa kuangalia matokeo, nikajjikaza nikaangaliaaaa... Daaah sikuamini madam aliniwekea CW 16 lakini final UE lile somo nilipata A na ndolilikuwa somo pekee nililopata A kwa hiyo semester.

I was like wooow God is so wonderful ilikuwa ni furahaaa sanaaaa.

Daaah nikikumbuka huwa nacheka sana na kuogopaa.

Popote ulipo madam Dr. Gibore ulinitesa sana we madam
 
Wasaaalam wana jamvi

Miaka ya nyuma wakati nachukua masomo ya elimu ya juu nilipata msala mmoja ambao hadi kesho siji usahau.

Ulikuwa ni msimu wa test au CAT wengine wanaita. Hiyo week tulikuwa tunatest moja somo la afya kutoka college hiyo,hilo somo kwetu lilikuwa ni non core kutokana na field yangu nliosoma.

Hio test ilipangwa ifanyike siku ya jumatano, huku naendelea na maandaiizi ya hio test nikaamua nitoke nikapunge hewa nje.

Wakati niko huko nje mishe mishe ikaingia sms .... Test kesho probability kufanyika saa 8 mchana.. wakati huo hio test ya somo la afya ilikuwa ni saa 4 asububi.

La haulaaaa mie nlikosea tafsiri hio sms nliitafsiri kama ..... Test ya kesho uwezekano kufanyika saa 8 mchana.....

Sikuuliza mtu jion nikaendelea na kukaza kisomo, imefika saa 4 jamaa wakaenda , na next door nlikuwa nakaa na jamaa zangu wawili wote tuko programme moja na tuko kundi moja la kufanya kazi za darasa ,lakini siku ya kufa nyaní miti yote hukatikaaa , jamaa wakaenda kufanya paper bila kunicheki.

Kumbe ile sms kuna wadau walikuwa hawajafanya test ya Probability ndio walikuwa wanatakiwa wafanye huo muda.

Nimekaa nasoma mishale ya saa sita naona wadau wanatoka wanafatana na karatasi mkononi, ikabid niulize mnatoka wapi wakasema kwenye test,nikajibu anhaaa then nikavungaa kama hakuna issue wakaniuliza we vp hujafanya nikawajibu ndiyo sijisikii vyemaaa nimeomba ruhusa ilhali sikuwanayo.

Badae nikamcheki Cr nikampa full story nikasema nitazingizia ugonjwa, jamaa akasema powa atampanga madam, jamaa kumcheki madam ,madam anakaza anataka taarifa toka hospital na barua ya HOD kwann sijafanya test....

Nikaenda kwa HOD nikamwambia madam naumwa sijaweza fanya test, hivyo nimemcheki madam wa somo kasema nije kwako uniandikie barua ya kuomba fanya test yangu pekee yangu, HoD akagoma ye hausiki na angeweza nisaidia kama ningekuwa na uthibitisho toka kwa daktari siku hiyo husika....

NAKUMBUKA MADAM HOD alinambia nenda kamuombe msamaha mwalimu wako la sivyo UTADISCO, Daaah nlivosikiaa hivoo nlitamani kulia ,nikatoka nikamuaga pale madamu nikaenda zangu nawaza.

Badae nikakaa room nikawaambia wana mkasaa mzima, wako walionifariji wakisema huwa wanakaza hivohivo mwishowe wanakuwekea hata zero, wengine nao wakasema yaoo.

Nikamcheki madam wa somo hewan akapokea simu navomueleza feedbacks za hOd akakata simu, nikamtext sms WhatsApp ndefu sana nikiomba anisaidie na jinsi nilivyo mgonjwa plus kuweka mafomu ya hospital mbalimbali palee ma madawa nayo kunywaa[emoji1787][emoji1787], nlimsihi sana aniwekee hata zero asiache blank ambayo itasababisha system inikataee,

Madam hakujibu akaniblock WhatsApp, nikamtumia normal text akawa hanijibu,. Kuna siku nikamtext madam nakuja ofsini kwako nikuombe msamaha ,nikajiandaa fresh kesho nikazama kwake ofisin sikumkuta ,nikaulizia pale wakasema nimsurbi aje lakini hadi saa lapita hakutokeaa. Nikamtext madam nimekuja ofsin kwako sijakukuta ,hakunijibu.

Nikamcheki madama mwingine ambaye nae alifundisha hilo somo, i mean hilo somo lilifundishwa na walimu wa 2 ,alianza huyo nliomiss test yake akaja huyu nliemtafuta mwishoni, nikamueleza mkasa mzima ,ye akasema ingekuwa nimemiss test yake angenisaidia lkn hiyo ni test ya mwalimu mwingine, nikamshukuru pale ,ikaishaa hiyóo.

Ukafika wakati wa UE nikafanya mtihani kwa mawazo sana hadi namaliza, nimeenda nyumbani nlikuwa ni mtu wa maombi sana huku nikiendelea mtext yule madam pasi na kunijibu, hadi nikawa naulizwa mbona namawazo sana nikawa navunga no issue.

Nimeenda field sina raha nawaza tu kuhusu hilo somo, ukawadia wakati wa ku upload CW kwa portal, masomo yote yakawekwa likabakia somo la huyu madam ni wote hatukuwekewa CW za hilo somo.

Siku matokeo yametoka Naogopa kuangalia matokeo, nikajjikaza nikaangaliaaaa... Daaah sikuamini madam aliniwekea CW 16 lakini final UE lile somo nilipata A na ndolilikuwa somo pekee nililopata A kwa hiyo semester.

I was like wooow God is so wonderful ilikuwa ni furahaaa sanaaaa.

Daaah nikikumbuka huwa nacheka sana na kuogopaa.

Popote ulipo madam Dr. Gibore ulinitesa sana we madam
Sema ulizingua sana kumtext na kumpigia frequently ila ni bahati tu alikuzingatia
 
Back
Top Bottom