Mnavyojishtukia sasa itakuwa kuna jambo lisilo la kawaida mnafundishana hukoAliyekwambia kuna usiri ni nani? Nani alienda kuuliza kinachoendelea hakujibiwa? Wazazi hawana uwezo wa kupeleka watoto shule binafsi za sekondari mlitaka wafanye nini? Mtoto asijue dini yake kisa mzazi hana uwezo? Acheni chuki za kipumbavu nyie
Soma kwanza makubaliano ya sheikh wahab na ufalme wa saudia yalikuaje,Nina Imani itajifunza bwana wahab ni nani na alikuwepo lini,maana wafuga ndevu na suruali fupi jina jingine ni wahab,maarufu kwa tz answar Sunnah,yaani wanaonusuru Sunna za mtumeWanafundisha kuvaa Suruwali fupi na kufuga Mzuzu na kuchukia Makafiri yaani Unbelievers.
Maeneo gani mkuu?Kuanzia 2021-2024 nimebahatika kuishi mikoa 3-4 tofauti, 1 ukanda wa pwani ambapo nipo kwa sasa na hapo mtaani ipo na kote zilikuwepo madrasa zenye hao watoto wanaishi na kutunzwa humo kutoka ni kwa nadra sana, ni km wanajificha hivi, kinachofanyika humo hakijulikani hata kwa majirani kati ya hizo sehemu ni madrasa 2 nilikuwa jirani wa karibu,
ukichimba sana hizi ishu huwa zinaibuka pindi tu rais akiwa muislam,, kuna nini?
Sheikh wangu katika paragraph ya pili wasema watoto walipelekwa na wazee wao wakasome dini..jua tu watoto ni Mali ya serikali.Bagamoyo,
Rejea kwenye hiyo video uitazame na usikilize ukiwa makini.
Hakuna mwanafunzi yeyote kutoka nje ya Tanzania.
Rejea usikilize tena hao wanafunzi wengi wameishia darasa la saba na wameletwa hapo na wazee wao waje wasome dini.
Tatizo labda liko hapa.
Nimetumia neno ''labda'' kwa makusudi ili ikiwa lipo tatizo lingine lisemwe.
Ikiwa wewe ni Muislam hutopata tabu unapambiwa watoto wengi wa Kiislam huishia darasa la saba.
Kitwana Kondo alipata kulizungumza hili Bungeni.
Nakuwekea hotuba yake uisome.
(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999)
Waislam waliofanyiwa mtihani wa kuingia kidato cha kwanza majority yaani wengi walikuwa Waislam na Wengine walikuwa ndiyo wachache.
Waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza wengi walitoka katika wale Wengine na Waislam wakawa wachache.
Waislam kwa kuthamini elimu ndiyo wanawapeleka watoto wao katika shule hizi za ''kimasikini,'' kusoma.
Hatuna ubavu wa kushindana na shule za Wengine ambazo zinapewa ruzuku mabilioni ya kutoka serikalini kupitia Memorandum of Understanding (MUM) katika ya Serikali na Makanisa.
Yapo mengi katika matatizo yanayowakabili Waislam moja wapo ilikuwa NECTA kuhujumu shule za Waislam.
Naamini unayajua maandamano ya Waislam mwaka wa 2012.
Tutoke hapo.
Kama tatizo la kuvamia msikiti usiku wa manane DC na Kamati ya Amani mbona kuna shule za mbovu kupita kiasi hazijavamiwa na wanafunzi kurudishwa makwao?
Angalia ushahidi huo hapo chini:
View attachment 3039350
Upo ushahidi mwingi lakini tuanze na huu.
Nipe jibu kwa nini shule hii haijavamiwa usiku wa manane na DC na Kamati ya Usalama?
HIzi ni madrasa za boarding ni za kawaida sana.Vyuo vya dini vipo muda mrefu tu .Mfano Chuo Cha TAMTA,Zaharau na Maawal vya Tanga vimefundisha masheikh wengi wakubwa kutoka pande mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.Hapajakuwepo shida yoyote katika vyuo hivyo pamoja na wanafunzi wengine kukaa bweni.Kulaza wanafunzi kwa kufuata Sheria hakuna shida.Waacheni watu wasome dini zao mradi wafuate Sheria.Wanaopinga watu kusoma dini ndiyo siwaelewi.
Haki za mtoto ziheshimiweVyuo vya dini vipo muda mrefu tu .Mfano Chuo Cha TAMTA,Zaharau na Maawal vya Tanga vimefundisha masheikh wengi wakubwa kutoka pande mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.Hapajakuwepo shida yoyote katika vyuo hivyo pamoja na wanafunzi wengine kukaa bweni.Kulaza wanafunzi kwa kufuata Sheria hakuna shida.Waacheni watu wasome dini zao mradi wafuate Sheria.Wanaopinga watu kusoma dini ndiyo siwaelewi.
Kulikua na watoto wadogo pale hadi miaka mitatu amefeli wapi?Mini...
Wanafunzi wamehojiwa na DC na wamesema wamefeli darasa la saba.
Sikusikia kuwa kuna waliofaulu.
Nifafanulie isiwe mimi sikuzikia vizuri.
Hapo walipo hawawezi kupata vishawishi?vishawishi vya kuwaingiza njia mbaya ni vingi
Hapo walipo kinachotakiwa hao wasimamizi wafate sheria za nchi.Hapo walipo hawawezi kupata vishawishi?
Tunaongelea watoto wale wanafugwa km mifugo pale kwa nia gani bila taarifa.
Hata sheikh wenu mkuu hajui,ustaadh anaulizwa anajichanganya tu.
Kakiri kosa,kaachiwa na DC ila sidhani km limeisha hilo.
Kwa hali hiyo huyo ustaadh anaweza kuwa anabeba na kuwaingilia vilevile usiku maana ni kawaida kusikia hilo.