Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
acha uchoyoHuku kwetu huwa hatusemi tupo wapi mpaka tumalize kula 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha uchoyoHuku kwetu huwa hatusemi tupo wapi mpaka tumalize kula 😄
Mboga ya Matembele ni nzuri kiafya kuliko mboga ya mchicha haifai kabisa mchicha ni mboga yenye asidi haifai kuliwa na watu wanakula pasipo kuijuwa faida ya mboga ya mchicha. Mboaga ya matembele hata kama imejiotea porini inafaa kuliwa kwa sababu aliyeoteshani Mungu na kitu kijiotea mwenywe ni kizuri zaidi kuliko kilichopandwa na binadamu.Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha
Poleni mlioumizwa
Umesema kweli wasukuma hawayawez matembele asee! Wanayaita MALANDOWasukuma hawayapendi maana hawajui kuyapika wanaweka mchuzi,hiyo ni mboga ya pwani,tuachieni wana pwani
Hata nikiwa ugenini naweza ikataa, sina aibu hapo mkuuSipendi spinach na mwenzie chainise yaani sitaki hata kuwaona
Black jackUnashangaa matembele watu wanakula mpaka Yale mashona nguo Nini matembele.
Apa ndo natoka bandarini mzee, leo kontena la mabalo ya nguo likitua ilikua kazikaziVishu kesho jmos uje gomz huku tule bata