Kisheria, Spika wa Bunge anaweza kuondolewa. Je, Job Ndugai aondolewe?

Kisheria, Spika wa Bunge anaweza kuondolewa. Je, Job Ndugai aondolewe?

Spika akileta maloloso, anaweza kuondoloewa kwa azimio la wabunge.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kifungu 84,7(d)


(d) ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya
Spika kwa azimio la Bunge lililoungwa mkono na
Wabunge amabo idadi yao haipungui theluthi mbili ya
Wabunge wote; au.........

Haya wabunge jipimeni na mumpime Spika.
Anatosha?
Ukiona Spika anatoka nje ujue kule bungeni kuna kitu kizito kinafukuta.

Bunge liko na Spika. Mama ajipange.
 
Spika akileta maloloso, anaweza kuondoloewa kwa azimio la wabunge.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kifungu 84,7(d)


(d) ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya
Spika kwa azimio la Bunge lililoungwa mkono na
Wabunge amabo idadi yao haipungui theluthi mbili ya
Wabunge wote; au.........

Haya wabunge jipimeni na mumpime Spika.
Anatosha?
Hii njia ndefu yote ya nini? Maana italeta unnecessary chaos. Wampeleke matibabu India tu hadi 2026. Madam TA atashika usukani na kazi itaendelea.
 
Spika akileta maloloso, anaweza kuondoloewa kwa azimio la wabunge.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kifungu 84,7(d)


(d) ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya
Spika kwa azimio la Bunge lililoungwa mkono na
Wabunge amabo idadi yao haipungui theluthi mbili ya
Wabunge wote; au.........

Haya wabunge jipimeni na mumpime Spika.
Anatosha?
Acha MAJUNGU kwanini AONDOLEWE KAKOSEA nini?
 
Omicron ipo, mafua kitaa yanachanganya ile mbaya. Tuombe 2022 mtu mwingine asiletwe tena Mzena na hatimaye Mloganzila, watu waanze tena kupiga ramli na kulaumiana.
 
PELEKENI CHUKI NA TAMAA BUNAFSI, K8SA MMEUK9SA ULE UNUNGE 19 ,NA WANAUKALIA WENGINE
NYINYI KILA MNAPOPIGIKA MTAANI BASI SUMU INAJAA KWA NDUGAI

TUNAWAJUA NA PIA MUELEWE MDUGAI HATOKI NA NYIE HAMUWEZI KUWA WABUNGE LABDA MUANZISHE BUNGE LINGINE UFIIPA.

Shame on all of you!
 
Tukifata katiba yetu vizuri, ndungai must go. Amekiuka na kukiuka sheria za bunge mno. Kama tunafata utawala wa kisheria basi he must go.
 
Huyo mwenyekinga ya kutoshitakiwa akiridhia jambo lolote atalikingia kifua na hakuna chochote kitakachotokea.

Anamamlaka makubwa mno ndio maana nyerere aliliofia hilo na akadai kwa katiba tukipata raisi kichwa maji tumekufa

Mi naona watu mnapiga kelele tu kila siku ambazo hazizai matunda

Kama mnataka mabadiliko anzeni na katiba bila ya hivyo ni kumpigia mbuzi gitaa kwani mfumo wa katiba unamfanya raisi kutuongoza anavyotaka na akikipenda kitu lazima kiwe. Hivyo kama ya ndugai yakiridhiwa na raisi hakuna kitakachobadilika

Chukua mfano wa makonda kuitwa bungeni kipi kilichotokea? Waliohusika walifyata mkia
Badilisheni katiba
Aondolewe mara moja kuleta afya ya bunge tukufu
 
Back
Top Bottom