Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)😣😣

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU 😭😭....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii 😭😭

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah 😭😭

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana 🤣🤣🤣🤣
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilitamani kuuliza jinsia yako ila ngoja niache
Anyway pole sana mkuu….
 
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kutafuta elimu nipo mikoa ya watu shuleni kwetu dinning Hall ilikua pia inakodishwa kwa ajili ya shughuli nyingine za kijamii kama harusi na send off.
Hio siku prepo haikuepo kwa kua kulkua na shereh dinning mimi na wanangu wachache wahuni tukapanga tuvamie sherehe Ile ilosifika kua ya watoto wa matajiri wa mji ule.
Nikatoka general wa vita kwenda kutazama ulinzi na usalama na kuandaa plan ya kuzamia..kufika eneo la tukio nkascan haraka nkaona dress code suti nyeus na tai kwa wanaume uzur na shuleni ni maeneo ya baridi tulkua tunavaa suti pia.
Wanaume tukabadilika tukafika eneo la tukio mimi nkatokea kwenye parking kulkua na discovery imepaki nafika getini mlinzi wa getini ni jamaa wa mtaani ambae ananijuaga mm ni dent miyeyusho spend shule (huyu jamaa alkua anauza viatu raba nlkua naenda kuchukua za kwendea club usiku) wenzngu walifanikiwa kupenya mm ikashindikana
Kufika mishale ya saa 4 kwendea 5 akatoka dada mmoja mrembo tu akawa anaongea na simu (nafikiri alipigiwa na mmewe akitakiwa nyumban) nkamfata akanpa kadi akawasha gari yake akaondoka

Nkarudi getini tena yule jamaa anataka kunsukumizia mabaunsa nkatoa kadi akawa ananiangalia kwa kuntaman. Mwanaume nikazama ndani na kukuta wenzngu washapata na wachumba nkachagua angle moja nzuri ya nkatulia muda ukakatika mziki tukacheza na misosi tukala sana

Sasa kuna ule utaratb wa watu kukusanya vinywaji na makulaji na kufunga ili kwenda navyo majumban basi mwshon kabisa mwa shughul nikaona package kubwa ipo inazagaa zagaaa (sjui roho gan ikaniingia inanambia unaacha vinono ivo kesho utakinga ugal maharage nikajikuta nasogelea ule mzgo) katika malez yangu mm kitu sijawezaga ni kuchukua cha mtu basi nikachukua kile kifurushi aisee Ile nageuka nilipigwa mibanzi (yule mzee hatar anapiga mibanz kama sokwe) nkabak nimekua mdgo kusema nmuanzshie vagi yule mzee ningeweza ila ningezua soo kubwa ukizingatia nlizamia so yule mzee alinzaba mikofi kama 6 ivi na wala hakuongea na mm wala sikusema nikageuka kutazama wenzngu naona wanaparty na kina mama nkatoka nje nkaenda kulala uku nikiomba Ile mibanzi kusiwe na mtu ameiona na ndo ikawa ivo

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Snitches get stitches
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee pole sanaa snitch
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wangekubaka kama wangetaka.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi shuleni kwetu ma snitch walikua wanaf|rwa tu Usiku Wew walikusamehe Naona ulistahili zaidi
 
Ngoja leo na mm nisimlie kwa ufupi ujinga niliowai kuufanya.
Nilipomaliza o-level nilienda kujifunza mitambo baada ya kuhitimu nikarudi kitaa. Baada ya kama mwaka hiv nikapata nafas kwenye kampuni moja la ujenzi nikatinga nao kwa mda nikaondoka nikaenda kutafta chaka jingne. Sasa ndugu baadhi wakaanza kunishawishi kwann nisitafte chuo nikasomee mambo mengi (zile job za kukaa ofisini) utoto na stress nikaachana na mashine nikaenda kuchukua diploma cha maendeleo ya jamii. Nakumbuka nilipokuwa chuo niliwai zaid ya mara 3 na mwenye ile kampeni niliokuwa natinga nayo mwanzo na jamaa angu mmoja alikuwa yupo na nyanza road (kuna operator alikuwa anatka mtu wa kumshikia mashine yeye alikuwa amepata dharura) nikashike mashine ila nikawa napotezea. Sasa balaa likaja baada ya kuhitim hio diploma yao mambo yakawa hayasomi connection zote za mashine nimeisha poteza imenilazimu kuanza upya kutengeneza connection na maop wenzangu.
Yan had leo uwa najilaum kwenda chuo tena kusoma maana had leo sioni faida ya nilichokisomea

Tulia kisha andika vizuri operator
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na leo daddy yenu mwamba yuda anafanya yake apate mtaji wa kucheza over weekend

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah unaendeleaje na kaxi ndugu afisa kipenyo?
 
Nami ngoja nishushe kisa changu hapa.
Mimi nilianza kidato cha kwanza nikiwa na miaka 24 nikasoma mpaka Namaliza kidato cha nne, wakati nasoma shule hiyo walimu walinielewa, hata ikitokea kuna jambo nimekosea naomba msamaha yanaisha siadhibiwi japo makosa Yale ya wanafunzi wote nilikuwa naadhibiwa, nikahitimu kidato cha nne, baada ya matokeo kutoka nikaenda shule nyingine ya kulipia, nikaanza kidato cha tano kabla sijalimaliza kidato cha tano nikahamia shule nyingine, kwenye hiyo shule kulikuwa na utaratibu wa kuvaa t-shirt kwa siku maalumu bila shati la shule mimi nikiwa bado mgeni nikavaa, muda wa mapumziko nikatoka nje kuna mwalimu alinikamata akasema kwa nini sijachomekea t-shirt nikamuomba msamaha hakukubali akataka kuniadhibu nikambembeleza lakini ikashindikana akanichukua mpaka ofisini kufika ofisini wakaitwa viongozi wa wanafunzi yakafanyika mazungumzo kwa muda mrefu baadae nikakubali kuadhibiwa akasema kama umekubali tunagonga kengele Kisha unaadhibiwa mbele ya wanafunzi wote wakishuhudia nikawaza sasa hapa nitachakaa kwa kipigo nikamwambia hapana kama naadhibiwa hapa ofisini Sawa ila kama ni assembly hapana na yeye akakataa kuniadhibu ofisini basi baada ya hapo akasema atalifikisha kwa headmaster akasema moja Kati ya mawili lazima litokee ni yeye kuacha kazi au mimi kufukuzwa shule wakati huo headmaster alikuwa amesafiri tangu nihamie nilikuwa sijamuona, nikaona mambo yamekuwa magumu upande wangu nikatoka ofisini nikaenda bwenini nikawaza kuwa sina namna nyingine zaidi ya kuondoka, siku ya pili nikapanda basi narudi nyumbani, baada ya hapo nikachukua cheti changu cha kidato cha nne na kwenda kusomea taaluma fulani kwa level ya certificate na nikaajiriwa yasingenikuta hayo ningeajiriwa nikiwa na diploma au degree.
Ni hayo tu kwa Leo.
Hongera sana kwa msimamo wako Mkuu, huyo teacher alikua na lengo la kukudharirisha tu. Katika maisha usikubali fedheha ndogo ndogo kama hizo,simama katika msimamo wako na usijutie kamwe.

Kipindi niko Advance Mbalizi Sec hiyo nakumbuka maticha waliniundia mkakati wa kuninasa ili wanifedheheshe mbele ya umati, wakawa hawanipati. Kuna siku wakaniwekea mtego na nikanasa kwenye mtego wao ila nikaona hii fedheha sitoiweza...aisee nilichomoka kama digidigi nikapita nikapaa ukutani kama spider man,na habari ya ile shule kwangu ikaishia hapo.

Ni enzi za kina Maijo, Israel,n.k
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Walikukomeshaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilipewa Kipigo Na Wanafunzi Wenzangu (Nilikuwa Snich)[emoji21][emoji21]

.
.
Nikiwa uko o level 2013 Moro uko boding shule moja ivi (sitaki mnikimbuke kama mpo humu)

Kuna Maticha Waliniomba Niwe Mpelelezi (Snich) Napeleleza Mambo Ya Hostel ya Wanafunzi Hapo Nipo Kidato Cha Pili


Nilikuwa Naishi Vizuri Sana Maana Kupata Vibuku 3 Kutoka Kwa Maticha Ilikuawa Ni Uwakika Na Nilikuwa Snich mzuri Vijana Wakipanga Kitu Nikisikia Tyuu Wanakuta Walimu Wameisha Pata Taarifa

IKAFIKA SIKU YANGU [emoji24][emoji24]....

Wanafunzi Wakawa Wamepanga Kuleta Mgomo Wa Msosi Mgomo Huo Walita Wafanye Mida Ya Usiku Nyumban Kwa headmaster

Bhana Snich Nikapata Taarifa Chapu Nikaenda Kwa Kwa Maboss Nikatema Vyote Walimu Wakaita Kikaoo Cha Fasta Kwa Wanafunzi Wote Baati Nzuri Au Mbaya Hawakupata Ushaidi Wowote Kama Ni Kweli Walitaka Kuandamana

Sasa Mbaya Kuna Nigga Aliniona Natoka Ofisini Kwa Ticha Alie kiwa anaongea Sana Kwenye Icho Kikao... Jamaa Akawastua Maniggah Midaa Ya Saa Sita Usiku Nimelala Zangu Ivi ...

Nikajikuta Nimevutwa Vibaya Nikamulikwa Na Tochi Kama Mia ivi Nikawa Sio Vizuri Nikashambuliwa na Mataulo Mabichi Usoni Kama dakika 2 Ivi Yaan Sielewii [emoji24][emoji24]

Wakanituliza Wakaanza Kuhojii Kwa Zile Sura Nilivo Ziona Ikabidi Nifunguke Yote Yaan kila kitu Kuna Jana Mmoja alikuwa Anajiita Kopo Akawaambia Mm Ntamchapa Fimbo 20 Za mgongoni

Daah Yule Jamaa Nikatili Sana Jamaa Alinipiga Zile Fimboo Bila Huruma Tena Nikiwa Mgongo Wazi Daah [emoji24][emoji24]

Sitakuja Kusahau Kesho Yake Niriludi Nyumbani Na Kuhama Shule ..

Sema Usnich Mbaya Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole snitch [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom