Truth sniper
Senior Member
- Jan 22, 2012
- 130
- 202
Unashangaa matembele watu wanakula mpaka Yale mashona nguo Nini matembele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako mboga zote za majani haziliwi kama burudani zile ni tiba zina mengi usiyoyajuaWadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha
Poleni mlioumizwa
Kwenye ugali hapo weka DONA...Upate matembele ugali na dagaa unashushia na maji baridi kabisaView attachment 3212631
Sipendi spinach na mwenzie chainise yaani sitaki hata kuwaonaSpinnach vp..mm kwangu ni the best
Tatizo wanachuma majani ya viazi halafu hawajui kuyapika matokeo yake wanapata mlenda halafu sio wasukuma tu makabila mengi huko vijijini wako hivyo,.wakija mjini siku ya mwanzoni hawali tembele.[emoji3][emoji3]Wasukuma hawayapendi maana hawajui kuyapika wanaweka mchuzi,hiyo ni mboga ya pwani,tuachieni wana pwani
Mwambie hata akifika wakati wa kula anawe ale akimaliza ndio Salam na mengine yatafuate [emoji3][emoji3]Huku kwetu huwa hatusemi tupo wapi mpaka tumalize kula [emoji1]
Zote ni mboga ,Wahenga walisema ukimchunguza Sana bata Hauwezi kumlaWadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha
Poleni mlioumizwa
Hizo mboga sili kabisa kwasababu zinanikumbusha nyakati ngumu sana tulizopitia na familia yangu nikiwa mdogo.4 bora yangu ya Mboga za majani
1, majani ya maboga
2, majani ya maharage.
3, matembele.
4, majani ya kunde.
Nyakati ngumu?Hizo mboga sili kabisa kwasababu zinanikumbusha nyakati ngumu sana tulizopitia na familia yangu nikiwa mdogo.
Mtani huyo hana maana, tulikwenda.kuzika Kisaraweil miaka ya nyuma Sana, driver msukuma.tukafika sehemu wanapiga kelele dereva kuna mlima mrefu kweli.hapo mbele punguza mwendo [emoji3][emoji3] kumbe kamwinuko tu sikuwaacha salama [emoji3][emoji3] driver kapandisha na kushusha Sekenke ya zamani wanamwambia mlima Kisarawe!! Sina hamu naoKumbe we ni wa Pwani?!
Ndo maana kila kitu una mention wasukuma tu!
Ninakuahidi kwa dhati kuwa ushauri wako nitaendelea kuupuuza.Nyakati ngumu?
Hizi mboga haitakiwi kula sababu ya nyakati ngumu, inatakiwa kula muda wote sababu ya virutubishi.
Ndiyo maana wazee wa zamani walikuwa Strong!!
......tafsiri yako tu mbaya....pori na mjini ...kwenye mboga ? Kupanga ni kuchagua rndelea tu utakavyo....mnafu no badala mchicha...kuna mchicha wa asili nao mzuri zaidi ule wako wa kizungu.....sasa wajua ugali wetu mahindi unadumaza akili ?? Inatakiwa tule ugaki ngano au muhogo mm nachanganya muhovo na ngano ndio ugali wangu past 10yrs nimeacha srmve kavu.....Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Fuatilia kwa wataalamu wa tiba utathibitisha
Poleni mlioumizwa
Nashukuru kwa kukubaliana na ushauri wangu kwa njia hiyo.Ninakuahidi kwa dhati kuwa ushauri wako nitaendelea kuupuuza.
English Medium ni shule tu nyumbani tembele kama kawaida asikudanye mtu,ukweli ni kwamba baadhi ya watanzania wenzetu wana mambo ya kijinga sana alaf utakuta huyu starter wa thread bwana Uzalendo wa Kitanzania amesoma English medium
Mashona nguo mboga tamu kweli ile nyanya izidi kidogo iwekwe nazi au karanga dahUnashangaa matembele watu wanakula mpaka Yale mashona nguo Nini matembele.