Kisayansi matembele sio mboga ni majani pori, tunayala sababu ya shida tu, kitaalumu mchicha ndiyo mboga halisi

Kisayansi matembele sio mboga ni majani pori, tunayala sababu ya shida tu, kitaalumu mchicha ndiyo mboga halisi

Umeyatoa wapi mawazo ya namna hiyo?Mmea ukose nutrient content halafu upendwe na wanyama wadhani ni rahisi kihivyo?Kapitie upya thesis yako.
Wewe unaona wanyama ambao hawana self awareness wana akili kuliko binadamu!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tafakuri ya kina kwa wenye hekima

Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha

Poleni mlioumizwa
We ushawai kula nsasa, nguniyani,majani ya maboga,mlenda og,majani ya kunde,ya miwa, migomba.
Ushawai kula ugali unatoeza kwenye uji wa chumvi?
We umezaliwa lini kwanza?
Mwaka 80 ulikua wapi baada ya vita ya Uganda?
Hayo matembele ni mboga luxury kabisa usilete nongwa zako we mtoto wa mama, tena umenikumbusha ngoja niyatwange saa hii na ugali.
Ushindwe.
 
Back
Top Bottom