hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,442
Mtu ameuliza mnaleta kebehiInauma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ameuliza mnaleta kebehiInauma sana
Noma SanaGood morning billionaire.
Sasa wewe usiyeweza hata kuandika water ndo wa kudis walimu kweli[emoji16][emoji16]sasa mwalimu wa lakini tatu, milioni nne ya kununulia saa au walter filter ili aingize Qnet, anaitoa wapi?....
Haahahaaa....Kangi mbombo ngafu Jo Q net ijo. MMA une
😅😆😁😄😃🙂Walimu ni wajinga sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku ndugu yangu alinilaghai nikajikuta nimeingia kwenye chumba cha Qnet kwa ajili ya mafunzo ya siku ya kwanza. Nilivyoingia na kuwaona wale watu na salamu zao za good morning, nikajua hapa hakuna jambo la maana. Hiyo session ilipoisha tukawa tumekubaliana kuendelea na session nyingine kesho yake, sikutaka tena kupokea simu ya huyo ndugu hadi leo hii mwaka wa tano sijawahi kuwasiliana naye wala kutaka kujua wanaendeleaje na mishe zao za gudi moningi.
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi nilihakikisha nayajua yote kwanza, nilienda session mbili na ya tatu ilikuwa ni ya kwenda kulipa pesa nayo nilienda mikono mitupu, wakanisihi wanikopeshe ila niweke commitment ya ntakavyo ilejesha. Kuhusu kutafuta wengine wa kujiunga chini yangu nisijali wao watanisaidia kunitafutia coz wanafanya kazi kama timu ili utajiri tupate wote. Mikutano yao ni kuanzia saa 12 jion eti wakidai mchana kutwa wako busy. Wanakuja na magar ya kuazima ili wakuonyeshe kwa kudai ni sehemu ya mafanikio yao, ukimcheki anaekuonyesha gari hana personality hilo gari (mwenda kwa miguu hajifichi).Kuna siku ndugu yangu alinilaghai nikajikuta nimeingia kwenye chumba cha Qnet kwa ajili ya mafunzo ya siku ya kwanza. Nilivyoingia na kuwaona wale watu na salamu zao za good morning, nikajua hapa hakuna jambo la maana. Hiyo session ilipoisha tukawa tumekubaliana kuendelea na session nyingine kesho yake, sikutaka tena kupokea simu ya huyo ndugu hadi leo hii mwaka wa tano sijawahi kuwasiliana naye wala kutaka kujua wanaendeleaje na mishe zao za gudi moningi.
OkSasa badala mumjibu mnampondea!
Me mwenyewe ni mwalimu wa msingi na siijui hiyo kitu pia. Si ajabu hata wewe mwenyewe hujui sawa na sisi tu
Mstaafu pekee haitoshi sema mwalimu mstaafuKuna mmama mmoja mstaafu alitak kuniingiza uko, wakanipa semina wee mwisho wa siku nikawauliza napataje pesa? Nispopata mtu was kumwingiza je hela yangu ntaipataje. Sema upare wangu unanisaidia
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]hawa watu jamani juzi hapa nimeenda kwa anko anataka amfukuze mke wake kisa kaka yake alimrubuni shemeji aingine mtandao pendwa matokeo yake mda unaenda na hela haionekani anko kawa mbogo anamwambia mkewe arudi kwao mpaka braza ake alete hela yake