Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati.

Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".

Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.

Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:


View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03

Hii habari nzito sana.

Bora na wewe umeona hii issue.

Jaribu kumrai mzee Mohamed Said aandike zaidi vitabu vya historia ya uhuru wa Tanganyika.

Tumelishwa matangopori hadi tunashiriki laana ya kupuuzia jasho la wale walioasisi harakati za uhuru wetu.
 
Bora na wewe umeona hii issue.

Jaribu kumrai mzee Mohamed Said aandike zaidi vitabu vya historia ya uhuru wa Tanganyika.

Tumelishwa matangopori hadi tunashiriki laana ya kupuuzia jasho la wale walioasisi harakati za uhuru wetu.
Nimeliona nini? Wacha ukondoo kwa kucheza na maneno.

Kuna anaeiandika historia ya ukweli ya uhuru wa Tanganyika zaidi ya Alama Mohamed Said?

Hata mada hii nimeianzisha kwa kujona na ajili ya hiyo video yake , ipo post namba moja.

Au data mpaka shemeji arudi kazini awashe hotspot yake?
 
Nimeliona nini? Wacha ukondoo kwa kucheza na maneno.

Kuna anaeiandika historia ya ukweli ya uhuru wa Tanganyika zaidi ya Alama Mohamed Said?

Hata mada hii nimeianzisha kwa kujona na ajili ya hiyo video yake , ipo post namba moja.

Au data mpaka shemeji arudi kazini awashe hotspot yake?
Lait ungenielewa usingelazimisha ushabiki wa kizayuni
 
Mt. 23:9Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Acha kukariri kama kasuku wewe msifikiri biblia imeandikwa na wewe unakariri huwa ina mafumbo kwa hiyo baba yako anayekuzaa huwezi kumuita Baba kwasababu tu kuna baba wa Mbinguni.
Haya basi baba yako utamwita mama au mjomba?.
Ndio maana mimi namuabudu mungu sana ila vitu vingine akili kichwani kwangu
 
Lait ungenielewa usingelazimisha ushabiki wa kizayuni
Unaeleweka kwa maandiko yako tu. Sina haja wala sababu ya kuelewa wewe ni nani.

Usilete usanii wa maneno. Nimezaliwa na kukulia kariakoo.
 
Acha kukariri kama kasuku wewe msifikiri biblia imeandikwa na wewe unakariri huwa ina mafumbo kwa hiyo baba yako anayekuzaa huwezi kumuita Baba kwasababu tu kuna baba wa Mbinguni.
Haya basi baba yako utamwita mama au mjombo?.
Ndio maana mimi namuabudu mungu sana ila vitu vingine akili kichwani kwangu

Fumboi hufumbiwa mjinga.

Mt. 23:9Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
 

Swadakta.
Nimeshangaa bibie Faiza Foxy kunishambulia ilihali mimi ni Mtanganyika anayeutafuta ukweli wa Uhuru wetu.

Historia tuliyosoma mashuleni kuhusu uhuru imepikwa kumpa mtu mmoja utukufu wakati kuna watu walijitoa kwa kila hali ili Tanganyika iwe huru.

Usiache kuandika na kusema hadi historia ikae sawa. Kuna akina mzee Tambaza na wengineo tuwafahamu na uhusika wao kwenye safari ya Tanganyika huru
 
Maandiko yako yote ni Islamcentric , au unaitazama historia kwa miwani ya dini yako.
Unachohadithia ni tofauti na uhalisia.
Sasa utuambie kama Nyerere aliyetoka huko misituni, kama aliwashikia majambia "wazee wako" ili awaghilibu na kuwatawala.
Ninyi ndio mnafaa kukaa misikitini tu na kuhubiri dini kuliko kupotosha historia.

Hatupingi watu wa Pwani walishiriki kikamilifu kudai uhuru, lakini hawakuwa peke yao kama unavyo vutia ngozi ya uislamu kwako.
Dini ni bangi kwa binadamu asiyejielewa. Huyu babu Mohamed Said ana uraibu wa dini kama mvuta bangi tu
 
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati.

Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".

Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.

Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:


View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03

Hii habari nzito sana.

Kumbe malalamiko ya kwamba waislamu hawajasoma yapo tangu enzi na enzi..!! Maana inaonyesha sababu ya kutotaka kupiga kura kwa namna ile iliyosemwa na Nyerere, ni ile hali ya wao kutosoma, na waislamu wenyewe walilitambua hilo..!!

Nikuulize haya;
1. Hao walikuwa wanamtenga huyo 'MTAKA DINI', hakukuwa na waislamu..!!??? Au walikuwa wakristo pekee..!!???

2. Huoni kwamba kwa watu wote kukubali kumtenga bwana 'MTAKA DINI', Nyerere alikuwa na nguvu sana kiasi cha hata waislamu wenyewe kumkubali?

3. Na hao waislamu waliokubali kumtenga bwana 'MTAKA DINI', walimtazama Nyerere kama 'Mungu' wao.!!?? Au wakristo pekee ndo walimtazama Nyerere kama 'Mungu' wao..!!??

Hata kama Mohamed Said naye ana majibu ya maswali haya, namwomba anipe..
 
Back
Top Bottom