joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hapa Magoti pamoja na kamati ya ulinzi wapewe heko,hivi vitu ukivichekea linaweza kiharibu usalama wa taifa.
Wazazi wajibikeni hao watoto ni jukumu lenu kwalea na kuwaongoza, unamwacha mtoto hujui anafundishwa nini,hujui anakula vipi na analala vipi,yaani kizazi cha mbele sijui kitakuwaje.
Unaweza ukakuta vituo kama hivi vipo vingi sana,misako kama hii inatakiwa ifanyike kila Wilaya tena kwa kushtukiza.
Wazazi wajibikeni hao watoto ni jukumu lenu kwalea na kuwaongoza, unamwacha mtoto hujui anafundishwa nini,hujui anakula vipi na analala vipi,yaani kizazi cha mbele sijui kitakuwaje.
Unaweza ukakuta vituo kama hivi vipo vingi sana,misako kama hii inatakiwa ifanyike kila Wilaya tena kwa kushtukiza.