mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Hamna ninalo jutia maisha I
Ila kuna matukio matatu ntaweka humu nikipata mda soon
Ila kuna matukio matatu ntaweka humu nikipata mda soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we acha tu sikuwa na furaha kabisa kuanzia hapo najuta kabisa kusoma chuoUliishi maisha ya ukiwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi at the age of 17 nilikuwa na aibu mno nisingeweza kumvulia mwanamke nguo. Nilichelewa kubalehe kimwili na kiakiliKitu pekee najuta ni kupenda kula mishangazi, hii hali ilianza wakati na balehe yaani nikiwa na umri wa miaka 17 tu nishamla mmama mwenye miaka 45+.
Kama ambavyo mnajua mazoea ni tabia, niliendelea kutoka na mishangazi kiasi kwamba ikaniharibu kisaikolojia nikawa sipendi tena mabinti wenye umri kama wangu.
Ingawa sijaacha bado lakini namshukuru Mungu kwasasa ninapita na mbususu ya umri wowote. Huo uraibu ni mbaya nyie kuliko hata madawa ya kulevya.
Hueleweki. Soma ulichoandika.Kitu ninachojuta ni kutumia kumbe ukimwi hauambukizwi.
Sasa hivi nafaidi tu utelezi mwaka wa 6.
Sio wote, ni nyie peke yenu na ukoo wenu/asili yenu.Ivi sisi watoto wa kiume na uwizi qu udokozi uko kwenye damu nn?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hahah mkuu mimi nimekulia mitaa ya wahuni sana, Nilianza kuwazoea wanawake nikiwa na miaka kumi ya mwanzo maana mabroo wa kitaa ndio walikuwa wanatutuma kuwaitia mademu zao 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi at the age of 17 nilikuwa na aibu mno nisingeweza kumvulia mwanamke nguo. Nilichelewa kubalehe kimwili na kiakili
Ha haaaNa bahati nzuri, ukiwa na wewe ni kidume ndiyo shida unaanzia hapo.
Kichupa kimejaaAchana nao hao,njoo kwangu ujitulize,ila kumbuka nina mwaka na miezi kadhaa...
KWani hujui kuwa hata nyie mnatongozwa km sisi??? au umesahau?? usijitetee?? unatongozwa!! unabisha?? kwa kuwa naniliu haina cha uzeee!! ukiona vepi njoo nikuunganishe utongozwe make huwezi nitongoza mie!!!...... umekiri kushindwa hadharani !Tobaaa kumbe we ni mhenga eeeh? Nimeghairi kukutongoza. Ni bibi kabisa
Ni kweli kaka ila sometimes ugomvi wao hata kama bimkubwa alikuwa ana makosa mpk wakashindwa kuishi pamoja ila mie mtoto hayo hayanihusu mie nimeshuhudia bimkubwa anahangaika kunitafuta ada toka primary School ( miaka hiyo kulikuwa na ada) mpaka nafika chuo sijawahi kumuona mshua akijihusisha na mie automatically nitakuwa upande wa bimkubwaAngevuta ingekuwa bonge la msala...Mungu ni mwema...
Mkuu nilicho gundua maugomvi ya wazazi jua kuna upande una makosa na sisi kama watt wao wana tusisha sana,Na wazazi nao wanatupotezea kitu si sahihi.
Baadae huko wanajirudi na kuona hatuwajali...
Inauma asikuambie mtu. Hakuna kitu kibaya kama njaa, na ukiwa. Itafute movie ya paid in full utaelewa.we acha tu sikuwa na furaha kabisa kuanzia hapo najuta kabisa kusoma chuo