Kwahiyo, hapa wewe mwenyewe unaona ndo umejibu maswali yangu..!!??
Leo hii ile ya kusema ili uwe mbunge ni lazima ujuwe kusoma na kuandika, JE, HII UNAITAZAMA KAMA UBAGUZI KWA WASIOJUA KUSOMA NA KUANDIKA..!!??? Hili nalo unijibu
Ukiwa madini unakua kipofu.
Yesu aliwaita vipofu maana Udini ni mifumo ya kidunia.
Na hizi historia za upande mmoja bila kujua harakati kubwa za kanisa kupigania haki bila kujali dini wanaoficha . Mpaka Nyerere akaacha kazi ili kupigania uhuru wa watu wanaona ni ubaya pia.
Hawa jamaa wana chuki kubwa sana. Angalia kule Sudani walivyowabagua waafrika na dini zao mpaka wakaamua kupambana . Leo hapa Tanzania wetu wanaishi kwa umoja lakini kuna makundi yanabagua wafu kidini bila kujali .
Utasikia benki ya Kiislam isiyo na riba ni wao kwa wao .
Ikitokea ajira kwenye mabenki yenye riba na mashirika ya bima wanajazana kuomba ajira na kuwa mpaka mameneja ,wakati huo huo wanasema riba ni dhambi kubwa sana lakini wanalipwa mishahara kwa riba . Wanafiki wakubwa. Biashara za mihadarati nyingi wanafanya wao lakini kwa unafiki wanasema pesa zake ni halali zilijenga msikiti . Unafiki huo ni wa kishetani sio Mungu wa kweli.
Hawa hata uwape dunia nzima bado watasema wakristo wamepewa hizo nyota zote za angani kwa nini wao wapewe dunia tu ,kujenga tu dhana ya kuonewa .
Marais waislam wameshika madaraka wakiwa na full power lakini hakuna sheria yoyote waliyoiweka ya kuondoa hicho wanachokiita ubaguzi zaidi ya kujilimbikizia mali na kujificha nyuma ya matajiri wa kiarabu .
Nyerere anawezaje kuupendelea Ukristo kuliko familia yake na yeye mwenyewe.
Nyerere angekua na Udini kwanza tungeanza kuona ufamilia ,ukabila wake na ubinafsi wake wa kujilimbikizia mali kama wale wenzake.
Hatujawahi hata kumwona Nyerere akitoa maburungutu ya pesa kujenga Makanisa wala shule za kanisa zaidi ya kujenga shule kila kijiji nchi nzima kuweka usawa katika mazingira ya watu wengi kuwa na elimu duni kwa wakati huo.
Hakuna ushahidi wa mwalimu kuanzisha harakati za kudai uhuru wa kidini kwa sababu alijua madhara yake.
Nyerere ndiye aliyefukuza Wazungu ambao walileta ukristo .
Hakuna muislam anayeweza hata kuwapinga waarabu mpaka leo.Muarabu hata akitaka jengo la ikulu waislam watasema apewe. Nyerere aliwafukuza na kutaifisha mali zao bila kujali rangi na dini zao.
Wahuni na wauaji na magaidi wanaeneza ugaidi wao kwa kumtukana na kumlaumu Nyerere baba wa Taifa na mtu mwadilifu na Mtakatifu na mzalendo wa kweli .
Huwa najiuliza kwa nini waislamu mnamchukia nyerere, sipati majibu