Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Labda ile salaam Yao iliyojaa mamilion ya pesa.Hivi hawa QChandalua wanatumia mzizi gani maana watu wakishajiunga kuchomoka ni issue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ile salaam Yao iliyojaa mamilion ya pesa.Hivi hawa QChandalua wanatumia mzizi gani maana watu wakishajiunga kuchomoka ni issue
Acha ujinga wewe kwani Nyerere hakuwa mwalimu?Na Magu alishakua Mwl,nimepata jibu la akili zake zile alizitoa wapi.
Watu weusi sisi ni wavivu na tunapenda utajiri wa haraka bila kusumbuka sana sasa wazee wa "Fursa" wanapitia humo humo kwa kuwa washajua watu wanapenda utajiri wa haraka wanawatengenezea sinema la kitajiri watu wanajaa wanajipeleka.Hivi hawa QChandalua wanatumia mzizi gani maana watu wakishajiunga kuchomoka ni issue
Wanakutengenezea illusion ya kuona mafanikio yako ya kumiliki mihela na kuitwa bilionea kesho tu utayapata.Unaweza kuwalaumu walimu but Q-net
wakikufuma maisha yako ni hohe hae kama walimu hu ukiwa Una kiu ya hela , hawakuachi salama , Wana convincing power si ya nchi hii
Na waliopata DIV I wanauza utajiri wa nchi kwa mrahaba 3%, bora babu zetu , tunaweza sema hawakuwa na elimu.Kigezo cha kupata DIVISION FOUR ndo uwe mwalimu ndio tatizoo...
LimbwataHivi hawa QChandalua wanatumia mzizi gani maana watu wakishajiunga kuchomoka ni issue
Kama mpaka leo hujui qnet tuna jamii isiyo na taarifa ndo maana wanazidi kupiga watuKwani wakuu q net ni ninip? Nifafanulieni wadau
How?Unaweza kuwalaumu walimu but Q-net
wakikufuma maisha yako ni hohe hae kama walimu hu ukiwa Una kiu ya hela , hawakuachi salama , Wana convincing power si ya nchi hii
Sio wajinga,mshenzi sana huyo,Mkuu usifike uku kwasababu wamekutoa ujinga na kukufusha ngazi zote ulizopitia, sema tu wameonesha wanaudhaifu na ulimbukeni mkubwa
Sasa badala mumjibu mnampondea!Kama mpaka leo hujui qnet tuna jamii isiyo na taarifa ndo maana wanazidi kupiga watu
sasa mwalimu wa lakini tatu, milioni nne ya kununulia saa au walter filter ili aingize Qnet, anaitoa wapi?....Sio wajinga,mshenzi sana huyo,
Kama watu serikali kuu wanalipwa milioni mbili lakini ndio wezi balaa na Wala Rushwa,unategrmea Mwalimu mwenye mshahara wa laki tatu aishi vipi!