Kisaikolojia Magufuli hakuwa sawa.

Zilikuwa ni zama za giza la kugofya
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti "Mafaili ya sundi na Mussa aliyabeba kwapani"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Magu bana.
 
Alikuwa mwoga ndo maana vitisho vilikuwa vingi. Ila kiukweli lilikuwa janga sema Mungu ni fundi wa mafundi.
Nyie maCCM ni wauaji unawezaje kutoa kauli kama hii?

Hakuna mpinzani halisi na anayejulikana mwenye kumtweza Magufuli kama sio wananchama majizi yaliyozibiwa mirija ya upigaji ndio mnatoa sumu hizi kupitia utambulisho ghushi ili watu wafikiri ni wapinzani kumbe sio kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…