Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Itakuwa baraka za paroko zimekuchosha sana leo ndiyo maana una hasira sana,pole sana.Tangia nyie ngedere mjue kutumia simu wanadamu tunapata sana shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa baraka za paroko zimekuchosha sana leo ndiyo maana una hasira sana,pole sana.Tangia nyie ngedere mjue kutumia simu wanadamu tunapata sana shida
Msikiti kazi yake sio kulaza watoto tena wenye walezi na wazazi. Mnatafuta shortcut ambayo inagharimu nguvu kazi kubwa ya Taifa letu. Mtoto uzae wewe kulea walee wengine. It wont happen.Kulala chini msikitini siyo shida
Vipi wanaopeleka watoto shule za boarding?Msikiti kazi yake sio kulaza watoto tena wenye walezi na wazazi. Mnatafuta shortcut ambayo inagharimu nguvu kazi kubwa ya Taifa letu. Mtoto uzae wewe kulea walee wengine. It wont happen.
Baadae ni kuishia kulalamika. Ukweli ni kuwa bila kuamua kuwa responsible na majukumu yetu wenyewe, hakuna padre au shekhe atakayenifanyia kazi yangu ya msingi.
Kuna roles zao chache ila kubwa ni zangu mwenyewe ili mtoto awe binadamu wa kweli
Je watoto wa akina Mohamed Said etal nao hawasomi elimu ya upili wanafundishwa kuhifadhi quran kwenye hizo madrasa za bweni?
Watoto wao wanalala misikitini chini kwenye sakafu na kuwa deprived elimu ya dunia?
Tulia wewe kafiriMsijiteteee mashetani nyie mnafundisha watoto ugaidi kwenye miskiti yenu huko na tutawafuchua sana
Hutaki au? Waislam lazima waisome Dini yao. Hizo "shule" zipo na wapo wanaosoma. Ila lazima Waislam waisome Dini yao. Hawa vijana wangekuwa wanazurura tu, wengine wakawa makahaba wala msingelalamika kama hivi. Ila wanasoma Dini yao, mnakuja na makelele. Au mnataka wawe "panya road" ili muwatukane Waislam vizuri kuwa wanalea wahalifu?Hili nililijua kabla lakini halihalalishi watoto kutokwenda shule eti wanajifunza kuhifadhi Korani!
Kafri kasaidia waja !
Ntaumije wakati nafurahia Kafri anavyosaidia umati wa Mtume Muhammad!Abu Huraira reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “Verily, no one will enter Paradise but a soul submissive to Allah, yet Allah may support this religion by the hands of a wicked man.”
Source: Ṣaḥīḥ al-Bukhārī 3062, Ṣaḥīḥ Muslim 111
Vipi umeumia?