Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

1. Kuna manzi alinivutaga bafuni kipindi hicho nipo mdogo kabisa namaanisha mdogo, yeye ni mkubwa kwangu Ila alinielewa sana ile tumeingia bafuni akavua nguo zote mimi nimeduwaa sikuelewi akawa ananiomba nimtie, begging me please please nitie huku ananionyesha jinsi ya kufanya, nikagoma sababu sikua najua hio michezo, nimekua ndio najua kumbe wanatia hivi manzi kashaolewa kashazaa kashajenga familia

2. Kuna manzi alinifuata home siku hio nipo mdogo akaingia home kanikuta mwenyewe nipo naangalia TV manzi si akavua nguo akabaki kifua wazi alafu ni binti mdoogo kwangu mimi ndio nilikua mkubwa kwake manzi akawa ananiomba nimtie, begging please please huku anachukua mkono wake ananishikisha matiti ambayo yanaanza kuota yaan tule tuembe tudogo tudogo ndio tuchuchu twake nikajiuliza huyu imekuaje au pepo, enzi hizo dini imenikaa nikamtimua, lakini bora ningemtembea
 
Wasaaalam wana jamvi

Miaka ya nyuma wakati nachukua masomo ya elimu ya juu nilipata msala mmoja ambao hadi kesho siji usahau.

Ulikuwa ni msimu wa test au CAT wengine wanaita. Hiyo week tulikuwa tunatest moja somo la afya kutoka college hiyo,hilo somo kwetu lilikuwa ni non core kutokana na field yangu nliosoma.

Hio test ilipangwa ifanyike siku ya jumatano, huku naendelea na maandaiizi ya hio test nikaamua nitoke nikapunge hewa nje.

Wakati niko huko nje mishe mishe ikaingia sms .... Test kesho probability kufanyika saa 8 mchana.. wakati huo hio test ya somo la afya ilikuwa ni saa 4 asububi.

La haulaaaa mie nlikosea tafsiri hio sms nliitafsiri kama ..... Test ya kesho uwezekano kufanyika saa 8 mchana.....

Sikuuliza mtu jion nikaendelea na kukaza kisomo, imefika saa 4 jamaa wakaenda , na next door nlikuwa nakaa na jamaa zangu wawili wote tuko programme moja na tuko kundi moja la kufanya kazi za darasa ,lakini siku ya kufa nyaní miti yote hukatikaaa , jamaa wakaenda kufanya paper bila kunicheki.

Kumbe ile sms kuna wadau walikuwa hawajafanya test ya Probability ndio walikuwa wanatakiwa wafanye huo muda.

Nimekaa nasoma mishale ya saa sita naona wadau wanatoka wanafatana na karatasi mkononi, ikabid niulize mnatoka wapi wakasema kwenye test,nikajibu anhaaa then nikavungaa kama hakuna issue wakaniuliza we vp hujafanya nikawajibu ndiyo sijisikii vyemaaa nimeomba ruhusa ilhali sikuwanayo.

Badae nikamcheki Cr nikampa full story nikasema nitazingizia ugonjwa, jamaa akasema powa atampanga madam, jamaa kumcheki madam ,madam anakaza anataka taarifa toka hospital na barua ya HOD kwann sijafanya test....

Nikaenda kwa HOD nikamwambia madam naumwa sijaweza fanya test, hivyo nimemcheki madam wa somo kasema nije kwako uniandikie barua ya kuomba fanya test yangu pekee yangu, HoD akagoma ye hausiki na angeweza nisaidia kama ningekuwa na uthibitisho toka kwa daktari siku hiyo husika....

NAKUMBUKA MADAM HOD alinambia nenda kamuombe msamaha mwalimu wako la sivyo UTADISCO, Daaah nlivosikiaa hivoo nlitamani kulia ,nikatoka nikamuaga pale madamu nikaenda zangu nawaza.

Badae nikakaa room nikawaambia wana mkasaa mzima, wako walionifariji wakisema huwa wanakaza hivohivo mwishowe wanakuwekea hata zero, wengine nao wakasema yaoo.

Nikamcheki madam wa somo hewan akapokea simu navomueleza feedbacks za hOd akakata simu, nikamtext sms WhatsApp ndefu sana nikiomba anisaidie na jinsi nilivyo mgonjwa plus kuweka mafomu ya hospital mbalimbali palee ma madawa nayo kunywaa[emoji1787][emoji1787], nlimsihi sana aniwekee hata zero asiache blank ambayo itasababisha system inikataee,

Madam hakujibu akaniblock WhatsApp, nikamtumia normal text akawa hanijibu,. Kuna siku nikamtext madam nakuja ofsini kwako nikuombe msamaha ,nikajiandaa fresh kesho nikazama kwake ofisin sikumkuta ,nikaulizia pale wakasema nimsurbi aje lakini hadi saa lapita hakutokeaa. Nikamtext madam nimekuja ofsin kwako sijakukuta ,hakunijibu.

Nikamcheki madama mwingine ambaye nae alifundisha hilo somo, i mean hilo somo lilifundishwa na walimu wa 2 ,alianza huyo nliomiss test yake akaja huyu nliemtafuta mwishoni, nikamueleza mkasa mzima ,ye akasema ingekuwa nimemiss test yake angenisaidia lkn hiyo ni test ya mwalimu mwingine, nikamshukuru pale ,ikaishaa hiyóo.

Ukafika wakati wa UE nikafanya mtihani kwa mawazo sana hadi namaliza, nimeenda nyumbani nlikuwa ni mtu wa maombi sana huku nikiendelea mtext yule madam pasi na kunijibu, hadi nikawa naulizwa mbona namawazo sana nikawa navunga no issue.

Nimeenda field sina raha nawaza tu kuhusu hilo somo, ukawadia wakati wa ku upload CW kwa portal, masomo yote yakawekwa likabakia somo la huyu madam ni wote hatukuwekewa CW za hilo somo.

Siku matokeo yametoka Naogopa kuangalia matokeo, nikajjikaza nikaangaliaaaa... Daaah sikuamini madam aliniwekea CW 16 lakini final UE lile somo nilipata A na ndolilikuwa somo pekee nililopata A kwa hiyo semester.

I was like wooow God is so wonderful ilikuwa ni furahaaa sanaaaa.

Daaah nikikumbuka huwa nacheka sana na kuogopaa.

Popote ulipo madam Dr. Gibore ulinitesa sana we madam
Sociology iyooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
S
INAUMA niliua pasipo kujua kama ninaua hii kitu inaniuma sana maana hakuna aliejua zaidi yangu na hadi sasa sijui nitakuja kuitubia wapi hii dhambi maana hata Mimi mwenyewe sikujua kama ninaua, ila baada ya kifo kutokea ndio nikaunganisha dot nikagundua iam murder pasipokujua, Binadam ni watu wabaya sana na wanaweza kukutumia kuuwa then wakakudamp.
Tupe mkanda
 
Umenikumbusha mwaka 2013 kina dem nilimpenda sana na nilitaka nifunge nae ndoa akakataa. Sijawahi kula kipindi hicho na alikula pesa zangu nikaja kumla 2022 hii.
Mimi kuna kimoja kilikuwa pisi kali wakati tukiwa chuo nikawa nikawa nakitokea kikachomoa, nimekuja kukutana nacho baada ya miaka kama saba kimekuwa kibovu, mititi mikubwa kama matikiti maji,nikakipotezea.
 
20230103_211649.jpg
 
Itakuwa ya Milambo boys. Wa Tabora boys walikuwa legelege.
Hahahah milambo sec aka wanaume walikuwa wahuni sana,waliwahi tuvamia Tabora girls aka Warsaw enzi hizo,wakarutandika na kumwaga vinyesi kwenye bweni la kimweri miaka hiyo,dah ila walifukuzwa shule na mkuu wa mkoa Abbas kandoro(rip),wanafunzi 40 walisepeshwa,it was sad, kisa ugomvi wa mapenzi na vitoto vya o level 🤔
 
inauma sana hapo keko toroli kuna ile time inaitwa toroli combine nakumbuka siku moja narudi usiku kama saa nne mtaa umetulia nilikuwa na jamaa yangu mmoja yey alikuwa na samsung s6 ni nina katecno w3 mwaka 2016 mara pakatokea kundi la watu mi nikajua watu wametoka kucheza mpira wanashanglia tu wanakuja mtaa uko kimy halafu bado saa nne tunakutana nao uso kwa uso ukuta mrefu kama uchochoro wa mbele wako safi ila wa kati na nyuma wana mapanga wengine fimbo wangine wako peku ,wako tumbo wazi wamevaa vipensi


jamaa yangu alichezea panga sema ubapa alikuwa kavaa modo simu imejichora kweny mfuko wakampokonya mi niliingia kweny vibanda vya furniture kule palikuwa na mlinzi nae kakimbia nimeacha viatu wamechukua vilikuwa vipya.ila walinipiga fimbo ya uso mateke niliponyoka mbio

kwa makadirio wako kam
Kumbe panya road wameanza kitambo dizimu lol
 
Kuwasumbua watu kuunda kamati ya harusi mpaka kuifanikisha...Mnisamehe sana kokote mliko maana "Vita katika ndoa niliipigana, imani juu ya ndoa yetu nikailinda ila mwendo sikuumaliza"

Sichangii harusi yyte, nahisi nachingia ticket ya kumpeleka mtu to "hell".
Na sitaki shiriki hio dhambi.
 
kiukweli kuna mtu najuta mno kumfanya rafiki, sina wa kumsimulia kisa changu maana hii siri nitakufa nayo mwenyewe, lakini najuta mno kumfanya rafiki na sina namna ya kumuacha na kumuweka mbali lakini pia sina namna ya kumkimbia.

Mola wangu wa mbinguni nisamehe mimi siyapendi haya na yananigharimu mno kwenye maisha yangu.

Mnamegana nn nyie??
 
Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa,nilikuwaga na kisimu changu Nokia kipindi hiko) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia mimi hapa sikuja kuolewa nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita tena kwenye corridor maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?halafu nikawa namkunjia sura ile kihuni kwamba mimi siyo wa mchezo mchezo....wee nilijuta!!!miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta wamama waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokitaka mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea (nilikuwa nakimbia kimbia situlii sehemu moja kwa kuogopa kukamatwa) alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.
Na hukupata utamu wowote😁😁

Binafsi niliwahi kupata msala nilikaa mwaka mashine haisimami kwa stress
 
Back
Top Bottom