Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikisomaga uzi wa ROBERT HERIEL ambao aliuita Silaha ya maskini ni Unafiki.
The first picture ambayo inakuja kichwani ni ya Mwendazake....,
Alikuwa kichaa kama vichaa wengine. Nashangaa nchi haina system ya kuweza kuwabaini watu kama hawa kabla ya kuwakabidhi madaraka makubwa na kuleta madhara kwa nchi na wananchi wakeTukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197
Hahahaha we jamaa umesema alisema mabeberu ni wabaya ilihali wamemfungia betri ili aishi![]()
![]()
![]()
![]()
RubbishTukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197
Ni kweli....!Mtu amekufa bado anakusumbua tu! Angekuwa hai sijui ungekuwa kwenye hali gani! Hata mlete propaganda gani bado magufuli ni namba mbili baada ya Nyerere kwa uongozi bora.
Get over it mkuuTukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197
[emoji23][emoji23][emoji23]Alituletea mambo ya ajabu na aibu kama haya.View attachment 1975198
Taga kama taga .Magu alikuchalaza akiwa hai na bado anakuchalaza akiwa mfu.
Hadi miezi tisa ipite utoe hicho kinachokukereketa ambacho ndio alikuachia ndipo utakaa sawa
Unapatikana wapi na unataka tukushuti kwa risasi ngapi!? Njoo inbox kazi hii tutaifanya bure kabisa na noa yetu nyeusiMimi kinachoniuma hadi leo ni namna alivyomiminiwa marisasi Lissu, kwa hili najaribu kumwomba Mungu linitoke ila inashindikana, yaani utaamuaje kumuua binadamu mwenzako kama mnyama?
Ndio unamjua leo? Kutukana hovyo,kudhalilisha,kujifanya Mungu mtu,kupaparikia vitu vidogo na kufanya sherehe kubwa.utafikiri ndio cha kwanza Duniani,kujifanya ndio mtu mwenye akili kuliko wote yaani kiufupi huyu jamaa alikuwa na matatizo mengi Sana.Tukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197