Ukiona Spika anatoka nje ujue kule bungeni kuna kitu kizito kinafukuta.Spika akileta maloloso, anaweza kuondoloewa kwa azimio la wabunge.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kifungu 84,7(d)
(d) ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya
Spika kwa azimio la Bunge lililoungwa mkono na
Wabunge amabo idadi yao haipungui theluthi mbili ya
Wabunge wote; au.........
Haya wabunge jipimeni na mumpime Spika.
Anatosha?
Turufu yote CCMUkiona Spika anatoka nje ujue kule bungeni kuna kitu kizito kinafukuta.
Bunge liko na Spika. Mama ajipange.
Hii njia ndefu yote ya nini? Maana italeta unnecessary chaos. Wampeleke matibabu India tu hadi 2026. Madam TA atashika usukani na kazi itaendelea.Spika akileta maloloso, anaweza kuondoloewa kwa azimio la wabunge.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kifungu 84,7(d)
(d) ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya
Spika kwa azimio la Bunge lililoungwa mkono na
Wabunge amabo idadi yao haipungui theluthi mbili ya
Wabunge wote; au.........
Haya wabunge jipimeni na mumpime Spika.
Anatosha?
CCM ni Mwenyekiti tu wengine wote ni binti shomvi tu.Ukiona Spika anatoka nje ujue kule bungeni kuna kitu kizito kinafukuta.
Bunge liko na Spika. Mama ajipange.
Ukizingatia wabunge wenyewe walovyopatikana, jiwe amehilostisha sana hii nchiKuipata hiyo 2/3 siyo jambo la kitoto!
Acha MAJUNGU kwanini AONDOLEWE KAKOSEA nini?Spika akileta maloloso, anaweza kuondoloewa kwa azimio la wabunge.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kifungu 84,7(d)
(d) ikiwa mtu huyo ataondolewa kwenye madaraka ya
Spika kwa azimio la Bunge lililoungwa mkono na
Wabunge amabo idadi yao haipungui theluthi mbili ya
Wabunge wote; au.........
Haya wabunge jipimeni na mumpime Spika.
Anatosha?
Wanawake hawatakubali wataona wanaonewa na bungeni wako zaidi ya 150Wabunge tunampima Raisi na hatoshi , soon tunapiga Kura ya kutokuwa na Imani nae
Ndugai afukuzwe CCM, halafu aondolewe uspika....HAFAI.Mkuu Joka Kuu, naunga mkono hoja yako.
I hope atashauriwa vizuri, vinginevyo...
P
Kwa katiba yetu akilivunja bunge yeye anaendelea kuwa Rais wa nchi upo mzee.Akifanya hivyo, si na yeye anakuwa amejivunja!?
Halafu aje na bili ya bilioni 2?Hii njia ndefu yote ya nini? Maana italeta unnecessary chaos. Wampeleke matibabu India tu hadi 2026. Madam TA atashika usukani na kazi itaendelea.
Bunge hili halina uwezo wowote wa kumfanya chochote RaisUkiona Spika anatoka nje ujue kule bungeni kuna kitu kizito kinafukuta.
Bunge liko na Spika. Mama ajipange.
Aondolewe mara moja kuleta afya ya bunge tukufuHuyo mwenyekinga ya kutoshitakiwa akiridhia jambo lolote atalikingia kifua na hakuna chochote kitakachotokea.
Anamamlaka makubwa mno ndio maana nyerere aliliofia hilo na akadai kwa katiba tukipata raisi kichwa maji tumekufa
Mi naona watu mnapiga kelele tu kila siku ambazo hazizai matunda
Kama mnataka mabadiliko anzeni na katiba bila ya hivyo ni kumpigia mbuzi gitaa kwani mfumo wa katiba unamfanya raisi kutuongoza anavyotaka na akikipenda kitu lazima kiwe. Hivyo kama ya ndugai yakiridhiwa na raisi hakuna kitakachobadilika
Chukua mfano wa makonda kuitwa bungeni kipi kilichotokea? Waliohusika walifyata mkia
Badilisheni katiba
Ndomaana tunahitaji Katiba mpyaHaswaa, na akaitisha uchaguzi ufanyike, na kwenye kura za maoni anawachinja wote mnaompinga
Wakati huo Ndugai atskuwa wapi? Mambo sensitive huwa yanashughulikiwa na spika mwenyewe sio msaidiziTulia
Serikali na Ndugai nani mkubwa?Wakati huo Ndugai atskuwa wapi? Mambo sensitive huwa yanashughulikiwa na spika mwenyewe sio msaidizi