Kisheria hii imekaaje?

Kisheria hii imekaaje?

Leo nitamchukua shekh mmoja akampe hilo darasa , ili ajikomboe ...nataka kufikia jumapili awe amesepa, niwe huru, nijilie maisha
Yes. Kama unajua hawezi kukupa mahari uliyomuolea. Nawe imeshamchoka mpe condition affordable kwake. Mwambie atupatie sh 10/- kama kikomboleo. Akikubali mpe vyombo vyote vya jikoni kama zawadi. Ikibidi hata kitaunda.

Wewe nunua godoro dogo maisha yaendelee.

Kama bado tunampenda komaa na magari uliyomuolea. Halafu waite wazurudishe kwao.

Lkn elewa hizo ni dalili kuna mwanamme mharibifu anamnyemelea au tayari kaingia. Au anammumbuka mwanamme mmoja wapo aliyekwisha Wahid pita nae.

Msichana kuanzia miaka 20 na kuendelea aliyekeishajichakaza ni bomu. Labda uje znz kuna afadhali
 
Kiumri bado mdogo labda kuna shida nyingine,mimi na yeye hatupishani sana kiumri ila mabinti huwa wanaomba poo
Nafikiri kuna haja aje umpatie mbinu, unajua umri wa miaka 44+ unakuwa umeshajipata Kimaisha halafu ndiyo nguvu za kiume wengi hawana.

Na kama ulioa Binti wa miaka 23 lazima Vijana wa hovyo wakugongee
 
Huyo mbwa amejazwa na upepo ana tamaa ya hizo Mali .
Cha msingi mpe talaka, na mugawane kile mulichoanzisha pamoja.
Be a man
 
Pole Sana,ni mdogo kiumri kulinganisha na wako....Ivo hako bado kanahitaji mahaba ya kitoto....simu muda wote na kubebishwa muda wote.Sogeza kidogo namba ya muolewaji
 
Pole Sana,ni mdogo kiumri kulinganisha na wako....Ivo hako bado kanahitaji mahaba ya kitoto....simu muda wote na kubebishwa muda wote.Sogeza kidogo namba ya muolewaji
 
Binti akiondoka kwenye ndoa kwa kutaka na hana mtoto anatakiwa arudishe mahari
 
Kama ndoa mlifunga kidini ya kiislamu kawaone mashekhe kuhusu huo mgawanyo wa mali, ila kama kiserikali nahisi hapo ni pasu kwa pasu
 
Wanawake bhana kapata muhuni anamrukia rukia anakuja home na kusema hauna nguvu za kiume utapata wapi nguvu za kumpanda wakati muda wote ni vita kama mpo Somalia...ishu ya mali hapo ndio kaichungulia maana anajua mali zako zote na washasimuliana huko mkiachana myagawana nyumba na hili kwenye maongezi yenu utakua ushaambiwa hizo mali zikiwa kwenye jina lako mkifika mahakamani watakushangaza watasema mgawane..
 
Jama hana nguvu za kiume,hiyo changamoto sio ndogo,aachane na mambo ya ndoa
Uko sahihi.
Semina ni kisingizio tu, amemuweka pale ili apate heshima ya majirani.
Beba mkeo, hizo Lodge ndio zinafaa ukitaka mtoto.
Watoto wengi wanapatikana kwenye nyumba hizo ndio mnaletewa mlee.
 
Back
Top Bottom