Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kitu najutia ni kusoma chuo na life la chuo kwani nilikutana na maisha ya ovyo kabisa mazila ya kila aina nimegombana na watu wa karibu nimejuana na watu wengi hawana msaada .Nimekutana na watu wabaguzi



Yaani daily nilitamani kumaliza nihame baada ya kumaliza nikaondoka hata mwezi sijakaa nikapata mishe nikarudishwa tena huku dar nakutana na watu wale wale yaani sipendi nimeandika barua nihame mji imeshindikana

Group la chuo nilileft kitambo tangu mwaka wa pili ikawa nawasiliana na CR maana mtu wangu wa karibu sana.
 
Dah yule demu falansana kaniunganisha kwenye grid ya taifa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]hapa ni kuishi kwa matumaini tuu
Duh pooole mkuu...kama uko serious lakini[emoji848]
 
Hapo nimejifunza kitu mkuu big up sana
 
Niliiba Matofali ya mwalimu Nyerere palee mwitongo wkt huo nikiwa na Mjomba wangu!!ila mjomba ndo aliniingiza mkenge Basi bana askari ana akili sana alijifanya haja tuona kabisaaa!!..... tukaenda tukarudia mara kibao!! kwa akili za utoto nilidhani ni kawaida.

kuumbe mwenzngu yule anaiba na mie namsaidia kuiba!! ........na uzuri ni kwamba Julius alikuwepo wakati huo!!! ...akatukamata kiulainiiii!!

tukapelekwa kwa julius Live.......mengi yalifanyika pale .........ila yule Mzee alikuwa ni wa ajabu sana narudia tena, sijakosea alikuwa wa ajabu mnoooo sana tuuu!!... .......lkn to cut long story short ndo ukawa mwanzo wa mie kusaidiwa shule tena nzuri sana abroad nilishangaa mpaka leo hapa nilipo bado nashangaa!! ......na marehemu kazi hii ilifanywa na Rais huyo huyo!..... hapo ni kwa kifupi sana nimeitoa hii!
 
[emoji38][emoji38][emoji38] inafurahisha na kusikitisha at the same time. Vipi magodoro ulilipa?
Magodoro hatukulipa maana headmaster ndo alikua na list ya majina yetu Kwahyo kile kipindi cha kuchukua result slip kilipofika alikua anauguza mkewe ambaye anaishi wilaya nyingine

Kwahyo hakuwepo shule na shule ikawa chini ya academic master kwa kipindi ambacho headmaster hayupo Kwahyo academic master akagawa tu result slip maana kwa wahuni naskia headmaster ali mind kinyama alivorudi kakuta watuhumiwa tushachukua Mali [emoji23][emoji23]
 
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]nilikataa mwanzoni kabisaa siwezi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna mchezaji mmoja wa polisi Tanzania alikuwa anahojiwa kwenye soka kijiweni akasema ukimuona mtu amevaa gwanda la jeshi muheshimu sana maana yeye na wenzake walikimbia baada ya kupigishwa tizi la kufa mtu sema nimemsahau jina lake .
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Ntakuua mbwa wewe,shenzi kabisa yani umeumia bado unatukana afande
 
Polee broo hii issue inaniumiza sana hata mimi

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Babuu kuna tukio ulipiga bila shakaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ni mengi sana kwanza washkaji tulitoka advance tukaaa getto moja tulikuwa tunapendana ila tuligombana yaani mikosi mpaka leo hatuko pamoja

Mwanangu mmoja alikuwa mtu wa karibu alitaka kujiua kisa kuachwa na demu wake na kuolewa akadisco nikawa sina mtu was karibu na alivyodisco akarudi kwao mbeya yaani balaa

Mpaka nafika mwaka wa tatu crew yetu niliku2a alone na getto naishi mwenyewe hamna sapot wau tumegombana wengine wamecarry yaani mpaka 🎓 graduation hakuna Ile hamsha hamsha
Babuu kuna tukio ulipiga bila shakaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile ap
 
Asee nimecheka mpaka mbav zimeumaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…