Kisarawe: Kamati ya siasa ya wilaya yachachamaa tsh milioni 56 kujenga matundu ya choo kifisadi

Kisarawe: Kamati ya siasa ya wilaya yachachamaa tsh milioni 56 kujenga matundu ya choo kifisadi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kamati ya siasa wilaya ya Kisarawe wamemtaka mkurugenzi wa halmashauri kutoa uthibitisho wa namna walivyotumia tsh 56 milioni kujenga matundu machache ya vyoo tena chini ya kiwango

Wajumbe wa kamati hiyo wamesema halmashauri ya Mkuranga imejenga matundu ya vyoo kama hayo na kwa ramani hiyo hiyo kwa tsh milioni 4 tu

Chanzo: Eatv habari

My take; Jaffo pokea taarifa Kisarawe ni jimbo lako.
 
Wametumia hela kwa kishindo na choo kimekamilika bila kupingwa
emoji1787.png
 
Kidoti anasemaje? maana ndie msimamizi mkuu... Wanawake wakiwezeshwa wanaweza!
 
Daah! Jaffo na Jokate nuota zao zinafifia kwa kasi sana!
 
Kamati ya siasa,hiki si chombo cha ccm?walitakiwa kuwahoji madiwani wao waliowapa dhamana kusimamia mali za umma
 
Inaweza ikafika hyo hela.
Ujenzi GHARAMA.
Cement 16,000.
Nondo 21,000 za mm 12
Nondo 35,000 za mm 16.
Tofali la nchi 5 1,100.
Bati la futi 10 20,000.
ringi sh 5,00.
kokoto za msolwa qubic Mita 1 80,000.
Bado mafundi bado vibarua bado vifaa vingine vingi Tu.
Kwa kujenga matunda 4 ya choo kwa milion 56???? Huu ni ufisadi, Jokate pia ni fisadi mdogo
 
Inaweza ikafika hyo hela.
Ujenzi GHARAMA.
Cement 16,000.
Nondo 21,000 za mm 12
Nondo 35,000 za mm 16.
Tofali la nchi 5 1,100.
Bati la futi 10 20,000.
ringi sh 5,00.
kokoto za msolwa qubic Mita 1 80,000.
Bado mafundi bado vibarua bado vifaa vingine vingi Tu.
Bei ya bati sio 20,000/= majengo ya serikali yanapauliwa na bati la gauge 28 ambalo kwa Sasa ni Tsh 27,000/= kwa bati moja.

Lkn pia kutakuwa na Manunuzi ya tiles, ambazo zinagawanyika Mara mbili, kwa chooni lazima kuwepo na tiles za ukutani, na tiles za sakafuni! Box moja la tiles haipungui Tsh 20,000/=

Mbao za 1x10 nazo zinahusika ktk kufunika choo, moja inauzwa 20,000/=

Nondo ya mm 6 nayo pia inahusika kwa ajili ya binding ya nondo kubwa ktk shimo na ktk rinta za jengo, inauzwa kwa Roller, roller moja ni 180,000/= Hadi 200,000/=

Kuna rangi ya weather guard kwa ajili ya kuta za nje ndoo moja 150,000/= white cement mfuko mmoja 40,000/=

Fisher board mbao moja ni 20,000/= na rangi inayopaka Fisher board inauzwa 22,000/= kwa lt 4 na lazima izimuliwe na thinner ambayo dumu la Lita 5 ni 30,000/=

Kuna rangi ya kiuno Cha choo, ambayo huwa inapigwa nyeusi- bei nayo ni 22,000/=lazima izimuliwe na thinner ambayo ni 30,000/= kwa lt 5.

Kuna rangi ya ndani ya choo ambayo Mara nyingi inatumika hz za kawaida emmation ndoo moja ni 35,000/=

Kuna gysum board 16,000/= powder 16,000/= scrws 10,000/= kwa kibox, mikanda 3500/= Hadi 4000/=

Mbao
6x2 =6500/=
4x2=5500/=
3x2=4500/=
2x2= 4000/=
Mbao hz zote lazima zitumike ktk upauaji ili jengo liwe sawa sawa na hixi 2x2 huwa zinazama nyingi kwa kuwa zina matumizi Hadi ktk blundering.

Misumari
Inchi 3 kg 3000/ Hadi 3500
Inchi 4 "
Inchi 5. "
Misumari ya bati kg 6000/=

Sink za choo@ 20,000/= bomba kubwa za pvc inch 4 zinatumika ktk kutoa hewa chafu shimoni na ktk sink ili kusafirisha kinyesi na uchafu mwingine.

My take: ndg, kwa mie niliyewahi kusimamia ujenzi hizo milioni inawezekana kabisa zimetumika tu kihalali na hapo bado Kuna gharama nyingi sijaziweka na nyingine kubwa tu ikiwemo labour charges( gharama ya mafundi)

Pia ufisadi hauwezi kufanyika mbele ya kidot, ni mpambanaji wa ukweli na anajua majukumu yake vzr na hatishwi na chochote.

Na sie wazaramo tunaogopa jela na polisi hatuna ujanja wa kukwapua.

Assalamualaikum!
 
Bei ya bati sio 20,000/= majengo ya serikali yanapauliwa na bati la gauge 28 ambalo kwa Sasa ni Tsh 27,000/= kwa bati moja.

Lkn pia kutakuwa na Manunuzi ya tiles, ambazo zinagawanyika Mara mbili, kwa chooni lazima kuwepo na tiles za ukutani, na tiles za sakafuni! Box moja la tiles haipungui Tsh 20,000/=

Mbao za 1x10 nazo zinahusika ktk kufunika choo, moja inauzwa 20,000/=

Nondo ya mm 6 nayo pia inahusika kwa ajili ya binding ya nondo kubwa ktk shimo na ktk rinta za jengo, inauzwa kwa Roller, roller moja ni 180,000/= Hadi 200,000/=

Kuna rangi ya weather guard kwa ajili ya kuta za nje ndoo moja 150,000/= white cement mfuko mmoja 40,000/=

Fisher board mbao moja ni 20,000/= na rangi inayopaka Fisher board inauzwa 22,000/= kwa lt 4 na lazima izimuliwe na thinner ambayo dumu la Lita 5 ni 30,000/=

Kuna rangi ya kiuno Cha choo, ambayo huwa inapigwa nyeusi- bei nayo ni 22,000/=lazima izimuliwe na thinner ambayo ni 30,000/= kwa lt 5.

Kuna rangi ya ndani ya choo ambayo Mara nyingi inatumika hz za kawaida emmation ndoo moja ni 35,000/=

Kuna gysum board 16,000/= powder 16,000/= scrws 10,000/= kwa kibox, mikanda 3500/= Hadi 4000/=

Mbao
6x2 =6500/=
4x2=5500/=
3x2=4500/=
2x2= 4000/=
Mbao hz zote lazima zitumike ktk upauaji ili jengo liwe sawa sawa na hixi 2x2 huwa zinazama nyingi kwa kuwa zina matumizi Hadi ktk blundering.

Misumari
Inchi 3 kg 3000/ Hadi 3500
Inchi 4 "
Inchi 5. "
Misumari ya bati kg 6000/=

Sink za choo@ 20,000/= bomba kubwa za pvc inch 4 zinatumika ktk kutoa hewa chafu shimoni na ktk sink ili kusafirisha kinyesi na uchafu mwingine.

My take: ndg, kwa mie niliyewahi kusimamia ujenzi hizo milioni inawezekana kabisa zimetumika tu kihalali na hapo bado Kuna gharama nyingi sijaziweka na nyingine kubwa tu ikiwemo labour charges( gharama ya mafundi)

Pia ufisadi hauwezi kufanyika mbele ya kidot, ni mpambanaji wa ukweli na anajua majukumu yake vzr na hatishwi na chochote.

Na sie wazaramo tunaogopa jela na polisi hatuna ujanja wa kukwapua.

Assalamualaikum!
Sawa ila umesoma vizuri uzi hapo juu mkuranga wamejenga matundu ya choo km hayo kwa milion 4 tu au huko kisarawe ni nchi nyingine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom