Kisaikolojia Magufuli hakuwa sawa.

Kisaikolojia Magufuli hakuwa sawa.

Zilikuwa ni zama za giza la kugofya
 
Tukijaribu kukumbuka jinsi alivypendwa kuabudiwa, kutisha watu, kuzusha uongo mfano mabeberu sio watu wazuri kumbe wamemfungia betri ili aweze kuishi, uongo kuponda serikali zilizopita wakati hata yeye alikuwa sehemu ya serikali tangu 1995.
Uongo kuwa alilishwa sumu akiwa waziri wakati yeye aliuza nyumba zaidi ya 8000 kwa mkono wake.
Tabia ya vitisho na kutaka aabudiwe kama Mungu.
Ufisadi wa kupeleka miradi Chato na kuajiri watu wa kabila lake.
Kumuita Manji fisadi hukua akimkumbatia Rostam, kumuita Lowasa fisadi ila aliporudi CCM akamuita shujaa na mtoto wake akampa ubunge.
Kubaka Demokrasia ndani ya chama chake na nje ya chama chake.
Kukimbatia wahuni kama Sabaya na Makonda.
Risasi, utekaji, machozi jasho na damu.View attachment 1975197

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti "Mafaili ya sundi na Mussa aliyabeba kwapani"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Magu bana.
 
Alikuwa mwoga ndo maana vitisho vilikuwa vingi. Ila kiukweli lilikuwa janga sema Mungu ni fundi wa mafundi.
Nyie maCCM ni wauaji unawezaje kutoa kauli kama hii?

Hakuna mpinzani halisi na anayejulikana mwenye kumtweza Magufuli kama sio wananchama majizi yaliyozibiwa mirija ya upigaji ndio mnatoa sumu hizi kupitia utambulisho ghushi ili watu wafikiri ni wapinzani kumbe sio kweli.
 
Back
Top Bottom