Bodhichitta
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 315
- 762
Fikiria mara mbili juu ya ushauri wakoKiongozi jenga utamaduni wa kushughulikia chanzo cha tatizo au chanzo cha uvunjifu wa sheria/utaratibu nk nani aliwaleta hapo hao watoto, kwa vibali gani..lengo ni nini? nk ili isije rudiwa tena na wale walioanzisha hili jambo wachukuliwe hatua wao binafsi. Sasa fungeni kituo, halafu baada ya muda wanakwenda kuanzisha jambo hilo hilo sehemu nyingine!
Hilo jambo ni jema shida hapo ni kwamba halikufanywa Kwa utaratibu maalum na Wala halikuwekewa mazingira mazuri katika utekelezaji wake.
Kitu cha kwanza ni kusitisha then kutoa maelekezo Kwa muhusika namna gani anaweza kufanya Hilo jambo Kwa utaratibu na kuweka mazingira salama Kwa wahusika na baada ya hapo anaweza kuendelea.
Mara nying penda kuangalia kitu kimefanywa Kwa Nia gan na ipi ni athari yake.
Wala sion shida juu ya uamuzi aliochukua wakufunga na kumtaka muhusika afuate utaratibu na kutengeneza mazingira salama Kwa wototo.
Hata leo ukienda kwenye baadhi ya shule za boarding za serikali utakuta vitanda vina kunguni, vyoo vichafu mazingira machafu kiujumla, je hili litakufanya uifute shule?
Angalia wapi pameleta tatizo, wakati mwingine njia isiyosahihi ikitumika kutatulia tatizo huleta tatizo zaidi.