Kisa nilicho kutana nacho huu mwaka katika kutafuta ajira

Kisa nilicho kutana nacho huu mwaka katika kutafuta ajira

Una Uandishi Mbaya Sana Wewe Unatia Kinyaa Hauna Mvuto Kuusoma
 
Mriga....!!

Happy New Year...!!!😉

I know the year is ending, but...... t's been long...

Good to see you here.

Happy Wednesday 😊.
Happy New Year to you too. Hivi ni kweli mwaka huu hatujaonana humu kweli?!!

Are you in Dar or ....?
 
Halafu pia huenda walikuona hamnazo, uandishi mbovu sijawahi ona popote hata km umegraduate lkn ni sifuri tena bure kabisa.
 
Mkuu cold water kama ikitokea Tena umeenda sehemu ukakutana na viashiria hzo bas nicheki pm Nina dada angu Yuko pccb nimemuambia swala lako akasema Hilo Ni kosa Sana hvyo ikitokea Tena unapata usumbufu mcheki atakusadia kuwa njoosha tu na akili zikae sawaa Ni haki yako kupewa internship na fied kufanya

Mtuhumiwa anawrmeza fungwa miaka 5 au faini ya milion 5 au vyote kwa pmj
 
Wadada bwana!!!! Kama una boyfriend na hamjaoana, na unamtegeshea kichupa anajisaidia, kwa Mungu hiyo ni dhambi (kama ndicho unachoogopa). So kumpa huyo jamaa wa kibaruani ni extension tu ya dhambi unayofanya na your boyfriend. Kama unaogopa magonjwa, ndo keshakwambia ukapime. Kuliko kuendelea kumpa bure boyfriend wako, achia for the first time kikulipe. Ila hakikisha kinakulipa kweli.

NB: KAMA KAWAIDA YA SIKU ZOTE, USHAURI UNAWEZA KUCHUKULIWA AU KUACHWA. HUU USHAURI NISINGEUTOA KWA MY WIFE MPENDWA
Aaah demu wako kazi anayo aisee!!

Kwahiyi pisi ako akinyanduliwa ni pw tu??
 
Jamani!!! Jamani!!! Maofisi yametulia,majengo ni mazuri yanapendeza na kuvutia,na watu wake wanapendeza ukiwaangalia kwa nje lakini!!!!,let s go to the point mwezi fulani hapa kati kati katika kutafuta sehemu za kujitolea nikaenda ofisi moja ivi sehemu Fulani,jamani nilikutana na kaka mmoja alinipokea vizuri tu, nikampa barua yangu na CV zangu lakini alionesha kutokuridhika na nilichokiandika ilibidi afanye kazi upya kuanzia kuandika barua hadi CV, tukiwa pale ofisini huku ananifanyia ile kazi huku ananilazimisha niende home kwake,na kunilazimisha kupima HIV ili niweze kumpa mzigo!!! nikamkatalia nikamwambia kaka kama hautaki kunisaidia basi naomba barua zangu niondoke watanisaidia wengine!!! Akaniambia Nina mda mrefu sija sex mke wangu yuko mbali naomba nipunguze kidogo zimejaa!!! Nikamwambia Mimi sihitaji naomba barua zangu,akaniambia kwaiyo wewe unataka Mimi nikusaidie lakini wewe kunisaidia Mimi hutaki nikamwambia nitafanya huu mchezo kwa watu wangapi katika maofisi wakati Mimi bado naendelea kutafuta kazi,ivi ninavyowaambia barua niliziacha na sijapata iyo nafasi ya kujitolea hadi Leo.ofisini kwake nilienda karibu Mara tatu akidai vitu havijakamilika na siku izo zote alinidai ngono.nilikosa furaha kila nilipokuwa nikirudi nyumbani. Basi nilivyoona miezi inakatika nikaenda sehemu nyingine nako nilisaidiwa na kupewa ela juu lakini nikaendelea kuombwa ngono kama kawaida mtu ananiambia njoo nyumbani nifulie nguo,Mara kuna kitu inabidi unitimizie nikakataa pia,nikaenda tena ofisi nyingine ivo ivo oh Dada naomba unipe nafasi nimekuelewa sana nakupenda hii barua yako Leo hii hii napeleka sehemu husika!!! Nikaipotezea tena iyo sehemu hadi Leo sijafatilia,nikaenda tena sehemu nyingine uyo sasa alikuwa manager akaniambia njoo ulipoti lakini naomba uwe na Mimi nitakufungulia na biashara pia ikabidi nimwambie basi nimegairi nitatafuta sehemu nyingine,siwachafui watu jamani huu mwaka nimepitia mikasa tu!!! Nimekata hadi tamaa ya kuomba kujitolea,hapo tu kujitolea vipi nikiwaambia waniajiri? Yani nimechoka kuzunguka. No za hawa watu zote nimezifuta yani ni kuniomba ngono tu Hamna msaada wowote!!! nasemaje ofisini kuna mambo ilishanitokea hadi kipindi cha field wababa wanaomba sana ngono maofisini acha kabisa.....
Pole sana. Tamaa za ngono/zinaa zimetujaa wanaume wengi. Hongera kwa msimamo. Kaza hivyo hivyo, usilegeze. Usikubali mbususu yako iliwe kizembe.
 
Jamani!!! Jamani!!! Maofisi yametulia,majengo ni mazuri yanapendeza na kuvutia,na watu wake wanapendeza ukiwaangalia kwa nje lakini!!!!,let s go to the point mwezi fulani hapa kati kati katika kutafuta sehemu za kujitolea nikaenda ofisi moja ivi sehemu Fulani,jamani nilikutana na kaka mmoja alinipokea vizuri tu, nikampa barua yangu na CV zangu lakini alionesha kutokuridhika na nilichokiandika ilibidi afanye kazi upya kuanzia kuandika barua hadi CV, tukiwa pale ofisini huku ananifanyia ile kazi huku ananilazimisha niende home kwake,na kunilazimisha kupima HIV ili niweze kumpa mzigo!!! nikamkatalia nikamwambia kaka kama hautaki kunisaidia basi naomba barua zangu niondoke watanisaidia wengine!!! Akaniambia Nina mda mrefu sija sex mke wangu yuko mbali naomba nipunguze kidogo zimejaa!!! Nikamwambia Mimi sihitaji naomba barua zangu,akaniambia kwaiyo wewe unataka Mimi nikusaidie lakini wewe kunisaidia Mimi hutaki nikamwambia nitafanya huu mchezo kwa watu wangapi katika maofisi wakati Mimi bado naendelea kutafuta kazi,ivi ninavyowaambia barua niliziacha na sijapata iyo nafasi ya kujitolea hadi Leo.ofisini kwake nilienda karibu Mara tatu akidai vitu havijakamilika na siku izo zote alinidai ngono.nilikosa furaha kila nilipokuwa nikirudi nyumbani. Basi nilivyoona miezi inakatika nikaenda sehemu nyingine nako nilisaidiwa na kupewa ela juu lakini nikaendelea kuombwa ngono kama kawaida mtu ananiambia njoo nyumbani nifulie nguo,Mara kuna kitu inabidi unitimizie nikakataa pia,nikaenda tena ofisi nyingine ivo ivo oh Dada naomba unipe nafasi nimekuelewa sana nakupenda hii barua yako Leo hii hii napeleka sehemu husika!!! Nikaipotezea tena iyo sehemu hadi Leo sijafatilia,nikaenda tena sehemu nyingine uyo sasa alikuwa manager akaniambia njoo ulipoti lakini naomba uwe na Mimi nitakufungulia na biashara pia ikabidi nimwambie basi nimegairi nitatafuta sehemu nyingine,siwachafui watu jamani huu mwaka nimepitia mikasa tu!!! Nimekata hadi tamaa ya kuomba kujitolea,hapo tu kujitolea vipi nikiwaambia waniajiri? Yani nimechoka kuzunguka. No za hawa watu zote nimezifuta yani ni kuniomba ngono tu Hamna msaada wowote!!! nasemaje ofisini kuna mambo ilishanitokea hadi kipindi cha field wababa wanaomba sana ngono maofisini acha kabisa.....
Nipe namba zako ofisini kwetu zipo nafasi za kujitolea na hawana longo longo kama hizo ila next time ukiandika ufuate kanuni za uandishi kwa ulivyoandika huyo jamaa alikuwa sahihi kukwambia CV yako umeiandika vibaya inabidi airekebishe.
 
Aaah demu wako kazi anayo aisee!!

Kwahiyi pisi ako akinyanduliwa ni pw tu??
Nina mke mkuu. Na pale mwisho nimesisitiza Kwa herufi kubwa kuwa sio kila ushauri ni wa kuupokea, hapo nimejumlisha na huo wa kwangu
 
Jamani!!! Jamani!!! Maofisi yametulia,majengo ni mazuri yanapendeza na kuvutia,na watu wake wanapendeza ukiwaangalia kwa nje lakini!!!!,let s go to the point mwezi fulani hapa kati kati katika kutafuta sehemu za kujitolea nikaenda ofisi moja ivi sehemu Fulani,jamani nilikutana na kaka mmoja alinipokea vizuri tu, nikampa barua yangu na CV zangu lakini alionesha kutokuridhika na nilichokiandika ilibidi afanye kazi upya kuanzia kuandika barua hadi CV, tukiwa pale ofisini huku ananifanyia ile kazi huku ananilazimisha niende home kwake,na kunilazimisha kupima HIV ili niweze kumpa mzigo!!! nikamkatalia nikamwambia kaka kama hautaki kunisaidia basi naomba barua zangu niondoke watanisaidia wengine!!! Akaniambia Nina mda mrefu sija sex mke wangu yuko mbali naomba nipunguze kidogo zimejaa!!! Nikamwambia Mimi sihitaji naomba barua zangu,akaniambia kwaiyo wewe unataka Mimi nikusaidie lakini wewe kunisaidia Mimi hutaki nikamwambia nitafanya huu mchezo kwa watu wangapi katika maofisi wakati Mimi bado naendelea kutafuta kazi,ivi ninavyowaambia barua niliziacha na sijapata iyo nafasi ya kujitolea hadi Leo.ofisini kwake nilienda karibu Mara tatu akidai vitu havijakamilika na siku izo zote alinidai ngono.nilikosa furaha kila nilipokuwa nikirudi nyumbani. Basi nilivyoona miezi inakatika nikaenda sehemu nyingine nako nilisaidiwa na kupewa ela juu lakini nikaendelea kuombwa ngono kama kawaida mtu ananiambia njoo nyumbani nifulie nguo,Mara kuna kitu inabidi unitimizie nikakataa pia,nikaenda tena ofisi nyingine ivo ivo oh Dada naomba unipe nafasi nimekuelewa sana nakupenda hii barua yako Leo hii hii napeleka sehemu husika!!! Nikaipotezea tena iyo sehemu hadi Leo sijafatilia,nikaenda tena sehemu nyingine uyo sasa alikuwa manager akaniambia njoo ulipoti lakini naomba uwe na Mimi nitakufungulia na biashara pia ikabidi nimwambie basi nimegairi nitatafuta sehemu nyingine,siwachafui watu jamani huu mwaka nimepitia mikasa tu!!! Nimekata hadi tamaa ya kuomba kujitolea,hapo tu kujitolea vipi nikiwaambia waniajiri? Yani nimechoka kuzunguka. No za hawa watu zote nimezifuta yani ni kuniomba ngono tu Hamna msaada wowote!!! nasemaje ofisini kuna mambo ilishanitokea hadi kipindi cha field wababa wanaomba sana ngono maofisini acha kabisa.....
Wewe unaona watu wanapata uteuzi unadhani ni mchezo mchezo tu?
 
Ila wabongo bwana,yaani haihitaji kuvaa vibaya Ili uombwe ngono. Wanawake wenye msimamo wanapitia sana udhalilishaji wa ngono hasa hasa huko maofisini. Dada usikate tamaa na Wala usiyumbishwe na msimamo wako hakika Kila mtu ana wakati wake.
Tatizo anataka kazi kwenye ofisi za chama tawala🤣🤣
 
,ivi ivo ivo , ulipoti ,nimegairi
Ambaye hakuridhika na uandishi wako hakukuonea ndo maana wengine wanataka wakubebe juu juu.
nyie ndio mnaopelekea watu ku-bak, watu wanaomba bado inakuwa shida, mwanaume kaumbiwa hivyo ni vile unamkuta pale ofisini imekuwa kama mbwa aliyefia kwa mpika supu,lazima atapikwa supu tu...mtu huyo hata angekukuta sokoni,kwenye daladala angeomba tu...mimi juzi nimempandia mtu kibajaji nikaacha usfiri wangu nimepaki angenikuta ofisini unadhani ningeacheje kuomba...shida ielezwe mapema, mbona vidume waliokuomba kama bodaboda,waliokupa lift,shuleni au chuoni wakati unasoma,wapita njia,kwenye daladala,kivukoni hujawasema ?unachagua habari za kuleta, punguzeni Nongwa dada zetu nyie mbona yenu mengi tunawatunzia.
 
Sasa wewe kaa na kidude chako acha jamaa wakae na madaraka yao
 
UKIONA UNATONGOZWA TONGOZWA HOVYO,KAA UKIJUA WEWE WA BEI NAFUU. UNAKWENDA OFISI ZA WATU NA NGUO ZA KiKAHABA.LAZIMA UFANYIWE INTERVIEW KUTHIBITISHA
 
Wadada bwana!!!! Kama una boyfriend na hamjaoana, na unamtegeshea kichupa anajisaidia, kwa Mungu hiyo ni dhambi (kama ndicho unachoogopa). So kumpa huyo jamaa wa kibaruani ni extension tu ya dhambi unayofanya na your boyfriend. Kama unaogopa magonjwa, ndo keshakwambia ukapime. Kuliko kuendelea kumpa bure boyfriend wako, achia for the first time kikulipe. Ila hakikisha kinakulipa kweli.

NB: KAMA KAWAIDA YA SIKU ZOTE, USHAURI UNAWEZA KUCHUKULIWA AU KUACHWA. HUU USHAURI NISINGEUTOA KWA MY WIFE MPENDWA
Ushauri wa hovyo sana
 
Lol...pole Nyie pisi kali ndio changamoto zenu hizo...Mimi nilivyomaliza chuo nafasi ya kwanza kwenda kuomba niliulizwa tu unaitwa nani,??nikaambiwa haya karibu nenda ofisi ile pale utawakuta na wenzako au unaweza kuanza jumatatu nikaanza kupiga mzigo the rest is history poleni pisi kali sura za mama na shepu za mashangazi zinawaponza.
ww mwenyew pc kal2 Kama wengne
 
Pole hayo ndio matokeo ya ubepari endelea ku husle siku moja mambo yatakua sawa.
 
Tafuta mtaji ujiajiri tu kama hutagi kugawa mbusuuu
 
Back
Top Bottom