Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Mzee Mohamed nimewaza tu, kwamba wahojiwe kama wapo kwa ridhaa yao na wazazi wao. Ama nikawaza hilo pia. Yote yanawezekana, majibu yatapatikana tu.Bantu...
Kwa nini watotowatoroshwe?
Wangekuwa wametoroshwa kungekuwa na ulinzi hapo msikitini kuwalinda wasikimbie.
Hao wamekosa fursa ya kuendelea na sekondari,wameenda kusoma dini,au ulitaka wazurure mtaani wawe panya road?Boko haram walianzaga hivi hivi
Bantu...
Kwa nini watotowatoroshwe?
Wangekuwa wametoroshwa kungekuwa na ulinzi hapo msikitini kuwalinda wasikimbie.
Kupumzika baada ya swala sawa, ila si kufanya Msikiti kuwa bweni la kulala wanafunzi.Volo...
Tujadiliane kwa heshima.
Hapana haja ya kutukana.
Kwani hauruhusiwi kulala msikitini?
Waislam kulala msikitini ni jambo la kawaida sana na limekuwa likifanyika karne kwa karne.
Kapeace,Sitafuti kuaminiwa nimechangia mada kuwa hizo madrasa zinazolea watoto zipo sio hiyo ya kisarawe tu huenda hiyo ikawa na idadi kubwa ya watoto tu, lakini hizo madrasa zipo sehemu nyingi tu tatizo ni usiri unaoendelea ndani ya hizo madrasa!
Habari za ugaidi umezileta wewe kumbe ndo kinachofundishwa?Ka
Si mshutumu mtu ina naongea kwa kutumia experience ya Boko Haram,ukitizama Documentary walianza hivi hivi, leo Nigeria kuna maeneo haya tawaliki.Joseph,
Ikiwa kuna ushahidi kuwa watoto hawa wanafunzwa ugaidi hili ni kosa la jinai.
Walimu wakamatwe wafikishwe mahakamani.
Haipendezi kuwa unatoa shutuma zisizo na ushahidi.
Hawa watoto wangekuwa hawali waingekuwa kama wanavyoonekana kwenye video.
Una la kusema kuhusu shule hii hapo chini?:
View attachment 3039358
Babuu.Kupumzika baada ya swala sawa, ila si kufanya Msikiti kuwa bweni la kulala wanafunzi.
Ndio waswekwe.Hao wamekosa fursa ya kuendelea na sekondari,wameenda kusoma dini,au ulitaka wazurure mtaani wawe panya road?
Joseph,Si mshutumu mtu ina naongea kwa kutumia experience ya Boko Haram,ukitizama Documentary walianza hivi hivi, leo Nigeria kuna maeneo haya tawaliki.
Halafu hilo darasa ni la serikali, hata content ya kinacho fundishwa serikali ndio wanakiandaa na kukimonitor,wana mifumo inayo tambulika ya kuandaa walimu.Halafu hapo wakimaliza kila mtoto anarudi kwa wazazi wake,still bado wazazi wanammonitor na kumlisha vizuri na hata akiumwa wanajua wamtibie vipi. Hivi kwa kuwaona tu inamaana ndio wanakula vizuri au wanatibiwa vizuri? Huwezi fananish treatment ya mtu baki na ya mzazi kwa mtoto.
Leo nikikuambia silabasi wanayo tumia kufundisha watoto unayo/unaijua. Haya kama yasipo angaliwa yakitokea hayajali,ww ni dini gani,Boko Haram wanateka na kuwaangamiza mpaka wale wenye imani sawa na wao.
Aliloibua Dc lizingatiwe na serikali ina mkono mrefu, mkuu wa wilaya peke yake hawezi,Kapeace,
Mahakama zipo endapo kuna kosa wapelekwe mahakamani.
Mkuu MSBagamoyo,
Rejea kwenye hiyo video uitazame na usikilize ukiwa makini.
Hakuna mwanafunzi yeyote kutoka nje ya Tanzania.
Rejea usikilize tena hao wanafunzi wengi wameishia darasa la saba na wameletwa hapo na wazee wao waje wasome dini.
Tatizo labda liko hapa.
Nimetumia neno ''labda'' kwa makusudi ili ikiwa lipo tatizo lingine lisemwe.
Ikiwa wewe ni Muislam hutopata tabu unapambiwa watoto wengi wa Kiislam huishia darasa la saba.
Kitwana Kondo alipata kulizungumza hili Bungeni.
Nakuwekea hotuba yake uisome.
(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999)
Waislam waliofanyiwa mtihani wa kuingia kidato cha kwanza majority yaani wengi walikuwa Waislam na Wengine walikuwa ndiyo wachache.
Waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza wengi walitoka katika wale Wengine na Waislam wakawa wachache.
Waislam kwa kuthamini elimu ndiyo wanawapeleka watoto wao katika shule hizi za ''kimasikini,'' kusoma.
Hatuna ubavu wa kushindana na shule za Wengine ambazo zinapewa ruzuku mabilioni ya kutoka serikalini kupitia Memorandum of Understanding (MUM) katika ya Serikali na Makanisa.
Yapo mengi katika matatizo yanayowakabili Waislam moja wapo ilikuwa NECTA kuhujumu shule za Waislam.
Naamini unayajua maandamano ya Waislam mwaka wa 2012.
Tutoke hapo.
Kama tatizo la kuvamia msikiti usiku wa manane DC na Kamati ya Amani mbona kuna shule za mbovu kupita kiasi hazijavamiwa na wanafunzi kurudishwa makwao?
Angalia ushahidi huo hapo chini:
View attachment 3039350
Upo ushahidi mwingi lakini tuanze na huu.
Nipe jibu kwa nini shule hii haijavamiwa usiku wa manane na DC na Kamati ya Usalama?
Babuu,Mohamed Said unajitahidi sana kuutetea Uislamu lakini ni dhahiri shahiri hoja nyingine hazina utetezi.
Ya Nigeria ni real example ya Boko Haram ilivyo anza ilianza hivi hivi,tatizo wao hawa kuyakemea na gundua mapema.Joseph,
Soma historia ya Waislam wa Tanganyika achana na historia ya Nigeria.
Historia ya Nigeria ni tofauti sana na historia ya Tanzania.
Unaujua mchango wa Waislam wa Tanganyika katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
Soma historia hii utaongeza maarifa yako.
Hatari sana hii...Mkuu MS
Hehima yako mkuu
Hoja na picha uliyo ambatanisha kwangu mimi naona Haina mashiko Kwa sababu
1. Hii shule( s/m mlevo) sio ya bweni kwahiyo hata ikivamiwa usiku wa manane na kamati ya ulinzi na usalama hakuna kitu/watu watakuta hapo shule ni uchakavu tu wa jengo Lakini shughuli za ufundishaji na utekelezaji wa mtaala zinafuatwa
2. Hoja ni kitu gani kinafundishwa hapo ambacho kimewafanya wachukue watoto 90+kutoka kwa familia zao?je ni elimu ya Dini au kuna ajenda za Siri (chuki) zinapenyezwa apo?
3. Je mazingira yanaruhusu kuwaudumia hao watoto 90+ malazi mavazi na chakula ukizingatia hapo sio shule na Wala hakuna mabweni ya kuwalaza hao watoto?
Mkuu MS
Hehima yako mkuu
Hoja na picha uliyo ambatanisha kwangu mimi naona Haina mashiko Kwa sababu
1. Hii shule( s/m mlevo) sio ya bweni kwahiyo hata ikivamiwa usiku wa manane na kamati ya ulinzi na usalama hakuna kitu/watu watakuta hapo shule ni uchakavu tu wa jengo Lakini shughuli za ufundishaji na utekelezaji wa mtaala zinafuatwa
2. Hoja ni kitu gani kinafundishwa hapo ambacho kimewafanya wachukue watoto 90+kutoka kwa familia zao?je ni elimu ya Dini au kuna ajenda za Siri (chuki) zinapenyezwa apo?
3. Je mazingira yanaruhusu kuwaudumia hao watoto 90+ malazi mavazi na chakula ukizingatia hapo sio shule na Wala hakuna mabweni ya kuwalaza hao watoto?
Joseph,Ya Nigeria ni real example ya Boko Haram ilivyo anza ilianza hivi hivi,tatizo wao hawa kuyakemea na gundua mapema.
Kweli kiimani ni mkrisho,ila ukiniambia nichague amani ya nchi yangu na dini yangu,nitachagua amani ya nchi yangu,sababu kwenye amani hata ule utulivu wa kusali unaupata.
Sasa nikishaujua huo mchango wa dini yako,then .......... then inahusiana nini na hiki nilicho kiona.
Unaweza Kuta huyu ndio yule Mzee wa migebuka.Hahahah hii comment yako ni kama umetuma sms DW Kiswahili
Lup...Niliwahi kuandika kuwa hii ni mbinu ya awamu ya sita kuwapa ufadhili watoto wa deen ya haki. Itafanyika kama ilivyofanyika kwa wale waliokutwa wamerundikwa katika kituo kimoja kule Dodoma. DC alinyamazishwa, serikali ikawapeleka kwenye kituo cha malezi cha serikali pale Dodoma. Ni ufadhili wa bure kwa kodi za watu wa dini mbalimbali nchini. Hata hii utasikia wamelelekwa kwenye kituo cha serikali Dodoma
Hivi Mzee wangu unajua baadhi ya rejea hupoteza uhalisia wake baada ya muda mrefu kupita kutokana na mabadiliko kadhaa ambayo huwa yanatokea?Bagamoyo,
Rejea kwenye hiyo video uitazame na usikilize ukiwa makini.
Hakuna mwanafunzi yeyote kutoka nje ya Tanzania.
Rejea usikilize tena hao wanafunzi wengi wameishia darasa la saba na wameletwa hapo na wazee wao waje wasome dini.
Tatizo labda liko hapa.
Nimetumia neno ''labda'' kwa makusudi ili ikiwa lipo tatizo lingine lisemwe.
Ikiwa wewe ni Muislam hutopata tabu unapambiwa watoto wengi wa Kiislam huishia darasa la saba.
Kitwana Kondo alipata kulizungumza hili Bungeni.
Nakuwekea hotuba yake uisome.
(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999)
Waislam waliofanyiwa mtihani wa kuingia kidato cha kwanza majority yaani wengi walikuwa Waislam na Wengine walikuwa ndiyo wachache.
Waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza wengi walitoka katika wale Wengine na Waislam wakawa wachache.
Waislam kwa kuthamini elimu ndiyo wanawapeleka watoto wao katika shule hizi za ''kimasikini,'' kusoma.
Hatuna ubavu wa kushindana na shule za Wengine ambazo zinapewa ruzuku mabilioni ya kutoka serikalini kupitia Memorandum of Understanding (MUM) katika ya Serikali na Makanisa.
Yapo mengi katika matatizo yanayowakabili Waislam moja wapo ilikuwa NECTA kuhujumu shule za Waislam.
Naamini unayajua maandamano ya Waislam mwaka wa 2012.
Tutoke hapo.
Kama tatizo la kuvamia msikiti usiku wa manane DC na Kamati ya Amani mbona kuna shule za mbovu kupita kiasi hazijavamiwa na wanafunzi kurudishwa makwao?
Angalia ushahidi huo hapo chini:
View attachment 3039350
Upo ushahidi mwingi lakini tuanze na huu.
Nipe jibu kwa nini shule hii haijavamiwa usiku wa manane na DC na Kamati ya Usalama?