Kisa nilicho kutana nacho huu mwaka katika kutafuta ajira


usingeutoa kwa "kwa my wife mpendwa" ila kwa wake zawengine unafaa[emoji38][emoji38]
 
Wanna wote wamekurarua wanataka ugawe papuchi yako

Dah inasikitisha sna
 
Pole sana..msimamo ni nguzo imara usiyumbishwe ipo siku utapata kazi
 
Kuna MAHALI napafukuzia nikifanikiwa nitakushtua,sina tamaa za ngono wala muda Zaid nitakwambia mshukuru Mungu
 
Huenda unaenda ukiwa umevaa nguo za mitego zile mnazovaaga chuo.
Unamtamanisha mtu akikutaka kingono unamuona ni muhuni ilhali chanzo unakua ni wewe. Jaribu kuangalia mavazi yako, huenda huna sura nzuri ila mavazi unayovaa ili uonekane mzuri ndio sababu.

Ni ngumu kuchomoa, sikuombei itokee ila utaliwa kwa ahadi kedekede.
Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, kua makini.

Kila la kheri
 
Bongo kuna ukiritimba wa hali ya juu. Huko takukuru nako wapenda rushwa wapo kibao.

Hili tatizo hapa bongo ni sugu, wanawake wasio na misimamo wamewazoesha wanaume wapenda ngono
 
Huyu hata mumewe atapata tabu kula mzigo anaonekana ni mgumu
 
Tz ni uoza!
 

Ni kweli kabisa angalia na huu

 
acha uongo uongo mtoa post unaonekana kituko.
Mara mwanaume mara mwanamke
 
Pole sana dada

Hayo ndio maisha ya ofisi nyingi zisizo na waredi

Ofisi inatakiwa kupokea maombi online kwa dunia hii na anaeprocess ni hr office

Sasa hao wanakula mzigo na hawakupi hio kazi kwa kujitolea


Pa msingi apply nafasi nyingi online utapata tu


Pia jaribu kuomba kwenye hizi recruiting agency kujitolea watakutafutia

Mimi sina uwezo wa kukutafutia kazi , wapa sina strong connection

Just share your Cv even without phone number .

Make sure umeiandika vizuri na vitu unavyoweza kuvifanya

NB:lets try to help her
 
Mbona kama sio mtu serious😹
 
Kwa msaada wa kisheria njoo inbox haraka usaidiwe.
 
Kwani umeolewa? kama sio hakuna hata mmoja ambae na wewe umempenda? hutaki kuolewa? kutongozwa ni kawaida kama ungeona jinsi wengine wanavyosumbuliwa,ungesema ni bora wewe
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…