Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si Ndio anatoa sifa za Marehemu? 😂😂UPUMBAVU ni sifa kama ya urefu na ufupi.
Na ndo aliisha MTUMBUA mumeo hamna lolote la kufanya.
Sho.ga limetoka kupumliwa kisogoni na mwanaume, limechubuliwa chuki kwa JPM kwa kupiga marufuku uagizwaji holela wa virainishi.Tukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197
Kanipandikiza chuki mbaya sana na hata limtu likimsifia namchukia kiwango kile kilenikilisikia jina lake, au nikiona sura yake,kichwa changu kinakuwa disturbed.
Utamkumbuka wewe na nani?Tutakukumbuka daima.Shujaa wa Afrika,Mchapakazi na Mtetezi wa wanyonge.Upumzike kwa amani.
Nadhan ndiyo neno pekee la kiingereza alilokuwa anapatia kulitamkaHiyo betri ilumuathiri sana kisaikolojia alijua hana muda mrefu wa kuishi na kupelekea msemo wake wa "nimesakrifaisi maisha yangu"
SASA ATOKEE MTU ATUREJESHA KWENYE UTU WA ZAMANI, Nina Imani itachukua muda, maana sumu ilishamwagwa, kuiondoa atokee mtu mwenye ujasiri na utu, kwa hawa waliopo, sioni wa kuondoa sumu ya ukatili iliyomwagwa.Kichaa yule....na ndio iliyotukosti sana mpaka kesho!
Bado mnapambana na marehemu?,hakika huu ni ulofa,Legacy yake haitavunjwa na nyie vijakaziTukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197
Wazo zuri mzee wa legacy 😂Mods futa hizi zilipendwa
Tujadili yajayo ndo mazuri kuishi nayo...kila siku Magufuli tumechoka apumzike mtoto wa watu
Naam chuki hizi zinatakiwa zitafutiwe dawa. Tunaelekea kubaya zaidi ya hapa.chuki zitakuua
Hoja ni Magufuli lissu kaingiaje? Mkiambiwa UBONGO UNA MAJI MNASEMA MNATUKANWAMwambieni Lisu arudi sasa, hamna sababu ya kuendelea kufugwa na Amsterdam
Magufuli ndio amekufa lakini genge lake la wasiojulikana bado wako hai.Mwambieni Lisu arudi sasa, hamna sababu ya kuendelea kufugwa na Amsterdam
Acha unafiki na chuki binafsi wakati anauza aliyekuwa rais alikuwa wapi kumwajibisha?Tukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197
Mwenyewe aliwaita wanaume.View attachment 1975200
Hapa yupo na beberu anajichekeshachekesha