Kisheria, Spika wa Bunge anaweza kuondolewa. Je, Job Ndugai aondolewe?

Naamini wabunge wengi hawakubaliani na Spika kwa sababu nyingi tuu ,moja ikiwa ni kwamba kwa sasa mama anaitekeleza ahadi kwa Kasi sana huko majimbono.

Kuanzia madarasa, barabara hadi vituo vya afya na maji ,masuala ambayo ni kero kubwa kwa wananchi Vijijini.

Akitokea mtu akawasilisha hoja fasta anaondolewa .Naunga mkono hoja.
 
Wanabodi, hili ni swali nililo liuliza miaka 5 iliyopita, sikumbuki vizuri nilijibiwaje humu, ila kwa kinachoendelea sasa, hili swali bado liko very valid, jee aondolewe?.
P
 
Mkuu MTK , huwezi amini, hii posti yako ya April 10, 2019, mimi ndio naiona leo
Je kwa the current situation, kwa maoni yako, something like bado ni hypothetical situation tuu or this thing can happen?.
Happy New Year
P
 
Ndugae must GO! Amefanya bunge kuwa dhaifu sana ( rubber stamp ya serikali).

Pili ni ubaguzi wa vyama na matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa ( C-19).
 
Hiyo hoja ataiwasilisha kwa spika yupi?
 
Wabunge tunampima Raisi na hatoshi , soon tunapiga Kura ya kutokuwa na Imani nae
Ila maisha haya jamani , kweli kwa sasa hivi NDUGAI, ni wakuonekana hivi?kama mtoto yatima wakati kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ni wakuogopwa vile?!!yaani yeye na meko ndio walikuwa wanajiona ndio miungu wa nchi hii!!!ukishakuwa una chukiwa na jamii, siku yakikukuta ndio utaona kumbe ..nilikuwa cjui!!na sasa hivi jamaa hana hata watetezi wa maana zaidi yenu nyie MWENDAZAKE MASALIA.
 
Siku hizi hatununui wapiga kura tunanunua Mawakala wao na walinda kura wao!

Bahati yake sana kazaliwa katikati ya nchi…angetokea Mpakani kazi ingemalizwa na Makamishna wa Uhamiaji kama tulivyofanya kwa Kihelehele Jenerali Ulimwengu miaka ile au Marehemu Ally Nabwa ambae ilibidi marehemu Baba Yake avuliwe Uraia akiwa tayari Kaburini kwa miongo kadhaa ili ipatikane sababu ya kudai na mwanae sio Raia

Kuipata hiyo 2/3 siyo jambo la kitoto!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…