Kisaikolojia Magufuli hakuwa sawa.

Sho.ga limetoka kupumliwa kisogoni na mwanaume, limechubuliwa chuki kwa JPM kwa kupiga marufuku uagizwaji holela wa virainishi.
 
Ata marehemu naye unamuonea wivu unatamani uwe kama yeye .
 
Bado mnapambana na marehemu?,hakika huu ni ulofa,Legacy yake haitavunjwa na nyie vijakazi
 
Reactions: nao
Magufuli alikuwa na nyota ya ng'e (scorpio). Watu wa nyota hiyo ndivyo walivyo na ndiyo haiba yao

Sasa madaraka + nyota yake ya kuzaliwa ndipo shida ilipoanzia

Watu wenye nyota yake na wale wenye nyota ya ng'ombe (taurus) ndiyo waliopewa hela kwa asili na asili yenyewe
 
Acha unafiki na chuki binafsi wakati anauza aliyekuwa rais alikuwa wapi kumwajibisha?

Huu uongo mwingine ni wa ajabu sana yaani waziri auze nyumba halafu haijulikani hata pesa zilizouza ziko wapi na akahojiwa awajibike leo hii hayupo mnaendelea kumpaka matope yenu ya wizi mnamsingizia.

Kuna siku utakuja kuomba radhi hadharani kutokana na uzandiki wako huu maana hauishi kupandisha uzi huu sijui ulizuiwa kitu gani wewe kununua wakati bunge liliidhinisha mauzo hayo?
 
Kwa afya yake hakustahili kupewa majukumu mazito kama Yale.Ilitakiwa Kazi za kupumzika
 
Alikuwa mwoga ndo maana vitisho vilikuwa vingi. Ila kiukweli lilikuwa janga sema Mungu ni fundi wa mafundi.
 
Huwa mnanisikitisha sana...

Mzee alipokuwa hai mngepambana mkamtuliza lakini mlimshindwa baadala yake kawatuliza sasa maajabu ametimiza ibada ya mwenyezi Mungu kwa maana ya kifo eti ndio mnapambana naye kumkebehi nk...

Hizi ni dalili za watu waoga ambao walishindwa kupambana na mhusika akiwa hai baadala yake mnapambana na dead body, halafu mnajiita wanaharakati, Pumbavu kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…